Hii Vita ni Marekani vs Urusi katika uwanja vita wa Ukraine

Hajapoteza, hata Russia hizo silaha ndogondogo walizopoteza ni sawa na kwamba hawajapoteza. Vipi kuhusu idadi ya kupoteza askari?
Ukrain kuna askari wengi wa USA na washirika wake na wanapigika na kupotezwa.
Na ndio maana pale mwezi march kuna wakufunzi walipotezwa.

Jana huko UK mkuu wa majeshi karopoka inabidi waandae jeshi litakaloweza kupambana na URUSI.
Hii inamaanisha wapo na wanapokea kisago.
 
M
Hii iko wazi kwamba vita inayoendelea pale Ukraine ni kati ya Marekani na Urusi pale Ukraine ni uwanja wa vita tu. Na hadi sasa matokeo ya vita hiyo ni kama ifuatavyo, Marekani haijapoteza askari hata mmoja, meli vita, ndege vita wala kifaru chochote, wakati urusi kapoteza askari zaidi ya 30,000, meli vita pamoja na mamia ya vifaru, na hicho ndo kinamuuma Putin.

Yaani anapigana na adui yake mkubwa Marekani, wao warusi wanakufa lakini wamarekani hawafi! Dah! Inauma sana kwa kweli. Ila Marekani ni mjanja sana, anapigana vita na Urusi bila wanajeshi wake kufa. Na hicho ndo inafanya hii vita iendelee kwa muda mrefu sababu wamarekani hawafi, hakuna kitu US inathamini kama uhai wa mmarekani na kwa vile hakuna mmarekani anayekufa basi kitazidi kuumana.

Wakati Russia mwenye uchumi mdogo anapoteza pesa na askari wake, US mwenye uchumi mkubwa anapoteza pesa tu bila askari wake.hivyo basi utagundua Russia kapoteza kwa kiasi kikubwa mno kwenye hii vita wakati US yeye kwa mujibu wa China anafaidika na hii vita.

Putin inabidi afanye namna ili na wamarekani wafe sio wanakufa warusi tu na waukraine, hapa waukraine wanakufa kwa niaba ya wamarekani na Ukraine sio adui wa Russia hata kidogo.
Mmekuja tena kujitekenya🤣🤣🤣🤣
 
Jipe Moyo tu...Uzuri sie tunataka sababu ya kuwafumua tu. Mbona hamtupi sasa. Hebu rusheni hata kombora moja liue warusi waliopo mjini Kremlin Moscow wasio na hatia hata kwenye supermarket moja tu then tutakuwa na cha kujitetea kuwa US alianza uchokozi.
Sababu ni kuuwawa kwa askari wenu zaidi ya 30,000 wakiwemo majenerali 12. Limeli lenu kuzamishwa ni sababu ya ziada. Mlisema atakayeisaidia Ukraine mtampiga US anasaidia waziwazi lakin mmeufyata.
 
Hii iko wazi kwamba vita inayoendelea pale Ukraine ni kati ya Marekani na Urusi pale Ukraine ni uwanja wa vita tu. Na hadi sasa matokeo ya vita hiyo ni kama ifuatavyo, Marekani haijapoteza askari hata mmoja, meli vita, ndege vita wala kifaru chochote, wakati urusi kapoteza askari zaidi ya 30,000, meli vita pamoja na mamia ya vifaru, na hicho ndo kinamuuma Putin.

Yaani anapigana na adui yake mkubwa Marekani, wao warusi wanakufa lakini wamarekani hawafi! Dah! Inauma sana kwa kweli. Ila Marekani ni mjanja sana, anapigana vita na Urusi bila wanajeshi wake kufa. Na hicho ndo inafanya hii vita iendelee kwa muda mrefu sababu wamarekani hawafi, hakuna kitu US inathamini kama uhai wa mmarekani na kwa vile hakuna mmarekani anayekufa basi kitazidi kuumana.

Wakati Russia mwenye uchumi mdogo anapoteza pesa na askari wake, US mwenye uchumi mkubwa anapoteza pesa tu bila askari wake.hivyo basi utagundua Russia kapoteza kwa kiasi kikubwa mno kwenye hii vita wakati US yeye kwa mujibu wa China anafaidika na hii vita.

Putin inabidi afanye namna ili na wamarekani wafe sio wanakufa warusi tu na waukraine, hapa waukraine wanakufa kwa niaba ya wamarekani na Ukraine sio adui wa Russia hata kidogo.
Wewe ni matokeo ya mitaala mibovu ya Elimu ya Tanzania.
 
Ukrain kuna askari wengi wa USA na washirika wake na wanapigika na kupotezwa.
Na ndio maana pale mwezi march kuna wakufunzi walipotezwa.

Jana huko UK mkuu wa majeshi karopoka inabidi waandae jeshi litakaloweza kupambana na URUSI.
Hii inamaanisha wapo na wanapokea kisago.
Hadi Sasa majenerali waliolamba mchanga, US 0 Russia 12.
 
Kuna haja gani ya kuingia kama anaweza kumchapa bila hata kupoteza askari hata mmoja,
Urusi ni mjinga ndo maana wao wanakufa lakin wapinzani wao hawafi vitani, uzuri yeye mwenyewe Russia anajua anapigana na nani, na anajua ameshazidiwa akili, ndo maana utasikia mara anatishia nuclear make anajua bila hivyo hatoboi.
Ndani ya wiki mbili hizi russia amepoa sn.
 
Kuna haja gani ya kuingia kama anaweza kumchapa bila hata kupoteza askari hata mmoja,
Urusi ni mjinga ndo maana wao wanakufa lakin wapinzani wao hawafi vitani, uzuri yeye mwenyewe Russia anajua anapigana na nani, na anajua ameshazidiwa akili, ndo maana utasikia mara anatishia nuclear make anajua bila hivyo hatoboi.

Labda nikuhoji suala dogo lenye mantiki,je,uliwahi kujaribu walao kufanya kautafiti kidogo na kubaini idadi ya wanajeshi wa Kimerikani waliokufa kwenye vita ya VietNam?Je,ni Ndege ngapi za vita (Jetfighters, Bombers na Helicopters) zilizo wahi kutunguliwa kwenye anga la VietNam - kwa kukusaidia zilitunguliwa zaidi ya ndege 20,000(elfu ishirini) za USA - such staggering number is unquestionably unprecedented don't you think??

Hapa swali ni:nani alihusika kuwapatia silaha kali wa VietCong za kuwadabisha Wamerikani mpaka Majenelali wao na NCO wanakimbia barefooted kwa kuhofia kutiwa mbaroni na advancing VietCong army katika mji wa Saigon i.e US soldiers were cutting and running like mad petrified by a column of advancing VietCong TANKS - jaribu kutafuta video clip ya tukio hilo la mwaka 1975, labda kuna kitu utajifunza, juzi juzi hapa tukio kama hilo lilijitokeza kwa mara nyingine tena huko Afghanistan,wote tuliona jinsi wanajeshi wa Uncle SAM walivyo kuwa wanatimua mbio kali wakiwakimbia wataleban - wana sukumana na raia ili wawahi kupanda ndege kabla hawaja kamatwa na Wataliban!!

Sasa tutajie idadi ya wanajeshi wa Urusi waliowahi kupoteza maisha katika Vita ya VietNam-kumbuka Warusi ndio walikuwa wanawapatia WavietCong silaha za viwango vya hali ya juu kukabilianana USA Army - je,na sisi tuseme Wamerika walikuwa wajinga kwa kuangamizwa kwa silaha za Urusi nchini VietNam wakati Warusi walikuwa hawafi,cha ajabu Warusi wanapokufa kutokana na silaha za kimerikani zinazo tumiwa na Ukraine wewe unasema Warusi ni wajinga sana-hii wapi na wapi - bottom line is:wakati mwingine tujifunze kubakiza akiba ya maneno huo, ndio ushauri wangu.
 
Back
Top Bottom