Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
- Thread starter
- #241
Huu uzi unahusu njia zinazo tumika kuwapatia hao mnao waita wanyonge
Tumeshuhudia hadi polisi wanatumika kuwalazimisha kununua hivyo vitambulisho
Tumeshuhudia hadi polisi wanatumika kuwalazimisha kununua hivyo vitambulisho
Utakuwa una tatizo la msingi. Sijui kama picha hii inaonesha "kulazimishwa" au hata huo mtutu. Na mimi sijaongelea kuwa vitambulisho vinabezwa au la au kuhusu njia zinazotumika ni halali au la. Sijui hata umetoa wapi kwenye post yangu hayo unayoyasema. Nilichosema tu ni kuwa PICHA haioneshi analazimishwa kuchukua kitambulisho na ndio maana nikasema kitambulisho huyu mama alikuwa tayari keshalipia na anachofanya huyo jamaa ni kukiangalia tu!!!
Bro, labda kuna jambo fulani linakuudhi muda huu lakini kwa kifupi umechanganya topics. Ninaongelea PICHA tu!!!
