Hii Vita ni Marekani vs Urusi katika uwanja vita wa Ukraine

Sexer

JF-Expert Member
Oct 22, 2014
8,204
7,892
Hii iko wazi kwamba vita inayoendelea pale Ukraine ni kati ya Marekani na Urusi pale Ukraine ni uwanja wa vita tu. Na hadi sasa matokeo ya vita hiyo ni kama ifuatavyo, Marekani haijapoteza askari hata mmoja, meli vita, ndege vita wala kifaru chochote, wakati urusi kapoteza askari zaidi ya 30,000, meli vita pamoja na mamia ya vifaru, na hicho ndo kinamuuma Putin.

Yaani anapigana na adui yake mkubwa Marekani, wao warusi wanakufa lakini wamarekani hawafi! Dah! Inauma sana kwa kweli. Ila Marekani ni mjanja sana, anapigana vita na Urusi bila wanajeshi wake kufa. Na hicho ndo inafanya hii vita iendelee kwa muda mrefu sababu wamarekani hawafi, hakuna kitu US inathamini kama uhai wa mmarekani na kwa vile hakuna mmarekani anayekufa basi kitazidi kuumana.

Wakati Russia mwenye uchumi mdogo anapoteza pesa na askari wake, US mwenye uchumi mkubwa anapoteza pesa tu bila askari wake.hivyo basi utagundua Russia kapoteza kwa kiasi kikubwa mno kwenye hii vita wakati US yeye kwa mujibu wa China anafaidika na hii vita.

Putin inabidi afanye namna ili na wamarekani wafe sio wanakufa warusi tu na waukraine, hapa waukraine wanakufa kwa niaba ya wamarekani na Ukraine sio adui wa Russia hata kidogo.
 
Utamu wa ngoma ingia ndani uucheze
US anambwekea mbali. Asogee karibu aone chamoto.


Urusi sio wajinga na sidhani kama zana zao zote wametumia barabara!!.

US akitoa pua tu direct ni world war 3

Kuna haja gani ya kuingia kama anaweza kumchapa bila hata kupoteza askari hata mmoja,
Urusi ni mjinga ndo maana wao wanakufa lakin wapinzani wao hawafi vitani, uzuri yeye mwenyewe Russia anajua anapigana na nani, na anajua ameshazidiwa akili, ndo maana utasikia mara anatishia nuclear make anajua bila hivyo hatoboi.
 
US ni NATO na NATO ni US, hao wanachama 29 wa NATO ni vikalagosi tu vya US kwa ajili ya maslahi ya US, Hadi Sasa hakuna mwanajeshi wa NATO wala US aliyekufa Ukraine wakati Kuna askari zaidi ya 30000 wa Russia wamelamba mchanga.
Na wale Mecenaries wa kutoka US na makuruta wanaoenda kutoa mafunzo wao sio hasara kwa US? Jana wamekufa watatu hadi Biden kawataadharisha huko sio kwa kwenda tena.
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom