Hii tabia wanaume wengi wanayo

Hii tabia wanaume wengi wanayo

Hii sired n kama imenilenga
Maana kama namfukuzia dem mwez
Mmoja ndo aje akubali walaaaaah wabilah baada ya kupewa tunda hata mm naonesha maringo yang
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Unaumiza watoto wa mwanaume mwenzio
 
Kuna utamu wake pale mwanaume anavyokuwa anakutafuta kwa hisia,unamsumbua kwanza,unaona je ni kweli yupo serious au lah!
kumbe huwa mnaskia utamu?

nasi utamu wetu ni kuonja. baada ya hapo ni busara za kiungwana tu.

tutaonekanaje.
 
Wakati anawaomba kura alikuwa mpole kweli,baada ya kupata ana uthubutu hata wa kuwaambia 'mufe'
 
kumbe huwa mnaskia utamu?

nasi utamu wetu ni kuonja. baada ya hapo ni busara za kiungwana tu.

tutaonekanaje.
[emoji16] [emoji16] [emoji16] mlaniwe !!
 
Hata sisi hatuwaamini hasa baada ya kuwapa tunda huwa tunaangalia mienendo yenu
Mwanaume akipenda upenda kweli hata kibanda anaweza jenga.. Ila nyie wanawake hapana sijawahi kuwaamini, ndyo maana wahenga wanasema tuishi na ninyi kwa akili.

Nawapenda sana wanawake ila suala la uaminifu sijawahi kuwa nalo.
 
Hata mwezi au miezi 3,nataka hadi uniimbie nyimbo tamu ambazo hazijawahi kuimbwa duniani,unipe sifa ambazo sijawahi kuzisikia ndo nakubali

Halaf baada ya miezi 3 nakuta yale nliyotegemea hamna [emoji23][emoji23][emoji23]


Mm napenda nmweleze mtu ukweli kuhusu hisia zangu anielewe sio tuzungushane hayo mambo siwezi
 
Hata wao wananiumiza kumfukuzia
Mtu mwez mzma mpaka aje akuvulie
Chupi co mchezo ukizngatia co ndugu yako
Akikuvulia siku hiyo hiyo utaanza kumuita majina ya ajabu akivuta muda napo maneno! Wanaume huwa mnataka nini hasa
 
uchaguzi ukishafanyika hakuna tena kampeni.

wanawake wanaamini zaidi wanachosikia tofauti na wanaume wanaamini zaidi wanachokiona





usipite huku tafadhali
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom