Hii ndoa hainipi amani

Hii ndoa hainipi amani

Najua hii inaweza ikakuhnda ila jitahidi.

Ukifika nyumban akikisha umekula.

Omba maji ya kuoga ukiona anajivuta usisubir Wai kaoge bila kuuliza na kalale bila kuongea chochote na kitandan usiwe na habari nae.

Jidae Kama umerudi home ukiwa umechoka na lala fofofo ata kwa uongo ndani ya siku5
 
Umeshauri vizuriii , umekuja kuharibu chini hapo kwenye NB dah sasa asimtomase mke wake akamtomase nani, unajua msichukulie poa, mwanaume mwaminifu anapitia magumu sana akikutana na aina hizi za changamoto, mashine huwa inaamka tu muda wowote maana hamwagi kwingine muda wote tank lipo full

Ndugu yangu jamaa anataka tomasa kila wakati, kuna mda Mtoto kunyonyeswa, na Mama kupumzika, sasa kutomasana kila saa haifai!
 
Namuandaa ila hapo kwenye kumfikisha Nitaongea Nae Labda Simfikishi Dah Kufikishana Tena haya mambo Yanachanganya
Na kwa nini usijue km unamfikisha na ni mkeo.angalia body language yake wakat unapiga spana.mfano usoni km anakuwa kawaida as if hakuna unachofanya basi kazi yako ni sifuri.km show iko poa utaona anakunja uso km anakula ndimu.
Pia jaribu kumsemesha wakat wa show.na ujue wewe uko pale kwa ajili yake na kamwe si wewe kujiridhisha. Kuna mwanamme anajidai anapiga goli nne lkn mwanamke akabaki anashangaa ni nini unafanya,hujagusa ata hisia zake.mwanamme ata nusu dakika unaweza maliza.ila ongea nae kwa kina na pia ujue ni maeneo gani ukigusa unaona mshituko.hili swala ni mtambuka sana.
Kuna na afya yake pia,mambo ya homoni,hali yenu kimaisha.
Usikane kuwa mkeo hachepuki.usishangae kuna kidume kinampiga mshedede na wewe umebweteka tu.kumbuka hajafuata chakula,mavazi,nyumba nk si ajabu kwao vipo mpaka vya ziada lakini aliviacha.AMEFUATA MSHEDEDE TU UKIFELI HAPO BAAASI,
 
Niliwahi fanya hivyo mwanzo aliponiita kinga'ang'anizi baada ya siku mbili alirudi akiomba msamaha na kilio juu

Ila sijui kitu gani kinamtembea kichwani unakuta baada ya muda analeta ujinga
Duuuh
 
Ni kweli Mkuu Je kwa mwanamke aliyekeketwa unaonaje
Sijawahi kuwa na mwanamke aliyekeketwa, kwa hiyo siwezi kulielezea hilo.
Ila sijui kitu gani kinamtembea kichwani unakuta baada ya muda analeta ujinga
Wanawake ndivyo walivyo bro ila wenyewe huwa hawajioni, hata mama zetu ukiondoa yale mawazo ya kusema huyu ni mama, utaziona tabia zile zile za wanawake wengine. Kikubwa kinachosababisha hayo ni kiasi cha homoni, huwa zinaweza mfanya achukie, anune, apende na afurahi, sisi wanaume tabia zetu hazibadilishwi sana na kiasi cha homoni.

Tatizo kubwa hapa ni kuwa wanaume huwa hatuelezwi kinaga ubaga kuhusu chanzo cha baadhi ya tabia za wanawake, haya ni mambo ya msingi ambayo tulitakiwa kujifunza nyumbani kwa baba na mama zetu. Utaona msichana aliyefunzwa na baba yake kuhusu tabia za wanaume, mara nyingi anakuwa nauelewa wa jinsi ya kuishi vizuri na mume, kwenye maisha ya ndoa.

Cha muhimu, "don't take it personal" ni biology yao iko kazini, ndiyo maana wengine wamesema "akilianzisha" fanya yako. Mfano unaweza kujenga puzzle na mwanao, ukamsomea vitabu mwanao, ukafanya projects zako au ukafanya mazoezi ili umwache ahangaike na homoni zake mwenyewe. Akili zikimrudia atakufuata.
 
Asanteni Sana Wadau Baada Ya Kufuata Mashauri Yenu, Sasa Bibie Ananitunuku Vinono JumlaJumla Sina Tena Stress Naenjooy
 
Asanteni Sana Wadau Baada Ya Kufuata Mashauri Yenu, Sasa Bibie Ananitunuku Vinono JumlaJumla Sina Tena Stress Naenjooy
Unatakiwa utulipe pesa kwa consultation na kuifanya ndoa yako iwe imara zaidi
 
Unatakiwa utulipe pesa kwa consultation na kuifanya ndoa yako iwe imara zaidi
Mkuu Minoti Tena, Nami Nimewahi Kukupa Ushauri Humu, Hesabu Tumelipana Hivyo
Ila shukrani Ndugu
 
Hata uonyeshe love, vipi mpaka ununue rose flowers umpe.. mambo yankuwa pale pale,
Wakati huku job watu wanakupa kumbato la haja, na wengine ni wake za watu, unaishia kusema natimiza agano la ndoa,

Wanawake wanawasahau kuwa ndoa ni competition, haswa akiwa mwanaume anaonyesha kutunza na kujali mwenza wake.

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app

Kama bado una akili za "ndoa ni competition" basi usioe, subiri kwanza ukue.
 
Hayo nadhani n mabadiliko yanayotokea baada ya mwanamke kujifungua na mwanamke asipokuwa mjanja inakuwa ngumu kuyahandle,inazekana baada ya kujifungua hajiamin tena,au ufanyaji wako wa mapenzi unamkera,lakn pia anachoka kutokana na pilika pilika za malezi
Muhmu,tatua tatzo mchepuko au kumrudisha kwao haisaidii zaid ya kuongeza tatizo ,nadhan n vzuri kuelezana ili kujua tatizo li wap,lakin pia jtahd kumsaidia kazi ndogo ndogo unaporud nyumban ata kumwogesha mtoto na nn ili sasa apumue ili unapoanza njonjo zako anakuwa karelax kdogo
 
Ignore fanya Mambo yako

Kama Kuna vitu ulikuwa anakufanyia fanya mwenyewe mfano

Usile chakula chake

Fua nguo zako mwenyewe

Ukitoka usiage unaenda wapi .

Ukilala nae kitandani uwe bize na simu na jifunike shuka lako

Nyoosha zako mwenyewe

Ondoka asubuhi Rudi jioni na moja kwa moja chumbani kulala

Akiwa na shida ya hela usiulize weka kwenye meza sepa

Hawa viumbe bila kucheza na saikolojia Yao watakuendesha sana

Unapaswa kujua kuwa Ni viumbe dhaifu so lazima ucheze naa saikolojia

Trust me one day atarudi kwenye mstari kwa spidi ya ajabu na wivu juu


Mimi usipokula kesho nakutext mapemaaaaa...na leo utakula huko huko nisikuhesabu?
 


Mimi usipokula kesho nakutext mapemaaaaa...na leo utakula huko huko nisikuhesabu?
Hakuna jambo linawaumiza nyie wanawake kama la sisi wanaume kutokula chakula ulichokiandaa,
 
Hakuna jambo linawaumiza nyie wanawake kama la sisi wanaume kutokula chakula ulichokiandaa,
Inategemea mkuu! Kuumia mwisho mara moja tu, baadae utaumia mwenyewe
 
Back
Top Bottom