Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 3,322
- 6,968
Acheni use.. Mtu anafanya ukaguzi wa kawaida hapo anaangalia kitambulisho afu jitu linakurupuka na kusema anamlazimisha.
Hivi kama angekuwa anatoa shilingi 200 kwa kila siku ndani ya siku 200 atakazofanya kazi itakuwa ametoa elfu 40.Hapo chini anaonekana mkuu wa wilaya akimlazimisha mama muuza mchicha kununua kitambulisho kwa sh 20000 wakati huo mchicha wenyewe hata magungu ishirini hayafiki.
Huku ndiyo kuwatetea wanyonge View attachment 1093921
Hivi kama angekuwa anatoa shilingi 200 kwa kila siku ndani ya siku 200 atakazofanya kazi itakuwa ametoa elfu 40.
Sasa unafuu uko wapi kuchukua kitambulisho kwa elfu 20 au kukata ushuru wa elfu 40 kwa siku hizo 200 na nimefanya siku 164 hajafanya kazi.
Maana ukipanga sokoni na maeneo rasmi kuna ushuru wa halmashauri.
Vipo vitu vingine wana jamvi tujiongeze tu.
Hizi hizi biashara ambazo mama zetu wamezitumia kutulipia ada za shule na kutupatia chakula na malazi hata wakapata elimu na kufika walipo leo wanajisahau na kuona wamefika. Hawafikirii kuhusu kizazi kijacho,kuhusu wadogo zao na kaya itakula nini na jinsi gani familia itaishi...hapo mnunuzi atataka kununua kwa bei ya chini bado kitambulisho daaaaaaaaaaaaaaahhhhhhhhh!!!
Mniwie radhi, ila sometimes post zengine huwa zinashangaza sanaMatusi kwenu wana lumumba ni moja ya sera zenu kwa kuwa mmeishiwa mipango
Mkuu wala hawalazimishwi tena unaweza ukalipa kwa awamu ila kwa muda mfupi.Hakuna anayepinga huu utaratibu wa kupewa vitambulisho maana inaonekana kuwasaidia kimahesabu
Tatizo ni njia wanazo tumia kuwalazimisha kuvinunua hivyo vitambulisho ndiyo watu tunalaani ni za kimabavu sana
Kwanini umnyang'anye mtu jasho lake? Huo ni ujambazi wa kidola.Ipi bora kulipia elfu ishirini kwa mwaka au ukimbizwe na migambo na mchicha unyang'anywe? Nataka majibu haraka.
We bwege Kweli sasa chadema inaingiaje hapo?Lazima walipie vitambulisho hiki ni chanzo cha mapato kwa taifa, kama chadema mnaona wanaonewa walipieni nyinyi.
Hatuzungumzii kuwa mkuu wa willaya anamlazimisha au kamlazimisha huyo mama....tunazungumzia uhalisia wa huyo mama kuwa na kitambulisho cha elfu 20 kulingana na biashara anayofanya...Mkuu wala hawalazimishwi tena unaweza ukalipa kwa awamu ila kwa muda mfupi.
Hapo ukiangalia hiyo picha sioni kama DC amemlazimisha ila huyo mama ameshavaa kitambulisho ambacho ni kama DC anakikagua.
Sema wewe picha umeipa maneno!
Aliyeleta hivo kitambulisho ni Nani?na kama wanamharibia kwanini asitoe ufafanuzi juu ya wanaostahili kupata hivo vipande?mbona kakaa kimya?.utetezi wa kishambaHao wengine wanasikitika - Rais kuna watendaji watamharibia kura za 2020
kama wanamharibia kwanini asitoe ufafanuzi juu ya wanaostahili kupata hivo vipande?mbona kakaa kimya?.utetezi wa kishamba
Hata yeye yupo hivyohivyo.
Kipindi hicho kila mmoja anatembe na Risiti yake ole wako uwe hauna utaisoma namba kwa mgamboImekuja kivingine yaani kidigital
Mnafiki yule hakuna asiyejua,Kama alitoa ufafanuzi na wanaendelea kukaidi amewachukulia hatua gani?Nafahamu wewe siku 365 zako ni kulalama tu - unataka atoe ufafanuzi mara ngapi?
Mnafiki yule hakuna asiyejua,Kama alitoa ufafanuzi na wanaendelea kukaidi amewachukulia hatua gani?
Unafiki wa awamu ya 5.na jiwe ndo anaongoza hakuna jipyaHatua za kuchukuwa ni nyingi (Open and Close) - hatuwezi kutaarifiwa kila hatua inayochukuliwa na mamlaka