Hii ndio sababu wakristo wengi wanateseka licha ya kuomba sana. Majini Vs Malaika

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,587
15,373
Wasalaam
Wengi wanaaminishwa uhalisia wa majini/mapepo na ushirikina kuliko Malaika.
Yaani unakuta mtu analala, kwa machale na wenge akitegemea muda wowote kukabwa, Kukwidwa kubininywa au kufinywa na nguvu za giza.
Hii imepelekea 90% ya maombi ni Kukemea na kuvunja badala ya kushukuru kwa mabodigadi wa kimalaika waliokuzunguka.

Mkristo ni kama mtoto wa mfalme. Muda wote uko under surveillance ya malaika. Biashara zako, njiani ofisini kote kumejaa vitengo mbalimbali vya malaika. Hufaidi hii kitu kwa sababu unaamini majini kama waislam kuliko malaika.

Toka kwenye ibada za kuvunjavunja na kuteketeza. Anza ibada za raha za kutambua ulinzi wako 24hrs. Kama huamini hiki huwezi kunufaika,


Ni hayo tu
 
Wasalaam
Wengi wanaaminishwa uhalisia wa majini/mapepo na ushirikina kuliko Malaika.
Yaani unakuta mtu analala, kwa machale na wenge akitegemea muda wowote kukabwa, kubininywa au kufinywa na nguvu za giza.
Hii imepelekea 90% ya maombi ni Kukemea na kuvunja badara ya kushukuru kwa mabodigadi wa kimalaika waliokuzunguka.

Mkristo ni kama mtoto wa mfalme. Muda wote uko under surveillance ya malaika. Biashara zako, njiani ofisini kote kumejaa vitengo mbalimbali vya malaika. Hufaidi hii kitu kwa sababu unaamini majini kama waislam kuliko malaika.

Toka kwenye ibada za kuvubjavunja na kuteketeza. Anza ibada za raha za kutambua ulinzi wako 24hrs. Kama huamini hiki huwezi kunufaika,


Ni hayo tu
Walokole wengi wanaogops sana wachawi

Walokole wengi hawatambui yule wanaomwabudu ana nguvu kiasi gan

Walokole wengi hawatambui mamlaka na nguvu ya Mungu iliyo ndani ya yule walio mkiri kuwa mwokoz wa Maisha yao (Yesu)

Kwa Uerevu wa Ibilisi hutumia udhaifu wetu atafanya juu chin ukose maarifa ukose ufahamu
Maana Kuna nguvu sana katika kumjua yule unaye mwabudu
 
Siku hizi mapepo/majini yamehamia makanisani,hasa haya ya kilokole. Kule kuna wasanii wengi wenye kufanana nao. Wanahitaji attention na wanazipata sana huko. Zamani vizee vya Pwani vilikuwa vinawapa attention nyingi wakiamini hayo mapepo yanatoa ulinzi,bahati,ufahari au utajiri. Wakaishia kufa maskini na kuwa na migogoro mingi kijamii na kifamilia.

Shetani ni shetani haaaminiki! Aje katika umbile lolote like lengo lake ni Moja tu! kuharibu
 
Tupe ushuhuda wako kwanza
Hakuna haja ya ushuhuda mimi mentality yangu hakuna nafasi ya mchawi wala jini. Naenda vijijini naingua mjini sijali kama kuna walozi mapepo wala majini, niko concious na vikos vya kimalaika.ambavyo Mungu amevideploy kuhakikisha mambo yangu yako sawa.

Ni suala la kuamini au kuendelea kupigana ngwala ma majini na wachawi. Ukiwapenda na kuwapromote watakutesa na kukuua. Ukiwapotezea na kujikita na Malaika wako. Utagundua maisha ni raha sana.
 
Wasalaam
Wengi wanaaminishwa uhalisia wa majini/mapepo na ushirikina kuliko Malaika.
Yaani unakuta mtu analala, kwa machale na wenge akitegemea muda wowote kukabwa, Kukwidwa kubininywa au kufinywa na nguvu za giza.
Hii imepelekea 90% ya maombi ni Kukemea na kuvunja badala ya kushukuru kwa mabodigadi wa kimalaika waliokuzunguka.

Mkristo ni kama mtoto wa mfalme. Muda wote uko under surveillance ya malaika. Biashara zako, njiani ofisini kote kumejaa vitengo mbalimbali vya malaika. Hufaidi hii kitu kwa sababu unaamini majini kama waislam kuliko malaika.

Toka kwenye ibada za kuvunjavunja na kuteketeza. Anza ibada za raha za kutambua ulinzi wako 24hrs. Kama huamini hiki huwezi kunufaika,


Ni hayo tu
Upo sahihi, as a man thinketh,......
 
Hakuna haja ya ushuhuda mimi mentality yangu hakuna nafasi ya mchawi wala jini. Naenda vijijini naingua mjini sijali kama kuna walozi mapepo wala majini, niko concious na vikos vya kimalaika.ambavyo Mungu amevideploy kuhakikisha mambo yangu yako sawa.

Ni suala la kuamini au kuendelea kupigana ngwala ma majini na wachawi. Ukiwapenda na kuwapromote watakutesa na kukuua. Ukiwapotezea na kujikita na Malaika wako. Utagundua maisha ni raha sana.
Binadmu hutokewa na like anachokifikiria zaidi
 
Upo sahihi, as a man thinketh,......
Universal Principal hii.
Na mtu atakula matunda ya midomo yake. Ukiwa unaenda kwenye viibada vinavyopenda mepepo ma majini na wachawi wataendelea kukupelekea moto maana hao ndio unaowaona muda mwingi kuliko Malaika na Uweza wa Mungu.

Mimi mtu wa hivyo huwa simtaki na wala simsikilizi hata awe anasifa gani. Namkwepa na kumkimbia asije akaniambukiza majini.
 
Siku hizi mapepo/majini yamehamia makanisani,hasa haya ya kilokole. Kule kuna wasanii wengi wenye kufanana nao. Wanahitaji attention na wanazipata sana huko. Zamani vizee vya Pwani vilikuwa vinawapa attention nyingi wakiamini hayo mapepo yanatoa ulinzi,bahati,ufahari au utajiri. Wakaishia kufa maskini na kuwa na migogoro mingi kijamii na kifamilia.

Shetani ni shetani haaaminiki! Aje katika umbile lolote like lengo lake ni Moja tu! kuharibu
Ni kweli
 
Malaika na mapepo ni hadithi tuu nani kawaona hata kuongea nao ,achilia mbali watu wenye matatizo ya akili wakijidai kupandishwa majini na mapepo
Wenzako waliokuaminisha haya tunawatolea mapepo kila siku.
Hizo sio story lazima uchague upande.

Kwa sasa bora uchague upande wa malaika. Upande wa majini unakomba hadi wale neutral na atheists.
 
Back
Top Bottom