Hii ndiyo Serikali ya wanyonge?

Hii ndiyo Serikali ya wanyonge?

Nionyeshe mahali nimesema TRA hawahusiki, nimesema sio kila kitu kinafanywa na TRA mfano mambo ya leseni za biashara zinatolewa na Halmashauri kwenye ofisi ya biashara.
Afisa biashara hawezi kutoa leseni bila ya kumpelekea Tax clearance kutoka TRA
 
Aliyekurupuka mimi au wewe uliyesema TRA haihusiki na leseni inayohusika eti ni halmashauri
Huyo ni wa kumpuuza tu maana naona hata hajui jinsi leseni taratibu zake zinaanzia wapi
 
Nionyeshe mahali nimesema TRA hawahusiki, nimesema sio kila kitu kinafanywa na TRA mfano mambo ya leseni za biashara zinatolewa na Halmashauri kwenye ofisi ya biashara.
Leseni ya biashara ili uipate lazima uanzie TRA haitolewi tuu na ofisi ya biashara ya halmashauri,post yako ya pili ilikuwa sahihi
 
Inawezekana hata hajui maana ya Tax clearance
Leseni ya biashara ili uipate lazima uanzie TRA haitolewi tuu na ofisi ya biashara ya halmashauri,post yako ya pili ilikuwa sahihi
 
Hivi huyu Jery Muro si ndiyo yule aliyekuwa akiwapiga picha Polisi wa traffic wakipokea rushwa au huyu ni mwingine? Nakumbuka kama Polisi nao walimkamata na rushwa pamoja na pingu. Hivi ile haikuwa jinai kweli!!!? Hivi kwa nini hakufungwa huyu, au kwenye utawala huu makokap ndio wanaula!!!?
 
Ndiyo huyo huyo na wala hajabadilika
Hivi huyu Jery Muro si ndiyo yule aliyekuwa akiwapiga picha Polisi wa traffic wakipokea rushwa au huyu ni mwingine? Nakumbuka kama Polisi nao walimkamata na rushwa pamoja na pingu. Hivi ile haikuwa jinai kweli!!!? Hivi kwa nini hakufungwa huyu, au kwenye utawala huu makokap ndio wanaula!!!?
 
Kwa sasa taifa limeingia kwenye ombwe la uongozi kisa hawa vijana wasiyo na utayari wa kuongoza
Inasikitisha Sana. Katibu Mkuu ana haki ya kulalama kuwa CCM haina vijana waliofundishwa Sanaa ya uongozi, hivyo wamebaki kuokoteza akina Jerry Muro and the like!!!
 
Afisa biashara hawezi kutoa leseni bila ya kumpelekea Tax clearance kutoka TRA
Mwambie huyo Nyumbu. Mtoto wangu nilimuanzishia saloon ya kusuka kwenye fremu zangu. Nikamshauri akachukue kitambulisho wilayani. Akaambiwa vimeisha subiri. TRA wakaja mitaani kwamba huna Tin number. Akawambia nasubiri kitambulisho cha Rais kwa kuwa mtaji wangu hauzidi 4M. Wakasema sisi TRA hatujui hilo lipa kodi. Nikamshauri asigombane na Serikali. Akaenda TRA wamemkadiria mapato ya Tshs. 150000. Nimemlipia kwa kuwa hawezi kupata leseni bila Tax Clearance. Asante awamu ya Tano ....
 
Mwambie huyo Nyumbu. Mtoto wangu nilimuanzishia saloon ya kusuka kwenye fremu zangu. Nikamshauri akachukue kitambulisho wilayani. Akaambiwa vimeisha subiri. TRA wakaja mitaani kwamba huna Tin number. Akawambia nasubiri kitambulisho cha Rais kwa kuwa mtaji wangu hauzidi 4M. Wakasema sisi TRA hatujui hilo lipa kodi. Nikamshauri asigombane na Serikali. Akaenda TRA wamemkadiria mapato ya Tshs. 150000. Nimemlipia kwa kuwa hawezi kupata leseni bila Tax Clearance. Asante awamu ya Tano ....
Lakini bado kuna mijitu inaimbishwa bila kujijua au haielewi kitu inaitikia
 
Hakuna kitambulisho hapo huo ni wizi kam wizi mwingine tu mradi wa watu huo serkal haina pesa miradi mingi imkwamia njiani shida tupu huku wana kazi yankuanzisha mwingine mipya waonekane wao ndo viongozi bora kuwahi kutokea huku wananchi tukipita ktk kipindi kigumu hakijawahi kuwako toka nchi kupata uhuru.
Hivi ni kitambulisho gani hakuna hata jina la muhusika?
 
unalala unaamka asbuh umeteuliwa lazima yatatokea kama haya na bado tutaona mengi
 
Angalau wajue kuwa pamoja na Mbwembwe zote na kubomoa Nyumba za Watu Construction of the road from Ubungo to Kibaha has been unceremoniously suspended until further notice....
 
Umenikumbusha wale wananchi wa Tunduru walio cheza ngoma mitaani kwa kupongeza serikali kununua korosho lkn mwisho wa Siku hadi leo hawajalipwa pesa zao wanalia tu
Angalau wajue kuwa pamoja na Mbwembwe zote na kubomoa Nyumba za Watu Construction of the road from Ubungo to Kibaha has been unceremoniously suspended until further notice....
 
Ndugu yangu hili ni bonge la senema inayo tutesa sisi walala hoi
Hakuna kitambulisho hapo huo ni wizi kam wizi mwingine tu mradi wa watu huo serkal haina pesa miradi mingi imkwamia njiani shida tupu huku wana kazi yankuanzisha mwingine mipya waonekane wao ndo viongozi bora kuwahi kutokea huku wananchi tukipita ktk kipindi kigumu hakijawahi kuwako toka nchi kupata uhuru.
 
Hapo chini anaonekana mkuu wa wilaya akimlazimisha mama muuza mchicha kununua kitambulisho kwa sh 20000 wakati huo mchicha wenyewe hata magungu ishirini hayafiki.
Huku ndiyo kuwatetea wanyonge
Mbona mama hapo ameshapata kitambulisho chake?,anachofanya Dc,ni kukisoma tu
Halafu nani amekupa mauzo ya huyo mama?
Bavicha mna taabika sana
 
Back
Top Bottom