Hii ndio dawa ya Tundu Lissu

Hii ndio dawa ya Tundu Lissu

Lissu hana hoja

labda unachukulia neno "hoja" kama ni "hoja"

kumtuhumu mtu, na kujiaminisha kuwa alitaka kukuua, na ukaanza kutangaza kwa watu, kila mahali tena nje ya nchi ..haiwi hoja

hakuna wa kumjibu, atapewa airtime mpaka mwezini, sayari ya mars na kila mahali dunia hii. kisha atakaa kimya au hata akiendelea hakuna wa kushtuka. watu wanaamka wanaenda kazini, wanazaana, wanaishi na JPM bado rais kwa miaka saba ijayo

anachofanya Lissu anajifunga, sasa maadamu ndio mmelelewa kutosikia ushauri anaachwa

ndio mpuuzi mmoja anasema ajibiwe kwa hoja, hata asipojibiwa kama ana hoja kweli nini kitatokea??
Mkuu jazba ya nini?. Mimi nimeleta maoni yangu hapa kuwa huyu jamaa ajibiwe kwa hoja. Wewe unapandisha jazba na kuanza kuniita "mpuuzi"
Hivi mnadhani hiki kiburi za uzima mlichonacho kitasawasadia kitu?
Sana sana mnajitafutia maadui tu. Mtu mwerevu hujibu hoja kwa hoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo Hoja hewa anazojenga Bungeni kwa zaidi ya miaka 10 zimewasaidia nini wapiga Kura wake!? Tembelea katika Jimbo lake ndio utamjua vizuri Tundu Lissu aka Kasuku.
Wana Singida mashariki wanataabika na hali ngumu ya maisha, huku yeye akizunguka kwa mabeberu na kuunga mkono USHOGA.
Pathetic!
Lissu hakusanyi kodi wewe bwege, pesa ya jimbo haizidi hata 50m kwa mwaka unatakaka ndii ajengee barabara au aweke maji. Mnaokusanya kodi kwa wananchi rudisheni kodi yao kwa shughuli za maendeleo na sio kumsingizia Lissu. Tangu tumepata uhuru ni miaka mingapi imepita? Hilo jimbo lilikua na wabunge wa CCM embu tuambie walifanya nini for 50?yrs

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna ubishi Magufuli ni kiongozi anayekubarika sana nchini Tanzania hata nje ya Tanzania ukiondoa watu wachache wenye uchu na madaraka.

Magufuli anakubarika na watu wote nchini Tanzania ukianzia:
* Wamachinga.
* Mama ntilie.
* Viongozi wa dini.
* Wafanyakazi wa umma
* Walala hoi
* Vijana, kinamaa na wazee.

Sitaki kusema kwa nini anakubarika nadhani kila mmoja anajua huyu bwana ni kiongozi wa aina gani katika taifa letu pendwa.

Sasa kimshauri Tundu Lisu apambane na magufuli katika mbio za urais 2020 si ushauri mzuri kabisa kwa Tundu Lisu kwani ndiyo utakuwa mwanzo wa mazishi ya kisiasa ya Lisu.

Lisu hana uwezo wa kusimama na Magufuli 2020 na akashinda eti kwa kutumia hoja ambazo hazina mashiko makubwa kwa watu wengi kama vile:
* kuminywa kwa demokrasia.
* Kupigwa risasi kwa Lisu.
* Kuwekwa mahabusu kwa mbowe.
* Kununuliwa kwa wanasiasa.
* na hoja nyingine dhaifu.

Ukiangalia kwa umakini hizo hoja zinajibika kiwepesi sana.

Sasa Lisu akisubutu kuingia kwenye competition ataenda kushindwa vibaya sana na pengine tukamkosa bungeni kwa muda wa miaka mitano kitendo ambapo kitamfanya ashuke kisiasa afanane na David Kafulila.

Lisu ni bora tu ugombee ubunge 2020 kwani hoja zako zinahitajika sana bungeni kuliko kugombea urais ambao utakupoteza kisiasa.

SINTOJISIKIA VIZURI KUMKOSA LISU BUNGENI KWA MIAKA MITANO 2020-2025. WASHAURI WA CHADEMA FANYENI KAZI YENU VIZURI JUU YA HILI.
 
Hakuna ubishi Magufuli ni kiongozi anayekubarika sana nchini Tanzania hata nje ya Tanzania ukiondoa watu wachache wenye uchu na madaraka.

Magufuli anakubarika na watu wote nchini Tanzania ukianzia:
* Wamachinga.
* Mama ntilie.
* Viongozi wa dini.
* Wafanyakazi wa umma
* Walala hoi
* Vijana, kinamaa na wazee.

Sitaki kusema kwa nini anakubarika nadhani kila mmoja anajua huyu bwana ni kiongozi wa aina gani katika taifa letu pendwa.

Sasa kimshauri Tundu Lisu apambane na magufuli katika mbio za urais 2020 si ushauri mzuri kabisa kwa Tundu Lisu kwani ndiyo utakuwa mwanzo wa mazishi ya kisiasa ya Lisu.

Lisu hana uwezo wa kusimama na Magufuli 2020 na akashinda eti kwa kutumia hoja ambazo hazina mashiko makubwa kwa watu wengi kama vile:
* kuminywa kwa demokrasia.
* Kupigwa risasi kwa Lisu.
* Kuwekwa mahabusu kwa mbowe.
* Kununuliwa kwa wanasiasa.
* na hoja nyingine dhaifu.

Ukiangalia kwa umakini hizo hoja zinajibika kiwepesi sana.

Sasa Lisu akisubutu kuingia kwenye competition ataenda kushindwa vibaya sana na pengine tukamkosa bungeni kwa muda wa miaka mitano kitendo ambapo kitamfanya ashuke kisiasa afanane na David Kafulila.

Lisu ni bora tu ugombee ubunge 2020 kwani hoja zako zinahitajika sana bungeni kuliko kugombea urais ambao utakupoteza kisiasa.

SINTOJISIKIA VIZURI KUMKOSA LISU BUNGENI KWA MIAKA MITANO 2020-2025. WASHAURI WA CHADEMA FANYENI KAZI YENU VIZURI JUU YA HILI.
Magu hapangiwi wa hashauliwi, naomba usimpangie wala usimshauli Lisu.
 
Magufuli anang'aa kisiasa na kiungozi kwa mng'ao ambao unaiumiza sana upinzani na kujiuliza tutoke vipi mbona anapendwa sana?

Kwa mara ya kwanza historia itaandikwa tanzania kwenye uchaguzi wa 2020 kwa wapinzani kupata kura za aibu na chache kuliko wakati wowote ule.
 
Hahaa pole pole amekutukana baada ya kusoma hii thread .. ameniambia kwamba mtoa mada hauna nia nzuri na wana lumumba".. unataka waumbuke hadharani dah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwambie akubali Tume Huru ili aithibitishie dunia kukubalika kwake.

Nilidhani hii ndiyo ingetiliwa mkazo zaidi na wapinzani badala ya kuanza kampeni za nani agombee Urais ambao kimsingi hawezi kushinda katika uwanja wa sasa.

Unawezaje kufikiria kuezeka paa kabla hujajenga msingi, lakini pia unawezaje kupeleka timu kwenye uwanja ambao kila kitu kimedhibitiwa na mpinzani wako.

Ndiyo maana naamini kila anayetangaza kugombea Urais kwa mazingira haya, lengo lake ni kutengeneza CV
 
Hakuna ubishi Magufuli ni kiongozi anayekubarika sana nchini Tanzania hata nje ya Tanzania ukiondoa watu wachache wenye uchu na madaraka.

Magufuli anakubarika na watu wote nchini Tanzania ukianzia:
* Wamachinga.
* Mama ntilie.
* Viongozi wa dini.
* Wafanyakazi wa umma
* Walala hoi
* Vijana, kinamaa na wazee.

Sitaki kusema kwa nini anakubarika nadhani kila mmoja anajua huyu bwana ni kiongozi wa aina gani katika taifa letu pendwa.

Sasa kimshauri Tundu Lisu apambane na magufuli katika mbio za urais 2020 si ushauri mzuri kabisa kwa Tundu Lisu kwani ndiyo utakuwa mwanzo wa mazishi ya kisiasa ya Lisu.

Lisu hana uwezo wa kusimama na Magufuli 2020 na akashinda eti kwa kutumia hoja ambazo hazina mashiko makubwa kwa watu wengi kama vile:
* kuminywa kwa demokrasia.
* Kupigwa risasi kwa Lisu.
* Kuwekwa mahabusu kwa mbowe.
* Kununuliwa kwa wanasiasa.
* na hoja nyingine dhaifu.

Ukiangalia kwa umakini hizo hoja zinajibika kiwepesi sana.

Sasa Lisu akisubutu kuingia kwenye competition ataenda kushindwa vibaya sana na pengine tukamkosa bungeni kwa muda wa miaka mitano kitendo ambapo kitamfanya ashuke kisiasa afanane na David Kafulila.

Lisu ni bora tu ugombee ubunge 2020 kwani hoja zako zinahitajika sana bungeni kuliko kugombea urais ambao utakupoteza kisiasa.

SINTOJISIKIA VIZURI KUMKOSA LISU BUNGENI KWA MIAKA MITANO 2020-2025. WASHAURI WA CHADEMA FANYENI KAZI YENU VIZURI JUU YA HILI.
Labda anakubalika na mamayako
 
Hakuna ubishi Magufuli ni kiongozi anayekubarika sana nchini Tanzania hata nje ya Tanzania ukiondoa watu wachache wenye uchu na madaraka.

Magufuli anakubarika na watu wote nchini Tanzania ukianzia:
* Wamachinga.
* Mama ntilie.
* Viongozi wa dini.
* Wafanyakazi wa umma
* Walala hoi
* Vijana, kinamaa na wazee.

Sitaki kusema kwa nini anakubarika nadhani kila mmoja anajua huyu bwana ni kiongozi wa aina gani katika taifa letu pendwa.

Sasa kimshauri Tundu Lisu apambane na magufuli katika mbio za urais 2020 si ushauri mzuri kabisa kwa Tundu Lisu kwani ndiyo utakuwa mwanzo wa mazishi ya kisiasa ya Lisu.

Lisu hana uwezo wa kusimama na Magufuli 2020 na akashinda eti kwa kutumia hoja ambazo hazina mashiko makubwa kwa watu wengi kama vile:
* kuminywa kwa demokrasia.
* Kupigwa risasi kwa Lisu.
* Kuwekwa mahabusu kwa mbowe.
* Kununuliwa kwa wanasiasa.
* na hoja nyingine dhaifu.

Ukiangalia kwa umakini hizo hoja zinajibika kiwepesi sana.

Sasa Lisu akisubutu kuingia kwenye competition ataenda kushindwa vibaya sana na pengine tukamkosa bungeni kwa muda wa miaka mitano kitendo ambapo kitamfanya ashuke kisiasa afanane na David Kafulila.

Lisu ni bora tu ugombee ubunge 2020 kwani hoja zako zinahitajika sana bungeni kuliko kugombea urais ambao utakupoteza kisiasa.

SINTOJISIKIA VIZURI KUMKOSA LISU BUNGENI KWA MIAKA MITANO 2020-2025. WASHAURI WA CHADEMA FANYENI KAZI YENU VIZURI JUU YA HILI.
Ile interview Bado inawatesa?????.... Sijui ya CNN itakuwaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo Hoja hewa anazojenga Bungeni kwa zaidi ya miaka 10 zimewasaidia nini wapiga Kura wake!? Tembelea katika Jimbo lake ndio utamjua vizuri Tundu Lissu aka Kasuku.
Wana Singida mashariki wanataabika na hali ngumu ya maisha, huku yeye akizunguka kwa mabeberu na kuunga mkono USHOGA.
Pathetic!
Babati vijijini toka uhuru hatujawahi kuwa na mbunge wa upinzani lakini wananchi wake tunataabika na hali ngumu ya maisha kuliko hata wa Singida mashariki. Na mbunge wetu yule mhindi (Jitu) mpigaji wa pembejeo za kilimo (mbegu na mbolea) Manyara nzima anazunguka tu arusha mjini na Bungeni Dodoma. Niambie ni jimbo gani Tanzania ina unafuu bila upendeleo flani flani ya ukanda?
 
ZWAZWA jingine hili la lumumba. Dikteta, kubwa la majizi, fisadi, dhalimu, kichaa eti linang’aa kisiasa😳😳😳😳 sijui ni kwa lipi hasa huyo dikteta hata ang’ae kisiasa.

Magufuli anang'aa kisiasa na kiungozi kwa mng'ao ambao unaiumiza sana upinzani na kujiuliza tutoke vipi mbona anapendwa sana?

Kwa mara ya kwanza historia itaandikwa tanzania kwenye uchaguzi wa 2020 kwa wapinzani kupata kura za aibu na chache kuliko wakati wowote ule.
 
Back
Top Bottom