Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 30,278
- 54,713
Si kweli wanaume hawana hisia za kimapenzi. Tunazo.. ila tofauti ni jinsi gani zinakuwa activated. hisia za mwanaume zinachukua muda kuwa activated wkt za mwanamke ni dakika chache tu.CutLove,
Pole kwa kukwazwa, kwa taarifa yako wanaume wengi wanapomfukuzia mwanamke huwa na sababu mbalimbali, kubwa ya kwanza kwa walio wengi ni kuwa na wewe kimwili, wengi wakiridhika 'kimwili' na wewe huenda wakaenda hatua zaidi kama kujenga na kuendeleza urafiki na hatimaye ndoa na kujenga familia. Wengi hawana hisia za kimapenzi kama walizonazo wanawake bali walizonazo ni hisia za 'kimwili' na si za kimapenzi. Hata kama atatuma zawadi, sms za mara kwa mara kinachomsukuma kwanza mwanaume ni hisia za ngono au kuwa 'kimwili' na wewe. Asiporidhika/asipofurahia na wewe 'kimwili', hana sababu ya kurudi tena kwako, au kuhangaika tena wewe, hasa kama ulimpa shida wakati anakufukuzia, kwsababu anaona akilinganisha na alivyohangaika na wewe na jinsi mlivyokuwa 'kimwili' anaona hailipi.
Unarudi kushukuru kwenye majimbo yaliokuchagua kwa kura nyingi na kishindo. Majimbo korofi unaachana nayo kama yalivyoKwani uchaguzi ukiisha harudi jimboni kushukuru kwa kuchaguliwa?
Maisha haya bila roho ngumu huchomoiiUna Moyo Mgumu
Hahaha hicho ndo kinachowacostii mda mwingine...anakuigizia yuko serious kumbe maigizo...sikiliza moyo wako wa kwake u never knowKuna utamu wake pale mwanaume anavyokuwa anakutafuta kwa hisia,unamsumbua kwanza,unaona je ni kweli yupo serious au lah!
chezea Papuchi kwa wanaume wa Daslam na mikoaniMshindwe!
Hahahaaa. Kabisaaaaa.Tena uvae miwani kama ya jamaa wa kuchomelea vyuma maana wahenga maneno yao yanaweza kukuharibu machoπππ
Na madaktari siku hizi wao wanajua kuondoa viungo vibovu tu hawatibu, utasikia mtu kaumia mguu ukatwe, jino ling'olwe sasa na macho sijui itakuaje Hajar hapoπππHahahaaa. Kabisaaaaa.
Maana umepanga kuharibu macho yangu sio bure.
Si ndo hivyo,unamfeel unampa akisha pata anatowekaHahaha hicho ndo kinachowacostii mda mwingine...anakuigizia yuko serious kumbe maigizo...sikiliza moyo wako wa kwake u never know
Coz moyo wa mtu ni kiza kinene na wanaume have perfected the art of maigizo
Ss wewe u js gotta be smarter than him bila ye kujua
Km umemfeel mkubalie sikiliza moyo wako na km humtaki mkataee overr
mawazo ni njia panda pekee, akifanikiwa kufika, safari huanza kusitasita japo inategemea amekutana na hali ganiAsante kwa kuniunga mkono,wakati anakufukuzia sijui huwa wanawaza nini aisee
Basi nakuachia kazi uje kunisomea mwenyewe. Nasubiria huku.Na madaktari siku hizi wao wanajua kuondoa viungo vibovu tu hawatibu, utasikia mtu kaumia mguu ukatwe, jino ling'olwe sasa na macho sijui itakuaje Hajar hapoπππ
HahahahahaHivi ukishavua samaki kwa chambo una haja ya kuendelea kumpa chambo?
Uje ofisini kwangu saa kumi na mbili na nusu jioni juu ya alama bila kukosa nikusomeeπππBasi nakuachia kazi uje kunisomea mwenyewe. Nasubiria huku.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Ewaaaaaaa. Ntakuja hofu ondoa Sesten.Uje ofisini kwangu saa kumi na mbili na nusu jioni juu ya alama bila kukosa nikusomeeπππ
Jana kwa Mara ya kwanza kajbu text wosap !! And bcoz am free nahakksha sikwami ppotePole! Ila hujawa bize kumtafuta
Water water water, plus no viuno, kiuno kikavu kama mti wa muwangaMfano ukakuta nini usichokitarajia!