Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,216
- 7,908
- Thread starter
- #61
Biden alisema waliwafukuza wanajeshi wa urusi wasiikamate Kyiv wakakimbilia maporini huko kuteka mapori, vipi hili la majenerali 12 la wa urusi kufa huku hakuna jenerali wake hata mmoja aliyekufa, bwana Biden amesemaje kuhusu hilo?American citizens should leave now," Biden said in an interview with NBC News anchor Lester Holt.
Maneno ya Rais wa USA
Aliyatoa Huku akiwa anatetemekaaliwaambia hivi waandishi wa habari.:
“It’s not like we’re dealing with a terrorist organization. We’re dealing with one of the largest armies in the world. It’s a very different situation, and things could go crazy quickly,” he said.
Holt asked Biden what scenario could prompt him to send troops to rescue Americans fleeing the country. Biden replied: “There’s not. That's a world war when Americans and Russia start shooting at one another.”
"We’re in a very different world than we’ve ever been," he added.
Kama Rais wa taifa la USA kasema hivyo,Kuna takataka Gani inaweza kubadili kauli yake juu ya nchi ya Marekani?