Hii ndoa hainipi amani

Hii ndoa hainipi amani

Then kuna spiritual husband kwa mkeo. Hii imekuwa chanzo kikubwa cha kuvunjika kwa mahusiano mengi. Ama labda wewe pia unaweza kuwa na spiritual wife. Umewahi kuota ndoto ukiwa na mpenzi?
We jamaa una akili sana.

Shida nyingi katika mahusiano huwa yanaanzia hapa.

Hushawahi kuwa na mtu unaona mnapendana ila kuna namna fulani tu unavyojisikia ndani kana kwamba unakosa Amani fulani hivi na ule uhuru kwa asilimia zote kwake?

Yaani mpo ila kila mmoja anahisi kutokuwa huru na mwenzake kwa asilimia zote?

Unakaa na mwanamke/mwanaume hawezi kukuelezea yote yanayomsibu na yupo tayari kutafuta mtu nje ili amuelezee yote.

Spiritual husband, Spiritual wife.

Mnaendana na kila mmoja anahisi kuwepo na ulinzi, Amani na usiri mnapokuwa wote, yaani kila mmoja ana mwamini mwingine bila dosari lolote ndani yake na yupo huru kufanya lolote kwa mwenza wake pasipo kujilazimisha.
 
We mwenyewe hakikisha uko msafi mwili mzima na kinywa kwa ujumla.
Kwa usafi wa mwili na kinywa sijisifii ila nazingatia sana maana mi mwenyewe sipendi harufu mbaya ya mwili
 
I understand the leadership aspect of it and that could mean the ability to know what type of battles to fight, in some instances, you have to play chess with a woman, and not checkers. A true leader knows when and how to take actions, listening to what a woman has to says doesn't mean showing weakness whatsoever. You can still come on top without lifting a finder if you play right and she will respect and trust you more for leading her intelligently.
Uko sahihi kabisa ndugu watu tushakalili uanaume ni ubabe tu wakati hawa watoto muda mwingine unawalainisha kwa kujifanya mpole
 
Labda nizidishe Uchunguzi Mkuu, lakini simu Yake nafuatilia hakuna shaka yoyote
Asante

unajua simu yake moja, nyingne unaijua au ulishawahi kuionaa?? usimfatilia wala kumchunguza mkeo hata siku mojaa
 
Habari Zenu Wadau

Mwenzenu Nimeoa Ni Miaka Miwili Sasa, Tuna Mtoto Mmoja Anatimiza Miaka Miwili Januari Mwakani

Yeye Ni Mama Wa Nyumbani, Napenda Nikitoka Kazini Nirudi Nyumbani Mapema Kabla Ya Saa 3 Usiku, Awe Karibu Yangu Nimdekeze Aniliwaze

Mara nyingi Anajitenga Yaani Ule Ukaribu Wa Kumkumbatia Na Kumshikashika Huwa Hapendi Na Kuna Wakati Aliniita King'ang'anizi, Pale Nilipojaribu Kumpapasa Wakati Yeye Hataki

Game Hadi Nitake Mimi Lasivyo Utapita Mwezi Bila Kugusana, Nimechunguza Hana Mwanaume Wa Nje

Sitaki Nihangaike kutafuta Wanawake Nje Wakati Familia Yangu Ipo Nyumbani

Jana Tumetembelewa Na Mdogo Wake Wa Kike Sasa Usiku Nikaomba Mechi Akasema Hataki Sababu Mgeni Yupo Nyumbani Atasikia Kelele Zetu, Nikaona Yaishe, Ila Nikaonesha Japo Kuhitaji Kumbatio Lake Nimshike Japo Kidogo Roho Yangu Irizike Nilale Unono Eti Akaniambia ''Nijiheshimu'' mgeni Yupo Nyumbani Huku Akitoa Mkono Wangu Kwa Nguvu Mwilini Mwake Na Akionesha Kukasirishwa

Niliudhika Sana Nikamwambia Sitajaribu kumgusa Tena Abaki Na Mwili Wake. Mke Wangu Hana shida Kwenye Mambo Mengine Ila Hili La Ukaribu Na Unyumba Limekuwa Likitukosanisha Mara kwa Mara

Wakuu Nyeto Nilishaacha Sasa Nimeoa Niendelee Kupiga Nyeto Wakati Mke Yupo Nyumbani Kweli!? Hili suala Linavuruga Hadi Shughuli Zangu Za Utafutaji Maana Sina Amani Na Akili Haipati Utulivu Na Kuliwazwa

Msaada Wakuu Mliopitia Haya Na Yeyote Mwenye Ushauri Kwa Haya Yanayoisibu Hii Ndoa
Hii ndiyo ndoa isiyo na matendo ya ndoa.
 
kama unarud home saa3 usiku jua kuna jamaa anatafuna, tafta mchepuko akupe unachotaka maana una muda saa kama hadi saa 3 unakuwa nje.....usiharib ndoa kwa kumrudsha kwao, ni chanz cha mtoto wenu kuitwa Shida"
 
Namuandaa ila hapo kwenye kumfikisha Nitaongea Nae Labda Simfikishi Dah Kufikishana Tena haya mambo Yanachanganya
kama hujui kama huwa unamfksha bas huwa humfikishi....ila yote kwa yote kama amekuwa katili fanya kutafta mchepuko usiiguse hiyo ndoa kama yuko vzur kwenye mambo mengne hasa hasa malez ya mtoto
 
Umeona, eh. Kama nyumba yao haina mazingira ya faragha kwa nini anataka kufnaya mapenzi na mdogo mtu anasikia. Ama ana mpango wa kumvutia shemeji yake? Mke ana akili kuliko huyu mleta mada.
Tatizo ni wewe mwenyewe,
 
Labda humfikishi
Au humuandai..

Jaribu kumdadisi... inaonekana sex kwake sio fun ni kero..

Hata hivyo yawezekana ana hormone imbalance baada ya kujifungua..
Hamu imempungua sana..
Upo sahihi Kabisa The Boss Nafikiri ashughulikie swala la hormone imbalance na pia kumdadisi kama kweli anamfikisha, anafurahia tendo la ndoa na mumewe.


Feminine Herbal Complex

GNLD feminine herbal complex contain 10 herbs in balanced mix to help women achieve an optimal health, comfort, calmness and vitality. For example St. John’s Wort, help support calmness, boost spirits and promote happy mental attitude. Vitex and red sage support normal female physiology and function.



Other benefits:

  • It gives stamina and endurance
  • It stops irregular period
  • It stops heavy menstrual flow
  • It stops excessive sweating and calm the body
  • It reduces mild anxiety/stress
  • It reduces abdominal bloating
  • It is good for swollen fingers/ankles
  • It reduces mild depression
  • It improves wellness
  • It relieves congestion of liver and gallbladder
  • It reduces fluid retention
  • it helps shrink fibroid
  • it improves fertility
  • it boost women libido
  • it helps in internal heat problem
  • It reduce hot flashes
  • It improve the health of women pass through menopause
 

Attachments

  • feminine-new.png
    feminine-new.png
    30.8 KB · Views: 5
We jamaa una akili sana.

Shida nyingi katika mahusiano huwa yanaanzia hapa.

Hushawahi kuwa na mtu unaona mnapendana ila kuna namna fulani tu unavyojisikia ndani kana kwamba unakosa Amani fulani hivi na ule uhuru kwa asilimia zote kwake?

Yaani mpo ila kila mmoja anahisi kutokuwa huru na mwenzake kwa asilimia zote?

Unakaa na mwanamke/mwanaume hawezi kukuelezea yote yanayomsibu na yupo tayari kutafuta mtu nje ili amuelezee yote.

Spiritual husband, Spiritual wife.

Mnaendana na kila mmoja anahisi kuwepo na ulinzi, Amani na usiri mnapokuwa wote, yaani kila mmoja ana mwamini mwingine bila dosari lolote ndani yake na yupo huru kufanya lolote kwa mwenza wake pasipo kujilazimisha.
Umemaliza mkuu, mwenye masikio na asikie.
 
Wasikuzingue na habari za akipata mtto upendo huhama hakuna habari hzo tafuta mbadala kwa miezi 4 kama hajakuhitaji , jiongeze wanawake wanazea ndoa na kuona ni kitu cha kawaida
 
kama hujui kama huwa unamfksha bas huwa humfikishi....ila yote kwa yote kama amekuwa katili fanya kutafta mchepuko usiiguse hiyo ndoa kama yuko vzur kwenye mambo mengne hasa hasa malez ya mtoto
NAKAZIA HAPA
 
Dawa za vidonge vya uzazi wa mpango huwa zinapunguza hamu kwa wanawake, kama anatumia basi jaribu kutumia vitamin E. tablets huwa inasaidia.
 
Habari Zenu Wadau

Mwenzenu Nimeoa Ni Miaka Miwili Sasa, Tuna Mtoto Mmoja Anatimiza Miaka Miwili Januari Mwakani

Yeye Ni Mama Wa Nyumbani, Napenda Nikitoka Kazini Nirudi Nyumbani Mapema Kabla Ya Saa 3 Usiku, Awe Karibu Yangu Nimdekeze Aniliwaze

Mara nyingi Anajitenga Yaani Ule Ukaribu Wa Kumkumbatia Na Kumshikashika Huwa Hapendi Na Kuna Wakati Aliniita King'ang'anizi, Pale Nilipojaribu Kumpapasa Wakati Yeye Hataki

Game Hadi Nitake Mimi Lasivyo Utapita Mwezi Bila Kugusana, Nimechunguza Hana Mwanaume Wa Nje

Sitaki Nihangaike kutafuta Wanawake Nje Wakati Familia Yangu Ipo Nyumbani

Jana Tumetembelewa Na Mdogo Wake Wa Kike Sasa Usiku Nikaomba Mechi Akasema Hataki Sababu Mgeni Yupo Nyumbani Atasikia Kelele Zetu, Nikaona Yaishe, Ila Nikaonesha Japo Kuhitaji Kumbatio Lake Nimshike Japo Kidogo Roho Yangu Irizike Nilale Unono Eti Akaniambia ''Nijiheshimu'' mgeni Yupo Nyumbani Huku Akitoa Mkono Wangu Kwa Nguvu Mwilini Mwake Na Akionesha Kukasirishwa

Niliudhika Sana Nikamwambia Sitajaribu kumgusa Tena Abaki Na Mwili Wake. Mke Wangu Hana shida Kwenye Mambo Mengine Ila Hili La Ukaribu Na Unyumba Limekuwa Likitukosanisha Mara kwa Mara

Wakuu Nyeto Nilishaacha Sasa Nimeoa Niendelee Kupiga Nyeto Wakati Mke Yupo Nyumbani Kweli!? Hili suala Linavuruga Hadi Shughuli Zangu Za Utafutaji Maana Sina Amani Na Akili Haipati Utulivu Na Kuliwazwa

Msaada Wakuu Mliopitia Haya Na Yeyote Mwenye Ushauri Kwa Haya Yanayoisibu Hii Ndoa
Pole sana, umesema ni mama wa nyumbani, mna watoto wangapi? Na je mna msaidizi wa kazi, kazi za hapo nyumbani ni nyingi? Watoto wamepishana umri gani?

Pengine anapitia stress za kazi za hapo nyumbani na malezi ya watoto, mazingira ya aina moja ya kukaa nyumbani 24/7 pamoja na kukosa muda wa ku socialize na watu tofauti tofauti

Jitahidi atlist kwa wiki utoke nae japo hata mara mbili, wakati mwingine hata kwa kutembea kwa miguu ali afanye mazoezi kidogo damu ichangamke na abadilishe mazingira na pia hata kuwa na social life itamsaidia kuondoa stress

Wakati mwingine mjaribu kulala nje ya nyumbani atlist once a month na mpate muda wa peke yenu pamoja, hii itamsaidia kubadilisha mazingira ambayo labda yamekua common sana kwake


Ni hali ambayo wanawake wengi wanapitia, sio kwamba anakua na mahusiano mengine ila kuna number of issues ambazo anakutana nazo na ni rahisi kumrudisha kwenye hali ya kawaida kama utapata muda wa kuzungumza nae ujue anajisikiaje na anahihitaji nini kutoka kwako especially mnapokua faragha
 
Dawa za vidonge vya uzazi wa mpango huwa zinapunguza hamu kwa wanawake, kama anatumia basi jaribu kutumia vitamin E. tablets huwa inasaidia.
Kwa wanaoweka vijiti inakuwaje
 
Back
Top Bottom