Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 29,489
- 42,564
Hilo hilo nilikua natoka malangali kwenda mpemba... iliua watu wengi sana.
Ile gari ya kijiji cha sange ilipata ajari wakati wanawahi wilayani ilitumbukia mtoni au ipi hiyo
Maana lile gari lina majanga mengi