Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
- Thread starter
- #321
Tayari ashapata hivyo hana huruma tena
Nilitamani hata ange nunua huo mchicha akawapa ombaomba haop sokoni angefanya jambo la busara.
1: Kumuungisha huyo Mama,na
2: Kuwasaidia ombaomba
Hivi angekuwa mama yake mzazi angemfanyia hayo anayoyafanya kwa huyo Mama?

