Hii nchi ngumu sana

Hii nchi ngumu sana

Ni skendo nzuri sema
Hayana ushaidi aya mambo naskia haiwezi kua chanzo habari japokua lisemwalo lipo
 
Labda ungesema ni kifungu gani cha katiba kimekiukwa kwa yeye kuteuliwa ukuu wa wilaya. Pia kama hangekuwa na sifa za kuteuliwa hoja yako ingekuwa na mashiko. Vinginevyo ulichoandika ni upuuzi mtupu.
Hivi mnalalaje usiku huku ukijua siku nzima ulukuwa ukishabikia upande usio haki.
 
Labda ungesema ni kifungu gani cha katiba kimekiukwa kwa yeye kuteuliwa ukuu wa wilaya. Pia kama hangekuwa na sifa za kuteuliwa hoja yako ingekuwa na mashiko. Vinginevyo ulichoandika ni upuuzi mtupu.
Na wewe acha kujipotosha na kupotosha wengine. Kuna mambo yasiyo ya muungano yametajwa katika katiba ya jamhuri na mojawapo ni hili la wakuu wa mikoq na wilaya ambalo kila nchi itajitegemea.
Taja jina moja la sheia, wilaya na mkoa wowote zanzibar unaoongozwa na mkuu wake kutoka bara nikupe milioni moja sasa hivi!
Kubali tu kuwa huyo rais wako amekosea sana kuivunja katiba waziwazi tena mara nyingi na ninyi ccm mmetumbua tu macho!
 
Na wewe acha kujipotosha na kupotosha wengine. Kuna mambo yasiyo ya muungano yametajwa katika katiba ya jamhuri na mojawapo ni hili la wakuu wa mikoq na wilaya ambalo kila nchi itajitegemea.
Taja jina moja la sheia, wilaya na mkoa wowote zanzibar unaoongozwa na mkuu wake kutoka bara nikupe milioni moja sasa hivi!
Kubali tu kuwa huyo rais wako amekosea sana kuivunja katiba waziwazi tena mara nyingi na ninyi ccm mmetumbua tu macho!
Vijana wa CCM na mamluki wao hawakupaswa kuwa zama za sasa,lakini walipaswa wawe stone age.Period
 
Labda ungesema ni kifungu gani cha katiba kimekiukwa kwa yeye kuteuliwa ukuu wa wilaya. Pia kama hangekuwa na sifa za kuteuliwa hoja yako ingekuwa na mashiko. Vinginevyo ulichoandika ni upuuzi mtupu.
Ng’ombe wa Mama, you dey talk full wahala!

Public Leadership Code of Ethics Act (Cap 398):

6(f) in relation to execution of duties the public leader shall not, whether directly or indirectly, act or make decision in furtherance of his private interest or interest of the member of his family or any other person for whom he has a fiduciary relationship;
 
Ng’ombe wa Mama, you dey talk full wahala!

Public Leadership Code of Ethics Act (Cap 398):

6(f) in relation to execution of duties the public leader shall not, whether directly or indirectly, act or make decision in furtherance of his private interest or interest of the member of his family or any other person for whom he has a fiduciary relationship;
Nenda mahakamani kashtaki ndugu mwanasheria mbobevu.
 
Wewe mwanaume mwenye jina la kike sijui ni shoga tu huoni tatizo la nchi yenye watu zaidi 60milion halafu familia moja inajiteulia tu watumishi wa umma, familia moja pekee inafaidi keki ya nchi?
Wanaoteuliwa hawana sifa?
 
Ng’ombe wa Mama, you dey talk full wahala!

Public Leadership Code of Ethics Act (Cap 398):

6(f) in relation to execution of duties the public leader shall not, whether directly or indirectly, act or make decision in furtherance of his private interest or interest of the member of his family or any other person for whom he has a fiduciary relationship;
Eat to live don't live to Eat.
 
Kaka huyo Moyo kwao ni Songea nisiongee sana ila moyo asili yake ni Songea ila wazee wake ndo walikua wakiishi Zanzibar
 
Mama yako umemnusa hivyo na ukajiridhisha hanuki?
Nilianzia kuunusa kwanza wa mama yako na baba yako nikamalizia wako kwako wote mnanuka vibaya nadhani mnawekana nyie maana harufu zinafanana, wamama yangu haunuki ni msafi kabisa bwasheee tena wanukia haswaaa
 
Back
Top Bottom