Ulitaka Steve Sackar ndio apeleke maendeleo na kuwasemea huku akiwapigania kutatua shida zao wana Singida Mashariki!?Sasa lissu ndo analeta maendeleo jimboni kwake au ni serikali hii ambayo ina double standard.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulitaka Steve Sackar ndio apeleke maendeleo na kuwasemea huku akiwapigania kutatua shida zao wana Singida Mashariki!?Sasa lissu ndo analeta maendeleo jimboni kwake au ni serikali hii ambayo ina double standard.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu heshima mbele, teuzi tena! Mwananchi wa kawaida kama mimi naanzaje kuokotwa ili nistahili teuzi? Wengine tunatoa mawazo yetu tu mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Madaraka na vyote vya duniani uzuri tutaviacha endeleeni kujikweza na siasa
Tangu Tanzania ipate uhuru maaskofu kwa pamoja hawajawahi kutoa waraka wowote ila tu kwa huyu aliyezungukwa na wanafki wa kiwango cha duniaHakuna ubishi Magufuli ni kiongozi anayekubarika sana nchini Tanzania hata nje ya Tanzania ukiondoa watu wachache wenye uchu na madaraka.
Magufuli anakubarika na watu wote nchini Tanzania ukianzia:
* Wamachinga.
* Mama ntilie.
* Viongozi wa dini.
* Wafanyakazi wa umma
* Walala hoi
* Vijana, kinamaa na wazee.
Sitaki kusema kwa nini anakubarika nadhani kila mmoja anajua huyu bwana ni kiongozi wa aina gani katika taifa letu pendwa.
Sasa kimshauri Tundu Lisu apambane na magufuli katika mbio za urais 2020 si ushauri mzuri kabisa kwa Tundu Lisu kwani ndiyo utakuwa mwanzo wa mazishi ya kisiasa ya Lisu.
Lisu hana uwezo wa kusimama na Magufuli 2020 na akashinda eti kwa kutumia hoja ambazo hazina mashiko makubwa kwa watu wengi kama vile:
* kuminywa kwa demokrasia.
* Kupigwa risasi kwa Lisu.
* Kuwekwa mahabusu kwa mbowe.
* Kununuliwa kwa wanasiasa.
* na hoja nyingine dhaifu.
Ukiangalia kwa umakini hizo hoja zinajibika kiwepesi sana.
Sasa Lisu akisubutu kuingia kwenye competition ataenda kushindwa vibaya sana na pengine tukamkosa bungeni kwa muda wa miaka mitano kitendo ambapo kitamfanya ashuke kisiasa afanane na David Kafulila.
Lisu ni bora tu ugombee ubunge 2020 kwani hoja zako zinahitajika sana bungeni kuliko kugombea urais ambao utakupoteza kisiasa.
SINTOJISIKIA VIZURI KUMKOSA LISU BUNGENI KWA MIAKA MITANO 2020-2025. WASHAURI WA CHADEMA FANYENI KAZI YENU VIZURI JUU YA HILI.
Hakuna ubishi Magufuli ni kiongozi anayekubarika sana nchini Tanzania hata nje ya Tanzania ukiondoa watu wachache wenye uchu na madaraka.
Magufuli anakubarika na watu wote nchini Tanzania ukianzia:
* Wamachinga.
* Mama ntilie.
* Viongozi wa dini.
* Wafanyakazi wa umma
* Walala hoi
* Vijana, kinamaa na wazee.
Sitaki kusema kwa nini anakubarika nadhani kila mmoja anajua huyu bwana ni kiongozi wa aina gani katika taifa letu pendwa.
Sasa kimshauri Tundu Lisu apambane na magufuli katika mbio za urais 2020 si ushauri mzuri kabisa kwa Tundu Lisu kwani ndiyo utakuwa mwanzo wa mazishi ya kisiasa ya Lisu.
Lisu hana uwezo wa kusimama na Magufuli 2020 na akashinda eti kwa kutumia hoja ambazo hazina mashiko makubwa kwa watu wengi kama vile:
* kuminywa kwa demokrasia.
* Kupigwa risasi kwa Lisu.
* Kuwekwa mahabusu kwa mbowe.
* Kununuliwa kwa wanasiasa.
* na hoja nyingine dhaifu.
Ukiangalia kwa umakini hizo hoja zinajibika kiwepesi sana.
Sasa Lisu akisubutu kuingia kwenye competition ataenda kushindwa vibaya sana na pengine tukamkosa bungeni kwa muda wa miaka mitano kitendo ambapo kitamfanya ashuke kisiasa afanane na David Kafulila.
Lisu ni bora tu ugombee ubunge 2020 kwani hoja zako zinahitajika sana bungeni kuliko kugombea urais ambao utakupoteza kisiasa.
SINTOJISIKIA VIZURI KUMKOSA LISU BUNGENI KWA MIAKA MITANO 2020-2025. WASHAURI WA CHADEMA FANYENI KAZI YENU VIZURI JUU YA HILI.
Huyo bogus arudi awamu ya PILI,anaweza kuongoza biashara tu sio kuongoza watuHata huko umarekani, polls zinasema umaarufu wa Trump, umeanguka, lakini hakubali hilo na anaziita hizo tume huru ni bogas.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila nyie ushoga ndio mtaenda nao ahera?Madaraka na vyote vya duniani uzuri tutaviacha endeleeni kujikweza na siasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuuliza..we si umesema sie siasa tutaziacha..ndio nakuuliza kwani nyie ushoga mtaenda nao?
Nimekuuliza..we si umesema sie siasa tutaziacha..ndio nakuuliza kwani nyie ushoga mtaenda nao?
Sent using Jamii Forums mobile app
Alivyokua mjinga atapuuza ushauri na kudhani yeye ni presidential material. Cdm mleteni aendeleze uongo na kumdharau/kumtukana jpm kwenye campaig halafu mushuhudie kifo chake na cha cdm kisiasa.Hakuna ubishi Magufuli ni kiongozi anayekubarika sana nchini Tanzania hata nje ya Tanzania ukiondoa watu wachache wenye uchu na madaraka.
Magufuli anakubarika na watu wote nchini Tanzania ukianzia:
* Wamachinga.
* Mama ntilie.
* Viongozi wa dini.
* Wafanyakazi wa umma
* Walala hoi
* Vijana, kinamaa na wazee.
Sitaki kusema kwa nini anakubarika nadhani kila mmoja anajua huyu bwana ni kiongozi wa aina gani katika taifa letu pendwa.
Sasa kimshauri Tundu Lisu apambane na magufuli katika mbio za urais 2020 si ushauri mzuri kabisa kwa Tundu Lisu kwani ndiyo utakuwa mwanzo wa mazishi ya kisiasa ya Lisu.
Lisu hana uwezo wa kusimama na Magufuli 2020 na akashinda eti kwa kutumia hoja ambazo hazina mashiko makubwa kwa watu wengi kama vile:
* kuminywa kwa demokrasia.
* Kupigwa risasi kwa Lisu.
* Kuwekwa mahabusu kwa mbowe.
* Kununuliwa kwa wanasiasa.
* na hoja nyingine dhaifu.
Ukiangalia kwa umakini hizo hoja zinajibika kiwepesi sana.
Sasa Lisu akisubutu kuingia kwenye competition ataenda kushindwa vibaya sana na pengine tukamkosa bungeni kwa muda wa miaka mitano kitendo ambapo kitamfanya ashuke kisiasa afanane na David Kafulila.
Lisu ni bora tu ugombee ubunge 2020 kwani hoja zako zinahitajika sana bungeni kuliko kugombea urais ambao utakupoteza kisiasa.
SINTOJISIKIA VIZURI KUMKOSA LISU BUNGENI KWA MIAKA MITANO 2020-2025. WASHAURI WA CHADEMA FANYENI KAZI YENU VIZURI JUU YA HILI.
aliyekuloga kama hajafa basi naye atakuwa kalogwa
Niwe mkweli kabisa hii kitu imenichekesha sana sana sanaaliyekuloga kama hajafa basi naye atakuwa kalogwa
Hizo Hoja hewa anazojenga Bungeni kwa zaidi ya miaka 10 zimewasaidia nini wapiga Kura wake!? Tembelea katika Jimbo lake ndio utamjua vizuri Tundu Lissu aka Kasuku.
Wana Singida mashariki wanataabika na hali ngumu ya maisha, huku yeye akizunguka kwa mabeberu na kuunga mkono USHOGA.
Pathetic!
Naona unanitaka kimapenzi bibiealiyekuloga kama hajafa basi naye atakuwa kalogwa
Singida mashariki hawana shida madiwani wapo maendeleo yapo wanajua Tundu Lisu kapigwa Risasi na CCM yupo kwenye matibabu mifano yako haina mashiko kwani wapo wabunge wa CCM majimboni kwao ni shiiida mfano jimboni kwa Ndungai au jimboni kwa kibajaji na wengineo wa CCM ni taabu tupu.Wewe ndiye unayetakiwa kufanya utafiti na kuacha kupayuka. Huko Kaskazini wamewezaje kupata na kuendelea kupata maendeleo ilhali majimbo karibia yote yako chini ya Upinzani!? Wabunge wa Upinzani wanaojitambua wamepigania na wanaendelea kupigania maendeleo na kutatua shida za wapiga Kura wao kwa kuibana serikali kwa unyenyekevu....zingatia neno "Unyenyekevu" hapo.
Mh. Joseph Haule Mbunge pekee wa Binadamu na wanyama pori ameingia juzi tu Bungeni lakini tembelea Jimbo la Mikumi uone linavyosonga mbele kwa miradi ya maendeleo.
Tundu alistahili kuwa Mbunge wa Kinondoni, Temeke, Ubungo, Kawe n.k. Ili aendeleze harakati zake za kuunga mkono Ushoga na mengineyo. Singida mashariki wanahitaji Mbunge wa kuwasemea na kuwapigania shida zao.