Why don't you go and spend sometime kutembea at Holland Park au vile vile Kensington na Bayswater
Hivi Brent Cross Cricklewood Development imeishaisha au badoAku ngoja niende zangu brent cross karibu na home
Ahaaa ahaaaa ahaaa as i expectedinawezekana uko na mtu ambaye hajakugusa moyoni
so hata ufanye nae nini
emptiness ipo tu....
hebu try me uone....
Inawezekana kuna kitu kinakusumbua japo mwenyewe hukitambui (not aware)..inawezekana ni kitu umefanya au kitu hujafanya..unataka au unatamani!Jaribu kujichunguza na kujiangalia pamoja na walio karibu yako.Kama upungufu unaohisi hauhusiani na chakula hata ule pesa hutohisi kuridhika!Jitahidi ujue jinsi ya kujiridhisha usije ukaanza kununa nuna hovyo!
Ndo ubaya wakusema uipotezee hiyo hali.Omba ...chukua muda kidogo kwaajili yako mwenyewe utafakari!Yaani kununa ndio nafanya sasa hivi kitu kidogo nashout, inabidi nikae nitulie nijichunguze
Nitakuweza wapi mzee wa mizigo, ngoja nikirudi china naweza compete nao
Utotoni....kilikuwepo, a trauma ..... , bad memory zipo na zitaendelea kuwepo, kwanini maumivu yasijisome nijue nateseka na nini?
exactly
au kuna kitu cha utotoni hivi
a trauma hivi...
au bad memory hivi
Kuna mtu kani PM eti niende rehab, tehetehe yaani nimechekaje? hivi na sie waswahili tunaendaga huko rehab?
Poa nitakusubiria basi Burger King au Houmous BarIpo bana Mall