Hii Ngoma Ilikuwa Nzito!! Chit Chat Reviews...

Hii Ngoma Ilikuwa Nzito!! Chit Chat Reviews...

Hahahah...!!!

ZIle kampeni za wakati ule nafikiri zilinifanya nijulikane na wanJF wote, maana kwa miaka miwili mfululizo familia ya watu8 ilitoa walimbwende walionyakua taji...

nakumbuka mkuu kipindi unampigia kampeni charming lady
 
Last edited by a moderator:
Acheni huu unafiki wenu. Siku ile Lady doctor ameshinda mkashindwa hata kumpongeza baadala yake mkaanzisha uzi wa kulalamika. Mtu ambaye alikua haungi mkono kundi letu wewe Mamndenyi na shansarie mlikua mnamjengea chuki hata salamu hampokei. Hivi kwanini kama kweli unataka shindano lirudi, kwanini hutaki aliyekua mgombe wako shansarie agombee kama kweli una nia njema?. Acheni mambo yenu.

Haya mambo fanyeni lakini nisione mnanisumbua kwenye pm eti mnaomba kura. Watu mnakosa uti hata mnashindwa kutambua hii ni michezo kama michezo mingine. Jana mnatutukana halafu leo eti yaliopita sindwele nani kasema?. Nyie ilibidi muombe msamaha kwa kueneza chuki dhidi ya wale wasio waunga mkono baada ya hapo ndo tuendelee na mambo mengine. Mpasuko mliousababisha mnauona mdogo hadi leo uje na mambo yale yale? kwa kipi kizuri mlofanya uchaguzi ulioisha?
Remmy aliposhinda mbona watu tuliendelea kuelewana, Madame B aliposhinda mbona tulizidi kuwa poa? Charming lady aliposhinda mbona tuligonga kinywaji? Kwanini Lady doctor kishinda iwe nongwa? Au unafikiri shansarie angeshinda kwa kubebwa? zile kura zilikua ni Electronic voting usingeweza kuiba so malalamiko yenu hayakua na mashiko. Hivi ule uzi wa kupiga kura mliuweka wapi?. Mia

Naunga mkono hoja
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Acheni huu unafiki wenu. Siku ile Lady doctor ameshinda mkashindwa hata kumpongeza baadala yake mkaanzisha uzi wa kulalamika. Mtu ambaye alikua haungi mkono kundi letu wewe Mamndenyi na shansarie mlikua mnamjengea chuki hata salamu hampokei. Hivi kwanini kama kweli unataka shindano lirudi, kwanini hutaki aliyekua mgombe wako shansarie agombee kama kweli una nia njema?. Acheni mambo yenu.

Haya mambo fanyeni lakini nisione mnanisumbua kwenye pm eti mnaomba kura. Watu mnakosa uti hata mnashindwa kutambua hii ni michezo kama michezo mingine. Jana mnatutukana halafu leo eti yaliopita sindwele nani kasema?. Nyie ilibidi muombe msamaha kwa kueneza chuki dhidi ya wale wasio waunga mkono baada ya hapo ndo tuendelee na mambo mengine. Mpasuko mliousababisha mnauona mdogo hadi leo uje na mambo yale yale? kwa kipi kizuri mlofanya uchaguzi ulioisha?
Remmy aliposhinda mbona watu tuliendelea kuelewana, Madame B aliposhinda mbona tulizidi kuwa poa? Charming lady aliposhinda mbona tuligonga kinywaji? Kwanini Lady doctor kishinda iwe nongwa? Au unafikiri shansarie angeshinda kwa kubebwa? zile kura zilikua ni Electronic voting usingeweza kuiba so malalamiko yenu hayakua na mashiko. Hivi ule uzi wa kupiga kura mliuweka wapi?. Mia
kumbe nawewe huwa una mind vitu vidogo kama hivi ee, punguza hasira bwana yaliyopita si ndwele
 
kumbe nawewe huwa una mind vitu vidogo kama hivi ee, punguza hasira bwana yaliyopita si ndwele
Watu wanajifanya wajuaji na wenye dharau huwa sielewani nao hata dakika moja wala siogopi kuwaambia ukweli. Naamini kwa ukweli wangu huwa wanajirekebisha. Nakemea mabaya, hila chafu na kulazimisha watu kuheshimu utu wa mtu bila kujali umri kabila wala rangi.

Kusema yote hayo sio kwamba nimeamind bali nataka mjirekebishe na mtambue hapa duniani wote ni sawa na hapa JF hakuna mtumwa wala mtwana. Kututukana sisi sio ndwele lakini nyie mkikemewa kidogo tu ni ndwele sio?. Yupi bora, Mimi ninaye sema na kukukemea unapokosea ili ujirekebishe au yule anayekuacha upotee huku akiugulia moyoni?. Labda mnapenda mtu akae kimya pale mnapomkosea ndo muone mnapendwa.

Mimi nachukulia poa kila kitu japo nakosa uvumilivu wa matusi na dharau. Samahani kwa hilo. mia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom