Hii tabia wanaume wengi wanayo

Hii tabia wanaume wengi wanayo

Ila unamtafutia viungo ili umpike vizuri na pia umbanika au humtunza kwenye friji ili asioze,kwani ukishamvua huwa unatupa?
Ukishamvua unapika vizuri kama ulivyoelekeza, ukishamla unasikilizia utam, ukimaliza hapo umeshiba, kisha unamsahau hata anafananaje.
 
Mwanaume anaweza akawa anamfukuzia mwanamke kabla hajampata,ataonyesha anakupenda sana,atakuwa anaongea na hisia kali sana

Kabla hujamkubalia kila baada ya lisaa anakupigia sim,SMS kila wakati,zawadi hazihesabiki

Ila ukishampa mchezo tu hali hubadilika ,sim alizokuwa anapiga kila lisaa atakuwa anakupigia baada ya masaa 12,SMS zinakata,zawadi zinaisha

Na cha ajabu mwezi mzima alikuwa anakufukuzia bila kukata tamaa,spidi zile zile lakini baada ya mchezo mambo hubadilika
Je wanaume kwa nini unaonyesha kumpenda mwanamke kwa hisia kali kabla ya kukupa mchezo na akisha kupa tu kwa nini hisia zako zinapungua?

Ni kweli wanaume huwa wanatamaa tu au ni kuprend kupenda kumbe ni kuzuga mwanamke aingie 18 apate anachotaka na kupotea?

Na mwanamke hupenda zaidi pale anapokutana kimwili na mwanaume ambaye anaonekana kumpenda

Na baada ya hapo humuachia mzigo wa mawazo mwanamke baada ya kutoa mzigo

Wanaume tuambieni kwa nini huwa na tabia hii lakini sio wote ila asilimia kubwa kabla na baada ya kukutana kimwili huwa ni tofauti
utaendelea kutumika mpaka akili itapokukaa sawa mpaka ujitambue nani wakujenga kambi karne hii
 
Samaki anaepewa chambo ni yule alie baharini. Sasa ushamvua samaki, bado utaendelea kumlisha chambo?

Natania hahaaa.
Mimi kila siku nazidisha macare!

[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
 
Ukiona hivyo ujue hakuupata utamu alioutegemea
 
Hapo kitaalamu tunaita kimbiza kamata achia (KKA), kazi ibaki kwenu na nyie mfanye KKA, ukiona amepunguza manjonjo, ujue ni zamu yako ku KKA.😀😀😀😀 and the cycle continues.
 
Samaki anaepewa chambo ni yule alie baharini. Sasa ushamvua samaki, bado utaendelea kumlisha chambo?

Natania hahaaa.
Mimi kila siku nazidisha macare!

[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Keep it up
 
Hapo kitaalamu tunaita kimbiza kamata achia (KKA), kazi ibaki kwenu na nyie mfanye KKA, ukiona amepunguza manjonjo, ujue ni zamu yako ku KKA.😀😀😀😀 and the cycle continues.
Khaaa! Kazi ipo
 
Back
Top Bottom