kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 19,303
- 17,830
Aisee sijui kwa nini nimekumbuka hii kitu..
Ni zoezi la miss chit chat 2013.
Leo naomba ni Kubali kuwa hii kitu ilikuwa nzito sio mchezo..
Nimejiuliza ni kwanini hii kitu ilinifanya kuwa addicted kwa kiasi kikubwa vile..
Aisee kumbe niliweka hisia mbele!!
Majembe Arushaone, Lady doctor
Salute kwenu!! I never appriciate you for that, now get My Appriciation....
Hii ngoma ilikuwa kali
Kuna hii timu ya Upande wa Pili ikiongozwa na Baba V na Mamndenyi...aisee si mchezo, nyie ni nomaaa..
Hatujawahi kupiga story kuwa yale mambo yalikuwaje kuwaje..
Najua mkuu watu8 alicheza kwa makini sana..
Big thing mchuano ulikuwa mkali na ni kati ya marafiki!!
Ninachokumbuka kuna member walishindwa kabisa kuonyesha hisia zao, kwa sababu tu, wote tulikuwa marafiki na hawakukubali kusimama upande wowote ule kwa uwazi pamoja na kwamba influence yao ilikuwa kubwa sana...
mf. Heaven on Earth na kina farkhina pamoja na Mr Rocky
hapa kina Khantwe, Heaven Sent, kan'tangaze, tumboo na wachache wengine mnaweza msinielewe
Nawakumbuka sana kina Mzee na kamanda 24hrs na jembe figganigga..
Natamani sana hii kitu ifanyike tena mwaka huu..
ila shansarie hata shiriki.
Mkuu Arushaone ninaamini unaweza kuweka utaratibu vizuri na ukaongea na Invisible hii kitu ikarudishwa hata kama hautakuwa na muda wa kuratibu, naamini kuna.vijana wazuri humu ndani wanaoweza kuendesha hii kitu kwa uzuri kabisa, Wadada washindane..
na ikawa na mwisho mzuri....Conditions & Terms zikiwekwa mambo yatakuwa byee...
Inakamvuto kake kwa kweli...
Ni zoezi la miss chit chat 2013.
Leo naomba ni Kubali kuwa hii kitu ilikuwa nzito sio mchezo..
Nimejiuliza ni kwanini hii kitu ilinifanya kuwa addicted kwa kiasi kikubwa vile..
Aisee kumbe niliweka hisia mbele!!
Majembe Arushaone, Lady doctor
Salute kwenu!! I never appriciate you for that, now get My Appriciation....
Hii ngoma ilikuwa kali
Kuna hii timu ya Upande wa Pili ikiongozwa na Baba V na Mamndenyi...aisee si mchezo, nyie ni nomaaa..
Hatujawahi kupiga story kuwa yale mambo yalikuwaje kuwaje..
Najua mkuu watu8 alicheza kwa makini sana..
Big thing mchuano ulikuwa mkali na ni kati ya marafiki!!
Ninachokumbuka kuna member walishindwa kabisa kuonyesha hisia zao, kwa sababu tu, wote tulikuwa marafiki na hawakukubali kusimama upande wowote ule kwa uwazi pamoja na kwamba influence yao ilikuwa kubwa sana...
mf. Heaven on Earth na kina farkhina pamoja na Mr Rocky
hapa kina Khantwe, Heaven Sent, kan'tangaze, tumboo na wachache wengine mnaweza msinielewe
Nawakumbuka sana kina Mzee na kamanda 24hrs na jembe figganigga..
Natamani sana hii kitu ifanyike tena mwaka huu..
ila shansarie hata shiriki.
Mkuu Arushaone ninaamini unaweza kuweka utaratibu vizuri na ukaongea na Invisible hii kitu ikarudishwa hata kama hautakuwa na muda wa kuratibu, naamini kuna.vijana wazuri humu ndani wanaoweza kuendesha hii kitu kwa uzuri kabisa, Wadada washindane..
na ikawa na mwisho mzuri....Conditions & Terms zikiwekwa mambo yatakuwa byee...
Inakamvuto kake kwa kweli...
Last edited by a moderator: