HhhhhhhhhhhhhhIssue yako ni rahisi sana na mara nyingi wala hana kosa lolote, Kwa mwanamke ndoa na I Karibu ni namna mnavyoishi, ni jumla ya matendo yako!
KWa Mama wa Nyumbani asiye ka kazi na fedha zake, ukiwa hamtuzi vizuri na kumpa hela za ziada kwa ajili ya kwao Labda Mama yake Kitenge? Akawa analalamika, hawezi Kuwa na amani!
Cha kufanya:
1. Some vitabu sana vya mahusiano, hasa vya kizungu, Achana na Huu ujinga wa Mauki.
2. Jaribu sana kujadili na mke wako kutaka kujua tu ana Mawazo gani, kama ajielezi sana jaribu hata kumwambia au nyumbani kuna shida etc!
3. Mtu mie message za kumjulia hali mchana kutwa na kumpa pole na majukumu ya home!
3. Watoto wanasumbua, msaidie, ukirudi home wewe hangaika na Mtoto zaidi yake!
Ukifanya haya kwa uaminifu lazima utaona tofauti!
N:B: Huo ujinga wa kutomasana kila wakati na wewe uache, Tupo uchumi wa kati sasa!
Kulea Mtoto ni kazi sana nawaambia! Mimi najua Ingawa ni mwanaume! Mama wa Nyumbani na kazi za siku na kama hana Dada Sio issue ndogo!
Pole sana
Unatakiwa uelewe nini cha kufanya. Hakuna ndoa iliyowahi kuwa ya Kidiplomasia ikadumu. Ukiwa ni Mwanaume kamili, utaelewa nimemaanisha niniMaswali ya wadaumimi ndo mtoa mahari na ninawajibika kama mume
Hivi ni kwa nini mzigo wa kuandaana unatupiwa upande mmoja?mzee baba utakuwa huna maandalizi matakatifu wewe 😄
Kwani mkuu wewe mwenyewe huwezi kuona kama amefika au la?Namuandaa ila hapo kwenye kumfikisha Nitaongea Nae Labda Simfikishi Dah Kufikishana Tena haya mambo Yanachanganya![]()
Mkuu tafuta kitabu kinaitwa Attraction. Then apply hiyo maarifa.
Kama asipokaa sawa basi wewe hutodhurika in any means.
upande upi??Hivi ni kwa nini mzigo wa kuandaana unatupiwa upande mmoja?
Kiumeni.upande upi??
Kweli kabisa njia za uzazi wa mpango zinamaliza kabisa hamu ya kufanya mapenzi,na Kama muoga kumwambia mume wake apake vilainishi anaumia kwa kuchubuka...Huwa wanawekaga vijiti kimya kimya kwahyo mchunguze vizuri kuna uwezekano amewek kijiti na huwa kina tabia ya kuwafanya wakose hamu kabisa ya kungonoka wengine utelezi unapotea hata umuandaeje
Kijiti aliweka tulishauriana aweke nduguHuwa wanawekaga vijiti kimya kimya kwahyo mchunguze vizuri kuna uwezekano amewek kijiti na huwa kina tabia ya kuwafanya wakose hamu kabisa ya kungonoka wengine utelezi unapotea hata umuandaeje