TANMO
Platinum Member
- Apr 12, 2008
- 12,094
- 12,719
Watu wanajifanya wajuaji na wenye dharau huwa sielewani nao hata dakika moja wala siogopi kuwaambia ukweli. Naamini kwa ukweli wangu huwa wanajirekebisha. Nakemea mabaya, hila chafu na kulazimisha watu kuheshimu utu wa mtu bila kujali umri kabila wala rangi.
Kusema yote hayo sio kwamba nimeamind bali nataka mjirekebishe na mtambue hapa duniani wote ni sawa na hapa JF hakuna mtumwa wala mtwana. Kututukana sisi sio ndwele lakini nyie mkikemewa kidogo tu ni ndwele sio?. Yupi bora, Mimi ninaye sema na kukukemea unapokosea ili ujirekebishe au yule anayekuacha upotee huku akiugulia moyoni?. Labda mnapenda mtu akae kimya pale mnapomkosea ndo muone mnapendwa.
Mimi nachukulia poa kila kitu japo nakosa uvumilivu wa matusi na dharau. Samahani kwa hilo. mia
Duh.. Kumbe Jf kuna mabifu eeh?
mia.