DALALI MKUU
JF-Expert Member
- May 7, 2022
- 2,440
- 5,751
Rais najua japo wengi wanamchukia ila kuna wachache wanapenda,ila Kauli kama hizi zitamfanya kila mtu amuone kama ni katili na mwenye Roho mbaya sana na wananchi kuzidi kumchuikia.
Rais hana ubaya huo tatizo wapambe na machawa.Rais najua japo wengi wanamchukia ila kuna wachache wanapenda,ila Kauli kama hizi zitamfanya kila mtu amuone kama ni katili na mwenye Roho mbaya sana na wananchi kuzidi kumchuikia.
View attachment 3309871
Wapambe gani hao wenye mamlaka kumzidi yeye?Rais hana ubaya huo tatizo wapambe na machawa.
Huyo kelele tuHeche ni kizazi ambacho kinaweza kuiokoa hii nchi, Taifa linataka watu strong jamii ya Heche sio hawa vijana machawa machawa wanaowaza maisha mepesi mepesi.
Urusi aiweziku kubali kibaraka kama Heche na Lisu wakatawala majukwaa kueneza uongo na porojo amshukuru Rais ni mpoleUnaposikia Taifa strong la USA, China, Russia nk unazungumzia watu shupavu na sio watu laini laini wanaowaza familia zao na wao kuishi vizuri kuliko future ya Taifa
AseeUrusi aiweziku kubali kibaraka kama Heche na Lisu wakatawala majukwaa kueneza uongo na porojo amshukuru Rais ni mpole
Waendelee kujidanganya hivyo hivyo
kabisaRais hana ubaya huo tatizo wapambe na machawa.
Mikono yako imejaa damu. Ulimuua Thadei ole Mushi kikatili Kwa kumuwekea sumu.Urusi aiweziku kubali kibaraka kama Heche na Lisu wakatawala majukwaa kueneza uongo na porojo amshukuru Rais ni mpole
Waendelee kujidanganya hivyo hivyo
Sasa mtu anaetopoka unamfungulia kesho ya uhaini ?....FEAR IS STRONGER THAN LOVEHuyo kelele tu
Huyo mdogo wangu anamudu dk 2 hana kauli.
Hao wapumbavu mnadhani kuropokaropoka ndio kuwa strong?