Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,314
- 7,165
WanaJF, aliyetegea sikio BBC dira ya dunia . Taarifa ya Devid Mwampesia inauma sana kuhusu Wanyarwanda na Warundi walioondolewa Tanzania.
Wengine waliolewa Tanzania na wameishi kwa miaka 25 , wengine ni wazee na ukada wa chama tawala walipewa na kura walipiga .
Swali langu ni je kwanini wapewe shahada za kupiga kura?
Kwanini wapewe muda mrefu kiasi hiki hadi umpe chansi ya kukupigia kura?
Utu gani unaouzungumzia wewe? Yaani unataka tuendelee kukaa na wahamiaji haramu hapa eti kwa huruma ya utu? Wala hatuwezi kuwahurumia eti kwa vile tu waligawa uroda kwa wa-TZ hiyo sahau. Warudi kwao bwana mbaya zaidi unaweza kukuta hata hao watoto waliozaliwa kwenye hizo ndoa haramu walizaa na Watutsi wenzao kama akina Kabila walivyofanya, baada ya muda mtajikuta mko chini ya utawala wa Watutsi.
Kama walipiga kura ilikuwa zamani siyo sasa hivi, hiyo imekula kwao warudi walikotoka!! Na sisi wa-TZ wakati mwingine tunaonekana kama mazombie fulani hivi!! Eti huruma na utu?????