Hii ndoa hainipi amani

Hii ndoa hainipi amani

We nae acha kuhatarisha ndoa yako kwa comment za humu wewe,

Tafuta solution ya tatizo la mkeo
Mkuu kuna wadau wanaona bwege mimi kumuomba msamaha mke wangu, wakati ndoa ni Kujishusha
Kuna wadau wamenishauri vizuri humu Nitazingatia mashauri yatakayomfanya mke wangu ajione yuko paradiso
 
Nishawahi kukaa nae mkuu akaomba Msamaha
Nitaongea Nae Tena Leo, Maana Ananivuruga kuna Muda Nafikiria Kuchepuka Au Kumrudisha Kwao
Fanya hivi wakati wa mechi, wewe jikite kumchezea hadi akojoe mara moja au mbili kabla hujamgonga... Ikibidi muende kuoga wote, in short make sure umefahamu ni wapi ukimchezea atajusikia raha na kukojoa. Huyu inaonekana wala hajawahi kufika kileleni so hilo tendo kwake limegeuka kero..
 
Duuuuuh hapa mkuu umenigusa hii ipo kwenye ndoa yangu nitakuja siku moja kuuelezea huu mkasa
Hiyo ni hatari kuu kwenye ndoa mkuu. Usiposhughulikia hilo utaishi kwenye ndoa ya mateso sana.
 
Ndio mapigo yanayofuata kuna wadau wanasema mimi bwege wengine wanasema naonekana fala
Mimi nilijishusha ili kujenga ila sasa nampa nafasi ya mwisho

Ongea nae hataki muachane maisha magumu na ngono ukose jamani
 
Kwani mkuu huwa analia sana kwa kelele,na kama ni kweli itabidi unitafute nikupe plaster original ili akikwambia mwambie ni nina plaster hapa nitakuziba mdomo
 
Mkuu kuna wadau wanaona bwege mimi kumuomba msamaha mke wangu, wakati ndoa ni Kujishusha
Kuna wadau wamenishauri vizuri humu Nitazingatia mashauri yatakayomfanya mke wangu ajione yuko paradiso
Hiyo ndo akili
 
Anautumia Smartphone??

Muwekee SpyHuman utajua kila kitu
Nimejaribu playstore haipo Asante ila mkuu hayo mambo hayahitajiki mke wangu hanaga masuala hayo kwakweli hata simu zetu hatuweki password muda wowote tunaweza chunguzana tukiamua
 
Amekukinai huyo.... Kama inawezekana mtengane kidogo kwa muda...sio kutengana ya kuachana...mmoja wenu asafiri hata mwezi tu unatosha....kuhusu punyeto hayo ni maamuzi binafsi....hata wife wako inawezekana pia anapiga punyeto ndio maana hana hisia na ww.
 
Kwani mkuu huwa analia sana kwa kelele,na kama ni kweli itabidi unitafute nikupe plaster original ili akikwambia mwambie ni nina plaster hapa nitakuziba mdomo
 
Ndio mapigo yanayofuata kuna wadau wanasema mimi bwege wengine wanasema naonekana fala
Mimi nilijishusha ili kujenga ila sasa nampa nafasi ya mwisho

Kwanza Napenda kukupa pole sana kwa unayopitia, kuna tatizo kubwa sana linao msumbua mke wako.
> wasiwasi wangu atakuwa na jini mahaba,so linamfanya akuchukie sana, ushauri unatakiwa mpeleke haraka kwenye Maombi hiyo hali itakwisha na atakuwa anakukumbatia mpaka unaona ulikuwa umechelewa wapi na atakupa mzigo hata bafuni, jikoni hata mkiwa mnakula kabla yakumaliza anaweza kukuvua hapo hapo. Please kama hupo series fanya ninachokueleza , binadamu siyo watu wazuri.
 
Back
Top Bottom