Hii ni aibu Marine Hassan!

Kingeleza ni soo jamani mie simcheki marine ila namlaumu kwa nini atumie kiinglish wakati anajua kwamba kwake not reachable?? au anataka watu wamuite kanumba Snr au maimuna au amesahau tangazo la global warming??? ok arlight student there is somebody guess:::::



"Shukurani kwa nyerere alicheza utadhani pele,kuendeleza kiswahili,mikoani na mbele mbele,Tunamuendekeza mzungu wakati tuna shida tele,Kingeleza bila hela ni sawa na kupiga kelele"-LANGA
 
Nakumbuka wakati wa kampeni za ubunge Lema, aliwambia wakazi wa Arusha!

Mkinichagua kuwa mbunge wenu tawajengea Machinga Complex mbili pamoja na Skyover barabara za juu, Flyover Road!
Ha! Ha! Ha! Ha!, ni janga la kitaifa
Hahaahaaaaa habari yako binafsi bwana
 
Sioni aibu yoyote hapo. Hiyo si lugha mama kwake sasa aibu itoke wapi? Yaani sisi ni watu wa ajabu sana. Tunapenda mno kushoboka na vya watu.
 
DU! hadi mwandishi wa kaliba ya Marin anaongea blocken, kaz tunayo TZ! Mnataka kuniambia alivyokua akiripoti habari za uchaguz mkuu Kenya 2007 mengine alikua anatulisha sumu! maana jamaa kule ni kimombo tu, kiswahili kwa mbali!


haya wewe unayemcheka mwenzako hapo penye red mbona ume kanumba?????????????????? kweli nyani haoni ...................................
 
Mr b4 hujaleta viji'issue vyako kwnza think great wht the benefit of u ar agenda! Marine aborenge atakavyoboronga ww haumpunguzii mshahara wake wala posho! Ndy kusema ww ni mahiri sn wa kingereza? Km hvy ndvy prize award ngp umeshapata? Umefanya ht wadau wengine wamechangia madudu humu mf kuna mdau ameandk neno "bloken" akimaanisha "broken" bora muongea u2mbo than muandika u2mbo!
 
Nimeona kwel jamaa lugha inasumbua,ila kwan kuna ulazima wa wote kujua kiingereza,hao wanaojua wametusaidia nn hadi sasa!tupende lugha yetu!

Hakuna ulazima wa watu wote kuongea kingereza,lkn kwa nafas yke kama mwanahabari ni muhimu sana kwani anahitaj kupata tarifa kwa watu mbali mbali,sasa lugha inayotunganisha ni kiswahili.
 
KIINGEREZA CHA MTU YEYOTE AMBAE HAJAZALIWA NACHO NI KUJARIBU TU. HAAMSHANGAI MZUNGU WA INGILISHI AKIONGEA KISWAHILI AKICHAPIA HATUMZUNGUMZII SANA BALI TWAMSIFIA??? NILIMSINKIA MARIN AKISEMA "WELCOME AGAIN THERE>>>" LAKINI KWA TAFSIRI YA HARAKA ALICHOKLOSEA NI KUSMEA "THERE" ILA KWA MZUNGU ANGEMWELWA SANA TU AKIMAANISHA "HERE" (HATA ULIPO, YAANI STUDIO AU TANzANIA!!) MARIN SIO KOSA LAKE< YEYE SI MWANAZUONI WA KIDHUNGU, MWAONA HATA KISWAHILI CHATUSHINDA??
 
kuisoma na kuielewa Quran, na si Kiarabu, katika Quran kuna History, Geography, Biology nk.

Hell Yes, Ndy maana watu waliobobea kwenye Quran ni wajuvi sana wa elimu Dunia! hahahahaaa, watoto wako wanasoma shule lakini? Au ndy wanakariri Quran?
 
Hell Yes, Ndy maana watu waliobobea kwenye Quran ni wajuvi sana wa elimu Dunia! hahahahaaa, watoto wako wanasoma shule lakini? Au ndy wanakariri Quran?
nenda Timbuktu hapa hapa Afrika, ukaone shule za kale na vyuo vilivyoendeshwa na waislaam !
 
Nilikuwa naangalia kipindi cha Jambo Tanzania, Marine Hassan alikuwa na wageni ambao mmoja wao katokea S Africa. Marine Hassan alikuwa akimuhoji kwa kiingereza ambacho ni aibu tupu!!! Kwa Mfano " Before you to coming here how many countries you are visited?" Pia wakati wa kumuaga, " Ok! Mr Sami you are welcome again there!". Hili ni jambo la aibu kwa mwandishi kama yeye. Ni bora angegoma kumuhoji bila kuwa na mkarimani, kwanza ndo angekipromoti kiswahili. Nawasilisha

We mwenyewe KISWAHILI hujui!"MKARIMANI" ndo nini? au nani? eti unamkosoa Marine kiingereza chako chenyewe cha KUUNGA UNGA kwa GUNDI! Haya mkuu UDUMU
 
Hakuna kitu kibaya duniani kama utumwa wa Kiakili.
alietawaliwa na muingereza huona fahari kubwa kuongea lugha ya bwana yake, walikuwa na mfaransa walipewa hadhi ya 'assimilation, watu wa pwani na waarabu! Wajerumani na wadachi, Wamexicana na spaniola, wa brazil na msumbiji kireno safi, OBRIGADO ! ALUTA CONTINUE !
 
Kwa vyovyote vile ww utakuwa ni shoga, na uzuri ni kuwa hauingii kwenye siku zako!

Heshima ni jambo zuri. Imagine mama yako asingeingia siku zake ungezaliwa? Tafuta matusi mengine siyo ya kumdhalilisha mama yako aliyekuzaa.

Useless!
 
Mr b4 hujaleta viji'issue vyako kwnza think great wht the benefit of u ar agenda! Marine aborenge atakavyoboronga ww haumpunguzii mshahara wake wala posho! Ndy kusema ww ni mahiri sn wa kingereza? Km hvy ndvy prize award ngp umeshapata? Umefanya ht wadau wengine wamechangia madudu humu mf kuna mdau ameandk neno "bloken" akimaanisha "broken" bora muongea u2mbo than muandika u2mbo!

hahaha vihiyo mmejazana ila hamjui kama ni vihiyo! lol
 
Nilikuwa naangalia kipindi cha Jambo Tanzania, Marine Hassan alikuwa na wageni ambao mmoja wao katokea S Africa. Marine Hassan alikuwa akimuhoji kwa kiingereza ambacho ni aibu tupu!!! Kwa Mfano " Before you to coming here how many countries you are visited?" Pia wakati wa kumuaga, " Ok! Mr Sami you are welcome again there!". Hili ni jambo la aibu kwa mwandishi kama yeye. Ni bora angegoma kumuhoji bila kuwa na mkarimani, kwanza ndo angekipromoti kiswahili. Nawasilisha
Mi namshangaa mwandishi huyu. Badala ya kujiendeleza kwa kusoma lugha ili aendeleze fani yake amekalia kuishabikia CCM! Anashindwa kusoma alama za nyakati. Hajiulizi tu yuko wapi Tido Mhando? Jee angekuwa hakujiendeleza angechukuliwa na Al Jazeera? Pamoja na yote mimi pia naunga mkono waandishi haswa wa vyombo vya Taifa kutumia kiswahili zaidi katika kuhoji wageni hata ikibidi kutumia wakalimani ili kuipa heshima lugha yetu tukufu ya kiswahili ambayo wanasiasa na wasomi wanaiponda licha ya ukweli kwamba ni lugha hiyo inayowasaidia katika maisha yao ya kila siku.
 
Afu cha kushangaza jioni nimemuona yule kamanda wa majeshi ya Afrika kusini akizungumza kiswahili!
English ni tatizo jamani.
Tukithamini Kiswahili chetu
 
Huyu jamaa kilaza fulani hivi na anajidai sana kujua na kuelewa. Nakumbuka mwaka 2008 baada ya uchaguzi wa kenya wasomi wa tz mmojawapo marehemu pr haroub(rip) walikuwa wanajadili fujo za kenya. Marina naye alialikwa basi kila wakiongea maprofesa kiutaalamu yeye anajidai kujua sana historia ya makabila ya wakenya ambapo alikuwa anajibu kwa uzoefu tu wa siku chache alizokuwa huko. Yaani pro haroub akiongea hili yeye anabisha oh wakikuyu wako vile jaluo hivi mmmh sikumpenda alikuwa hana pointi ubishi tuu. Hadi leo huwa sipendi anavyoendesha kipindi. Si unaona basi hata lugha ya kimataifa haipandi anaongea broken na wageni kana kwamba hatuna wenye kuweza kuongea kwa ufasaha na wageni. Si angeongea tu kiswahili halafu akatafsiriwa! Marina mbishi na much know fulani hivi.
 
Eeeh hayo ndio yanayotokea ukiweka kando misingi ya elimu bora na ukaamua kuwa na bora elimu, ni aibu!
 
Back
Top Bottom