Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,968
Habari wana JF wenzangu, kuna kitu kinanitatiza sijui kinasababishwa na nini, kila nachofanya nahisi kuna kitu kina miss, najaribu kula chakula nikipendacho bado nahisi sijaridhika, najaribu kuwa karibu na family steel im feeling lonely, najaribu kufanya shoping nisikie raha wapi! making love every now and then bado tu siridhiki na roho yangu, nisaidieni ni nini inasababisha hali hii? au kazi nyingi? au ndio depression magonjwa ya kizungu hatujayazoea mwenzangu, naombeni ushauri. najua humu huwa hakiaribiki kitu