Vladimir Lenin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 3,613
- 5,138
Sio kweli mkuu, sote tumepewa akili ya kupambanua mambo.Nadhani kuna mafara walimshaur mkuru aje na hili sio mawazo yake.
Sio kweli mkuu, sote tumepewa akili ya kupambanua mambo.Nadhani kuna mafara walimshaur mkuru aje na hili sio mawazo yake.
Mbona mama hapo ameshapata kitambulisho chake?,anachofanya Dc,ni kukisoma tu
Halafu nani amekupa mauzo ya huyo mama?
Bavicha mna taabika sana
Hata yeye yupo hivyohivyo.Hao wengine wanasikitika - Rais kuna watendaji watamharibia kura za 2020
Ni mbinu mbadala ya kuwalinda wasibugudhiwe, au wasilipishwe zile Tsh 500/- za masoko/manispaaHapo chini anaonekana mkuu wa wilaya akimlazimisha mama muuza mchicha kununua kitambulisho kwa sh 20000 wakati huo mchicha wenyewe hata magungu ishirini hayafiki.
Huku ndiyo kuwatetea wanyonge View attachment 1093921
Ni mbinu mbadala ya kuwalinda wasibugudhiwe, au wasilipishwe zile Tsh 500/- za masoko/manispaa
Usijitia ujinga kisa ushindani tu usio na maanaKama ndiyo hivyo mlishindwa nini kuwatangazia watanzania kuwa ni mojawapo ya ukusanyaji mapato?
Badala yake mkawadanganya kuwa ni kuwakomboa wanyonge
Na kwanini mnawalazimisha kwenye kuvinunua hivyo vitambulisho?tangu lini msaada unalazimishwa kwa mnufaika?
Upi ulio uzoea !? Hiyo mia tano wanatoa mbio na mgambo. Serikali ni revenue collectionHakuna cha ushindani hapo hamuwatendei haki hao wanyonge kwa kuwalazimisha kununua hivyo vitambulisho chini ya mitutu huo siyo utanzania tulio uzoea
Kama ni malipo ya mwaka ni wastani wa Tsh 55/- kwa siku badala ya Tsh 500/' ya holela isiyojulikana inaenda wapi.Hakuna cha ushindani hapo hamuwatendei haki hao wanyonge kwa kuwalazimisha kununua hivyo vitambulisho chini ya mitutu huo siyo utanzania tulio uzoea
Hivi mkuu wa wilaya hana kazi mpaka akauze vitambulisho ambavyo havikidhi kikatiba?
Chuma uliwa na kutu,
Cha mtu uliwa na watu,
Adui wa binadamu ni watu.
HIYO MISEMO IZINGATIENI POPOTE MUENDAPO ITAWASAIDIA KUJUA MAZINGIRA UNAYOISHI UNAZUNGUKWA NA NANI.
Ukosefu wa elimu kwa Wa Tz weng ni changamoto ndo maana wasomi wanaitroduce vitu mbalimbali though vinamaana ktika maslai ya nchi lakini ivyo vitu kimsingi HAVIJALETWA KWENYE WAKATI NA WATU SAHIHI.
WaTz saivi wanadeserve better than that..
WaTz saivi wanalia biashara haziendi kama zamani..swali je serikali ilifanya a simple research kuangalia hali za kibiashara kwa raia wake kabla ya kuitroduce izo ID?
HITIKISHO:Ifahamike kuwa izo ID ni nzuri hata mimi binafsi napongeza serikali kwa jitihada zake lakini kwangu mm naona hazijaletwa kwenye wakati sahihi hasa ukizingatia hali za kiuchumi za waTz.
Anawalizimisha watu wanunue hivyo vitambulisho wacha kukuta ufahamu wewe lumumba
Mkuu, nikufahamishe tu kuwa Lumumba naifahamu kama mtaa lakini kama ulidhani mimi ni mwanaCCM - umekosea. Sio mwanachama wa chama chochote cha siasa lakini hiyo hainiondolei haki ya kusema jambo la ukweli. Sasa nakusihi uangalie kamba ya blue ya kitambulisho hicho alichovaa huyo mama shingoni.
Ni vema ukafanya uchunguzi kidogo kabla hujashutumu jambo.
Nikisha iangalia hiyo rangi ya blue ndiyo itaondoa ukweli kuwa hao kina mama wanalazimishwa kwa mitutu kununua hivyo vitambulisho?
Hakuna anaye vibeza hivyo vitambulisho bali ni njia zinazotumika kuwalazimisha kuvinunua ndiyo watanzania wanazilaani