Vitambulisho hivyo so wamelazimishwa na jiwe viuzwe?wanatii maagizoHao wengine wanasikitika - Rais kuna watendaji watamharibia kura za 2020
Vitambulisho hivyo so wamelazimishwa na jiwe viuzwe?wanatii maagizoHao wengine wanasikitika - Rais kuna watendaji watamharibia kura za 2020
Vitambulisho hivyo so wamelazimishwa na jiwe viuzwe?wanatii maagizo
Umesema kweli mkuu maana sasa wanaturudisha kwenye ile kitu inaitwa Musoro ya kichwaLengo ni kuongeza wigo mapato japo hii ya vitambulisho ni tata sana! Suluhu ni indirect tax,viwandani,bandarini,mipakani.Tukikaa kimya inakuja kila raia above 18 yrs lazima awe na direct tax.
Ilemela Mwanza hasa yaliyo makao makuu ya wilaya na manispaa Buswelu jamaa wanapita hadi mida ya usiku kukagua vitambulisho na kuviuza kwa nguvu kwa mafundi weldingHivi ni kitambulisho gani hakuna hata jina la muhusika?
Lingekuwa na maana kama wangekuwa wanavitoa bure kwa hao wanyongeKuna mambo mengi ya kutafakari zaidi ya kitambulisho kwenye picha hii:
1. Mazingira ya biashara. Angalia kuna tope kwa chini.
2. Aina ya biashara.
3. Sehemu ya biashara.
4. Mtoto mzuri kwa nyuma ya dada anaekaguliwa kitambulisho mwenye kibegi kifuani.
Je, wazo hili la vitambulisho lina maana gani kwa wanaopigana kupata hata 1000 ya kupunguza matatizo nyumbani??
serikali ya wanyonge,Kudadadeeeki