Hii ndoa hainipi amani

Hii ndoa hainipi amani

Nakuambia.
Mwanamke pekee asiyefanywa vizuri ndo anakataa.
Lakini kama anafanywa vizuri hawezi kukataa na kutoa mikono.
Jamaa hajui.
Ana bahati mkewe anatoa tu mikono mimi ningempa na makofi
Aisee! Kumbe

Nimepata kitu hapa maana niko mbioni kuingia kwenye hiyo taasisi nyeti
 
wanawake wengi wanapopata watoto huonesha mabadiliko makubwa sana ndoani, mapenz yao makubwa huyaelekeza kwa watoto na hili husababisha migogoro ya mara kwa mara ndoani.

mwanaume ukishaliona hilo unapaswa kuanza upya kushow love kwake kana kwamba ndo kwanza mmefahamiana ili u-refresh her mind, hii husaidia kuufufua upendo na maisha hurejea sawia.
Hata uonyeshe love, vipi mpaka ununue rose flowers umpe.. mambo yankuwa pale pale,
Wakati huku job watu wanakupa kumbato la haja, na wengine ni wake za watu, unaishia kusema natimiza agano la ndoa,

Wanawake wanawasahau kuwa ndoa ni competition, haswa akiwa mwanaume anaonyesha kutunza na kujali mwenza wake.

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
 
Nakuambia.
Mwanamke pekee asiyefanywa vizuri ndo anakataa.
Lakini kama anafanywa vizuri hawezi kukataa na kutoa mikono.
Jamaa hajui.
Ana bahati mkewe anatoa tu mikono mimi ningempa na makofi
ukidiliki kunifanyia hayo utakua umegusanisha nyaya
 
  • Thanks
Reactions: amu
Umeshasema mkeo analea, sasa wee hayo ya kutaka mda wote mliwazane inakujaje?
Acha mama alee nwana.
 
Nakuambia.
Mwanamke pekee asiyefanywa vizuri ndo anakataa.
Lakini kama anafanywa vizuri hawezi kukataa na kutoa mikono.
Jamaa hajui.
Ana bahati mkewe anatoa tu mikono mimi ningempa na makofi
Aaaah aunt kumbe ndo zakooh lol, afu nimekumic mnooh , nan anakuficha jamaniii?
 
Hana hisia na wee tafuta ufumbuzi ikishindikana kabsa mwambie mshenga ikishindikana achana nae tafuta mke mwingne usikose furaha maisha mafupi sana
 
Una mke mshamba sana, kwangu mimi ninavyopenda uzungu hata mwezi asingefikisha
Habari Zenu Wadau

Mwenzenu Nimeoa Ni Miaka Miwili Sasa, Tuna Mtoto Mmoja Anatimiza Miaka Miwili Januari Mwakani

Yeye Ni Mama Wa Nyumbani, Napenda Nikitoka Kazini Nirudi Nyumbani Mapema Kabla Ya Saa 3 Usiku, Awe Karibu Yangu Nimdekeze Aniliwaze

Mara nyingi Anajitenga Yaani Ule Ukaribu Wa Kumkumbatia Na Kumshikashika Huwa Hapendi Na Kuna Wakati Aliniita King'ang'anizi, Pale Nilipojaribu Kumpapasa Wakati Yeye Hataki

Game Hadi Nitake Mimi Lasivyo Utapita Mwezi Bila Kugusana, Nimechunguza Hana Mwanaume Wa Nje

Sitaki Nihangaike kutafuta Wanawake Nje Wakati Familia Yangu Ipo Nyumbani

Jana Tumetembelewa Na Mdogo Wake Wa Kike Sasa Usiku Nikaomba Mechi Akasema Hataki Sababu Mgeni Yupo Nyumbani Atasikia Kelele Zetu, Nikaona Yaishe, Ila Nikaonesha Japo Kuhitaji Kumbatio Lake Nimshike Japo Kidogo Roho Yangu Irizike Nilale Unono Eti Akaniambia ''Nijiheshimu'' mgeni Yupo Nyumbani Huku Akitoa Mkono Wangu Kwa Nguvu Mwilini Mwake Na Akionesha Kukasirishwa

Niliudhika Sana Nikamwambia Sitajaribu kumgusa Tena Abaki Na Mwili Wake. Mke Wangu Hana shida Kwenye Mambo Mengine Ila Hili La Ukaribu Na Unyumba Limekuwa Likitukosanisha Mara kwa Mara

Wakuu Nyeto Nilishaacha Sasa Nimeoa Niendelee Kupiga Nyeto Wakati Mke Yupo Nyumbani Kweli!? Hili suala Linavuruga Hadi Shughuli Zangu Za Utafutaji Maana Sina Amani Na Akili Haipati Utulivu Na Kuliwazwa

Msaada Wakuu Mliopitia Haya Na Yeyote Mwenye Ushauri Kwa Haya Yanayoisibu Hii Ndoa
 
Hana hisia na wewe.... Kwa kifupi hakupendi
 
Wewe muache mwenzio afufue penzi lake
Hapa ndo umeyumba jumla. Kosa lake unaomba msamaha wewe!! Una umri gan mkuu?? Kabla hujaoa ulikuwa na uzoefu kiasi gani wa mahusiano???
 
Kwani mwanzo kabla ya kumuoa ilikuwaje!? Unajua kuna vitabia huwa tunavipuuzia ila baadaye inakuwa shida, niliwahi kuwa na mahusiano na binti mmoja, yeye alikiri wazi kwamba sex sio kipaumbele kwake, na kweli game nikawa napata kwa mbinde sana..
Nikawaza huu ndo mwanzo tu wa mapenzi anakuwa hivi, akiingia ndani je?

Ugonile
 
Habari Zenu Wadau

Mwenzenu Nimeoa Ni Miaka Miwili Sasa, Tuna Mtoto Mmoja Anatimiza Miaka Miwili Januari Mwakani

Yeye Ni Mama Wa Nyumbani, Napenda Nikitoka Kazini Nirudi Nyumbani Mapema Kabla Ya Saa 3 Usiku, Awe Karibu Yangu Nimdekeze Aniliwaze

Mara nyingi Anajitenga Yaani Ule Ukaribu Wa Kumkumbatia Na Kumshikashika Huwa Hapendi Na Kuna Wakati Aliniita King'ang'anizi, Pale Nilipojaribu Kumpapasa Wakati Yeye Hataki

Game Hadi Nitake Mimi Lasivyo Utapita Mwezi Bila Kugusana, Nimechunguza Hana Mwanaume Wa Nje

Sitaki Nihangaike kutafuta Wanawake Nje Wakati Familia Yangu Ipo Nyumbani

Jana Tumetembelewa Na Mdogo Wake Wa Kike Sasa Usiku Nikaomba Mechi Akasema Hataki Sababu Mgeni Yupo Nyumbani Atasikia Kelele Zetu, Nikaona Yaishe, Ila Nikaonesha Japo Kuhitaji Kumbatio Lake Nimshike Japo Kidogo Roho Yangu Irizike Nilale Unono Eti Akaniambia ''Nijiheshimu'' mgeni Yupo Nyumbani Huku Akitoa Mkono Wangu Kwa Nguvu Mwilini Mwake Na Akionesha Kukasirishwa

Niliudhika Sana Nikamwambia Sitajaribu kumgusa Tena Abaki Na Mwili Wake. Mke Wangu Hana shida Kwenye Mambo Mengine Ila Hili La Ukaribu Na Unyumba Limekuwa Likitukosanisha Mara kwa Mara

Wakuu Nyeto Nilishaacha Sasa Nimeoa Niendelee Kupiga Nyeto Wakati Mke Yupo Nyumbani Kweli!? Hili suala Linavuruga Hadi Shughuli Zangu Za Utafutaji Maana Sina Amani Na Akili Haipati Utulivu Na Kuliwazwa

Msaada Wakuu Mliopitia Haya Na Yeyote Mwenye Ushauri Kwa Haya Yanayoisibu Hii Ndoa
Mle mdogo wake ndio atatambua dosari yake
 
Back
Top Bottom