Hii ndiyo Serikali ya wanyonge?

Hii ndiyo Serikali ya wanyonge?

Huu uzi unahusu njia zinazo tumika kuwapatia hao mnao waita wanyonge
Tumeshuhudia hadi polisi wanatumika kuwalazimisha kununua hivyo vitambulisho
Utakuwa una tatizo la msingi. Sijui kama picha hii inaonesha "kulazimishwa" au hata huo mtutu. Na mimi sijaongelea kuwa vitambulisho vinabezwa au la au kuhusu njia zinazotumika ni halali au la. Sijui hata umetoa wapi kwenye post yangu hayo unayoyasema. Nilichosema tu ni kuwa PICHA haioneshi analazimishwa kuchukua kitambulisho na ndio maana nikasema kitambulisho huyu mama alikuwa tayari keshalipia na anachofanya huyo jamaa ni kukiangalia tu!!!

Bro, labda kuna jambo fulani linakuudhi muda huu lakini kwa kifupi umechanganya topics. Ninaongelea PICHA tu!!!
 
Huu uzi unahusu njia zinazo tumika kuwapatia hao mnao waita wanyonge
Tumeshuhudia hadi polisi wanatumika kuwalazimisha kununua hivyo vitambulisho

Nitarudia tena. Umeleta uzi ukiwa na hoja ya "kulazimisha kununua kitambulisho" na ukaweka picha yenye maelezo kuwa mkuu wa wilaya "akimlazimisha" muuza mchicha kununua kitambulisho. Point yangu nikuwa picha uliyoiweka kama ushahidi unaonesha kitambulisho alichokishika mkuu wa wilaya ni mali ya huyo mama (amekivaa kwa mshipi wa rangi ya blue). Period. Siku nyingine ukitaka kusapoti hoja yako - uwe na video clip la sivo still photo huwa haitetei sana maneno (it is subject to interpretation). Period. Ngoja nisipoteze muda wangu na wewe.
 
Wewe ni gamba tu unatetea maovu mnayotufanyia wanyonge
Nitarudia tena. Umeleta uzi ukiwa na hoja ya "kulazimisha kununua kitambulisho" na ukaweka picha yenye maelezo kuwa mkuu wa wilaya "akimlazimisha" muuza mchicha kununua kitambulisho. Point yangu nikuwa picha uliyoiweka kama ushahidi unaonesha kitambulisho alichokishika mkuu wa wilaya ni mali ya huyo mama (amekivaa kwa mshipi wa rangi ya blue). Period. Siku nyingine ukitaka kusapoti hoja yako - uwe na video clip la sivo still photo huwa haitetei sana maneno (it is subject to interpretation). Period. Ngoja nisipoteze muda wangu na wewe.
 
Hapo chini anaonekana mkuu wa wilaya akimlazimisha mama muuza mchicha kununua kitambulisho kwa sh 20000 wakati huo mchicha wenyewe hata magungu ishirini hayafiki.
Huku ndiyo kuwatetea wanyonge View attachment 1093921
Mkuu hivyo ndio kuwajali wanyonge na mwisho wa siku wanyonge haohao watapiga makofi na kushangilia wanaowakamua wakiwa majukwaani
 
Mkuu hivyo ndio kuwajali wanyonge na mwisho wa siku wanyonge haohao watapiga makofi na kushangilia wanaowakamua wakiwa majukwaani
wahenga wansemaga kuwa ujinga ni wakati wa kwenda tu
 
Aise kuna watu watachomwa moto wa jehanamu aisee tena nahisi wao wameandaliwa mahala penye moto mkali zaidi
 
Hapo chini anaonekana mkuu wa wilaya akimlazimisha mama muuza mchicha kununua kitambulisho kwa sh 20000 wakati huo mchicha wenyewe hata magungu ishirini hayafiki.
Huku ndiyo kuwatetea wanyonge View attachment 1093921
Akimlazimisha?!!unajuaje kama anamlazimisha,
Kwenye picha unaonaje kama kuna kulwzimishwa,mi naona kama jamaa anaangalia tu.
Acha uchochezi
 
Meko anajiharibia mwenyewe watendaji wake wanamwogopa sana, hawana hata nafasi ya kumshauri. Watendaji ni sawa na robot tu
 
Huyu ni rais wa kutia watu Unyonge aiseee! Sijui kwa nini tunashangilia kuitwa wanyonge na wengi wanakuja kutuunga mkono maa daily business kubwa zinafungwa...Mungu wajua.
 
Unajuwaje kama ni uchochezi?
Wacha kujipendekeza wewe
Akimlazimisha?!!unajuaje kama anamlazimisha,
Kwenye picha unaonaje kama kuna kulwzimishwa,mi naona kama jamaa anaangalia tu.
Acha uchochezi
 
Tumuombe mungu kwa yote yanayo tokea
Huyu ni rais wa kutia watu Unyonge aiseee! Sijui kwa nini tunashangilia kuitwa wanyonge na wengi wanakuja kutuunga mkono maa daily business kubwa zinafungwa...Mungu wajua.
 
Lengo ni kuongeza wigo mapato japo hii ya vitambulisho ni tata sana! Suluhu ni indirect tax,viwandani,bandarini,mipakani.Tukikaa kimya inakuja kila raia above 18 yrs lazima awe na direct tax.
Hii inaitwa kodi ya kichwa iliyokuwepo miaka hiyo ya Nyerere hahahahahah
 
Hizi hizi biashara ambazo mama zetu wamezitumia kutulipia ada za shule na kutupatia chakula na malazi hata wakapata elimu na kufika walipo leo wanajisahau na kuona wamefika. Hawafikirii kuhusu kizazi kijacho,kuhusu wadogo zao na kaya itakula nini na jinsi gani familia itaishi...hapo mnunuzi atataka kununua kwa bei ya chini bado kitambulisho daaaaaaaaaaaaaaahhhhhhhhh!!!
 
Back
Top Bottom