Hii ndiyo Serikali ya wanyonge?

Hii ndiyo Serikali ya wanyonge?

Huyu Jerry Muro aliwahi kukamatwa kwa tuhuma za utapeli na kesi yake alishinda tu kwa namna fulani lakini kiukweli alikuwa tapeli kama anavyotaka kumtapeli huyo mama.
 
Nakumbuka waliwahi kunivaa vaa migambo inabidi nitimue mbio lkn baadae nikasimama na kuwaonyesha kitambulisho cha shule basi waliishiwa nguvu vibaya
Kipindi hicho kila mmoja anatembe na Risiti yake ole wako uwe hauna utaisoma namba kwa mgambo
 
Mkuu naamini wapo wanao tumia busara lkn ni wachache sana

Mfano ni mkoani simiyu hilo zoezi naona linakwenda kwa amani na heshima kwa walengwa kutokana na rc wao kuwa ni mpenda haki na haongozwi na mihemuka
Mkuu wa wilaya ni mteule wa rais. Huyo ni mmoja kati ya wengi. Kukosa kwenda na vision hakuiondolei vision serikali ya kuwatetea wanyonge. Awe singled out yeye asaidiwe bila kigeneralise kuwa maDC wote hawana vision

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Swadakta
Hatuzungumzii kuwa mkuu wa willaya anamlazimisha au kamlazimisha huyo mama....tunazungumzia uhalisia wa huyo mama kuwa na kitambulisho cha elfu 20 kulingana na biashara anayofanya...
 
Hapo chini anaonekana mkuu wa wilaya akimlazimisha mama muuza mchicha kununua kitambulisho kwa sh 20000 wakati huo mchicha wenyewe hata magungu ishirini hayafiki.
Huku ndiyo kuwatetea wanyonge View attachment 1093921
na hao akina mama ndio watapewa kanga na pombe kipindi cha uchaguzi na ma tshirt makubwa,acha wapigike na ndio maana Tanzania haitaki kutoa elimu vzr imewanyima elimu watu wake na kuwaacha wajinga na wanyonge ,elimu ya vyeti ndio imeshika hatamu,hlf ukimsikia anayocheka akihutubia unasema bonge la kiongozi ,akitoa na laki 5 kwa kuigawa km njujgu ndio kabisa akina mm vigelegele juu,ila hao wakuu wa wilaya nao ndio zero brain hata km wamelazimishwa wauze au wavigawe serikali ipate pesa nao wajiongeze waangalie watu wa kuwapatia na sio mzigo ufike punda afe
 
Ile gari ya kijiji cha sange ilipata ajari wakati wanawahi wilayani ilitumbukia mtoni au ipi hiyo

Maana lile gari lina majanga mengi
Daah umenikumbusha mbali sana na hiyo Sange. Nilinusurika kwenye ajali ya Sange 2001 kama unaikumbuka.
 
Back
Top Bottom