Hii ni 'pure class'...

Hii ni 'pure class'...

Hizo dakika 20 za Algeria naomba unitumie matokeo....

Nimechoka bwana....
 
Hawa jamaa wa Algeria wanataka kuchemsha.....

May be na sie tuwashukuru kwa Party ya magoal ya kipindi cha kwanza!
Usikate Tamaa pls!
Party ya magoli matatu kipind cha kwanza tutawashukuru tuu IMA Faima !
 
Mkuu The Boss, kwa kuhofia kuitwa tena 'womaniser' na 'teamB' naomba kubaki kimya. But believe me...I always practice this. So, once more...THANK YOU FOR THE PARTY.

kaka mbona unajihami? mwanaume kujiamini bhana.
 
Last edited by a moderator:
Umenena mkuu japo umetonesha kidonda maana Spain ndio lilikuwa chama.

Ila kwa England ni tofauti sababu huwezi kusema thank you for the party if there wasn't any party before,England haijashinda kombe lolote kwa muda mrefu sasa dnt expect mashabiki waseme thank u

with that regard the Spainish have all the reasons not to complain cause "You can not be a champion forever",kila mtu na zama zake,lazima wapya waje.

All in all whatever the case,we should learn to be thankful for everything so u have a point bro.
 
Ingawa inahusu world cup but inahusu hadi kwenye MMU .....Timu ya Spain ilikuwa ina mategemeo tele
kwa kila mshabiki wa timu hiyo....nin a uhakika wapo walioweka pesa za kamari kwa timu hiyo..mamilioni .wapo waliosafiri kutoka Spain hadi Brazil...na kulanguliwa tiketi za dola 90 kwa kuuziwa dola 1000...na kadhalika...kilichotokea kila mtu anakijua...wamepigwa 5-1,halafu 2-0...out....na walifungwa kizembe pia..kipa wao Cassilas alisababisha magoli kadhaa
kocha nae akamng'ang'ania mechi ya pili na wachezaji wengine huku akiacha wachezaji tele bench wenye vipaji..sasa

baada ya kufungwa na kutolewa kwa kipigo cha aibu nikawa najiuliza hasa mashabiki watakuwa na hasira kiasi gani kwa Cassilas na Kocha....na nini kitafuata.....je watawasulubu wachezaji na kocha? media zao zitasemaje?hasira zao zitatulizwa vipi?.......kilichotokea ndicho kilichonifurahisha....first mashabiki wamesikitika tu bila kutukana wala kulaumu sana..
.Media za kwao ndo kabisa....wameweka picha za timu yao huku vichwa vya habari vikisema tu 'the end' wengine waliandika 'thank you' 'it was beautiful' na kadhalika...magazeti na mshabiki kwa ujumla yalikuwa yanatoa shukrani kwa wachezaji kwa 'mafanikio ya Spain toka mwaka 2008 walipokuwa mabingwa wa Ulaya,2010 mabingwa wa dunia,2012 tena mabingwa wa ulaya...mwandishi mmoja alisema 'it was the end of the six years party' thank you.. hakuna aliejishughulisha na what is...or what could have been na kadhalika...watu hasa media wametoa tu shukrani kwa ujumla kwa timu hii kwa kipindi chote walichowapa furaha ya ushindi... mpaka siku ile party ilipoisha...pure class

Tunaweza kujifunza....kitu hapo iwe mahusiano ya mtu na mtu au mtu na taasisi....siku yakiisha no matter how dissapointed you are...angalau shukuru for the' party before' ...kuliko ku spend muda mwingi kulaumu,kutukana kulalamika about the dissapointment.......ukifukuzwa kazi shukuru tu.sema thank you ..it was beautifull..sio kuwalaani watu waliokufanyia fitina milele hadi ukafukuzwa kazi...the same goes for broken hearts.. sometimes tukumbuke 'the party before' dissapointment na kusema thank you..it was beautifull.......and that is pure class...
Thank you rafiki......
Ndo maana sijawahi kuendeleza biff na x, sababu huwa nakumbuka "the party before" kuliko yaliyonifanya tuachane....... kutokuwa na biff hakumaanishi kuna uwezekano wa kurudiana..... (hii haijawahi nitokea).
Na labda niseme tu hapa kwamba, kukumbuka zaidi the party before kunakufanya utamani kuingia kwenye mahusiano mengine yatakayokupa starehe zaidi......... kukumbuka machungu kunakufanya uogope, hata ukipata mingine anayekupenda sana utakuwa na wasiwasi tu na ndo mwisho unajikuta unaona kila mtu hafai...........
 
snowhite, tuna nini mimi na wewe?
Mstaafu Dark City, salamu zimefika....... msalimu sana bibi and the party should go on and on.......
Ila nikukumbushe tu hapa The Boss anasema usisahau kusema thank you for the party kwa wale waliopita, bibi yeye anashukuruwa na ataendelea kushukuruwa tu no matter what..... una choice na wewe ulishastaafu? ha haaaaa
 
Last edited by a moderator:
Asante sana The Boss,,,nimeipenda!"Thank you,it was beautiful"!Wengi huwa hatukumbuki mazuri tuliyotendewa,tunakumbuka mabaya tu!Hili ni jambo la kujifunza!
 
Last edited by a moderator:
Ingawa inahusu world cup but inahusu hadi kwenye MMU .....Timu ya Spain ilikuwa ina mategemeo tele
kwa kila mshabiki wa timu hiyo....nin a uhakika wapo walioweka pesa za kamari kwa timu hiyo..mamilioni .wapo waliosafiri kutoka Spain hadi Brazil...na kulanguliwa tiketi za dola 90 kwa kuuziwa dola 1000...na kadhalika...kilichotokea kila mtu anakijua...wamepigwa 5-1,halafu 2-0...out....na walifungwa kizembe pia..kipa wao Cassilas alisababisha magoli kadhaa
kocha nae akamng'ang'ania mechi ya pili na wachezaji wengine huku akiacha wachezaji tele bench wenye vipaji..sasa

baada ya kufungwa na kutolewa kwa kipigo cha aibu nikawa najiuliza hasa mashabiki watakuwa na hasira kiasi gani kwa Cassilas na Kocha....na nini kitafuata.....je watawasulubu wachezaji na kocha? media zao zitasemaje?hasira zao zitatulizwa vipi?.......kilichotokea ndicho kilichonifurahisha....first mashabiki wamesikitika tu bila kutukana wala kulaumu sana..
.Media za kwao ndo kabisa....wameweka picha za timu yao huku vichwa vya habari vikisema tu 'the end' wengine waliandika 'thank you' 'it was beautiful' na kadhalika...magazeti na mshabiki kwa ujumla yalikuwa yanatoa shukrani kwa wachezaji kwa 'mafanikio ya Spain toka mwaka 2008 walipokuwa mabingwa wa Ulaya,2010 mabingwa wa dunia,2012 tena mabingwa wa ulaya...mwandishi mmoja alisema 'it was the end of the six years party' thank you.. hakuna aliejishughulisha na what is...or what could have been na kadhalika...watu hasa media wametoa tu shukrani kwa ujumla kwa timu hii kwa kipindi chote walichowapa furaha ya ushindi... mpaka siku ile party ilipoisha...pure class

Tunaweza kujifunza....kitu hapo iwe mahusiano ya mtu na mtu au mtu na taasisi....siku yakiisha no matter how dissapointed you are...angalau shukuru for the' party before' ...kuliko ku spend muda mwingi kulaumu,kutukana kulalamika about the dissapointment.......ukifukuzwa kazi shukuru tu.sema thank you ..it was beautifull..sio kuwalaani watu waliokufanyia fitina milele hadi ukafukuzwa kazi...the same goes for broken hearts.. sometimes tukumbuke 'the party before' dissapointment na kusema thank you..it was beautifull.......and that is pure class...


wow ! really
 
I
Tunaweza kujifunza....kitu hapo iwe mahusiano ya mtu na mtu au mtu na taasisi....siku yakiisha no matter how dissapointed you are...angalau shukuru for the' party before' ...kuliko ku spend muda mwingi kulaumu,kutukana kulalamika about the dissapointment.......ukifukuzwa kazi shukuru tu.sema thank you ..it was beautifull..sio kuwalaani watu waliokufanyia fitina milele hadi ukafukuzwa kazi...the same goes for broken hearts.. sometimes tukumbuke 'the party before' dissapointment na kusema thank you..it was beautifull.......and that is pure class...

Kaka The Boss umenikuna sana hapo, awali wakati nasoma uzi wako sikujua unapoelekea lakini baada ya kufikia hiyo paragrafu ya mwisho nikapata jibu.
Uliyoyasema yana ukweli mkubwa tu, lakini Je ni wangapi tunaoweza kufurahia mwisho wa kuserebuka wakati ndiyo kwanza ngoma inaanza kunoga? Ni wachache sana, nakumbuka miaka kumi na miwili iliyopita niliwahi kuumizwa, na niliumia kweli kweli, na kidonda hicho kilinikaa kikanijengea kisirani ambacho kilinifanya nikosesubira, katika kujenga mahusiano imara. Ni pale tu nilipopambazukiwa na kujifunza kuhusu upande wa pili wa shilingi baada ya kugeuza sarafu yangu na sasa nimekuwa msaada kwa wengi. Uzoefu nilioupata ulinifanya nijifunze sana kuhusu swala zima la mahusiano.

Ahsante sana kwa uzi huu ambao na mimi umenikumbusha jinsi The end of the Party yangu ilivyoniletea jakamoyo.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom