Hii nchi inawahitaji kina Paul Makonda wengi

Tanzania inachohitaji kwa sasa sio mtu bali ni KATIBA MPYA na TUME HURU YA UCHAGUZI.
 
Nakuunga mkono kuhusu aina ya kiongozi anayefaa Tanzania. Kweli JPM alitufaa sana.
Ila kwa bashite nakataa noooooooo, big no.
Hatuhitaji mtu huyu.
Bashite anafaa kuwa Rais kwa sababu kibwena,ipo siku nitaziainisha hapa
 
Nyerere ndiye aliyefanya watu wamekuwa wajinga wa kutupwa!,watu jamii ya kina Makonda nchi itasonga na watu watakuwa na Akili timamu!

Miafrika bila kashikashi haiwezi kwenda!
@FaizaFoxy anasema wamekusikia watalifanyia kazi
 
Ukihitaji salamu subiri kwanza nizeeke,tofauti na hapo utaula wa chuya!

"Watu wanaopaswa kufa kwenye hii nchi ni wengi kuliko walio hai"

Hii nchi ya Tanzania bila kuwa na kiongozi Katili,muonevu,mtoa amri za kutisha na asiye cheka cheka ovyo hatuwezi kusonga!.

Mfano mzuri ni Chuma Cha Pua JPM(RIP).

Hii nchi imejaa wapumbavu wa kutosha na bila kudili nao perpendicular kiukweli hatuwezi kutoboa,hizi kelele za wapinzani na wanaharakati kwamba tunahitaji demokrasia,ndiyo zinazotufanya hatusongi mbele!.

Bila kuwa na kiongozi katili, muonevu, asiye cheka ovyo hatuwezi katu kupiga hatua.

Rais Samia ni Rais ambaye hana hivyo vigezo na ndiyo maana nchi imemshinda, majitu yanapiga pesa kila uchwao, hakuna miradi inayokamilika na hatimaye tumerudi nyuma kimaendeleo, hii yote ni kwasababu ya kucheka na hii ngozi nyeusi iliyoshindikana!

Hii ngozi nyeusi bila kupata kiongozi mwenye haiba ya Paul Makonda hatuwezi kusonga kamwe!

Ili tusonge mbele tunahitaji kiongozi KATILI, MUUWAJI, ASIYECHEKA OVYO, ASIYEKUWA NA HURUMA NA MPENDA MAENDELEO.

MAKONDA ANAFAA KUWA RAIS WA NCHI!.
Aise wewe jamaa Umeongea point muhimu sana, ni wachache watakaokuelewa!!
 
Ukihitaji salamu subiri kwanza nizeeke,tofauti na hapo utaula wa chuya!

"Watu wanaopaswa kufa kwenye hii nchi ni wengi kuliko walio hai"

Hii nchi ya Tanzania bila kuwa na kiongozi Katili,muonevu,mtoa amri za kutisha na asiye cheka cheka ovyo hatuwezi kusonga!.

Mfano mzuri ni Chuma Cha Pua JPM(RIP).

Hii nchi imejaa wapumbavu wa kutosha na bila kudili nao perpendicular kiukweli hatuwezi kutoboa,hizi kelele za wapinzani na wanaharakati kwamba tunahitaji demokrasia,ndiyo zinazotufanya hatusongi mbele!.

Bila kuwa na kiongozi katili, muonevu, asiye cheka ovyo hatuwezi katu kupiga hatua.

Rais Samia ni Rais ambaye hana hivyo vigezo na ndiyo maana nchi imemshinda, majitu yanapiga pesa kila uchwao, hakuna miradi inayokamilika na hatimaye tumerudi nyuma kimaendeleo, hii yote ni kwasababu ya kucheka na hii ngozi nyeusi iliyoshindikana!

Hii ngozi nyeusi bila kupata kiongozi mwenye haiba ya Paul Makonda hatuwezi kusonga kamwe!

Ili tusonge mbele tunahitaji kiongozi KATILI, MUUWAJI, ASIYECHEKA OVYO, ASIYEKUWA NA HURUMA NA MPENDA MAENDELEO.

MAKONDA ANAFAA KUWA RAIS WA NCHI!.
Kweli kabisa.
 
Sahihi kabisa.

Nchi yetu bado watu wanahitaji kusukumwa kwa nguvu, bila hivyo mambo hayaendi, hata yakienda yanaenda kwa kasi ndogo tofauti na matarajio.
 
Hii nchi Ina watu wa hovyo sana ,Watu wa aina hii ya mleta mada katika nchi za watu wanaopenda demokrasia inayolinda haki za binadamu,Tungeona sahivi yupo rumande.
yaani mtu unatoa hoja eti tuwe na kiongozi muuaji. Hiv unajua kichochezi mojawapo Cha maendeleo ni watu( labour), Hawa watu wakiuwawa maendeleo yepi tutapata.
 
Ukihitaji salamu subiri kwanza nizeeke,tofauti na hapo utaula wa chuya!

"Watu wanaopaswa kufa kwenye hii nchi ni wengi kuliko walio hai"

Hii nchi ya Tanzania bila kuwa na kiongozi Katili,muonevu,mtoa amri za kutisha na asiye cheka cheka ovyo hatuwezi kusonga!.

Mfano mzuri ni Chuma Cha Pua JPM(RIP).

Hii nchi imejaa wapumbavu wa kutosha na bila kudili nao perpendicular kiukweli hatuwezi kutoboa,hizi kelele za wapinzani na wanaharakati kwamba tunahitaji demokrasia,ndiyo zinazotufanya hatusongi mbele!.

Bila kuwa na kiongozi katili, muonevu, asiye cheka ovyo hatuwezi katu kupiga hatua.

Rais Samia ni Rais ambaye hana hivyo vigezo na ndiyo maana nchi imemshinda, majitu yanapiga pesa kila uchwao, hakuna miradi inayokamilika na hatimaye tumerudi nyuma kimaendeleo, hii yote ni kwasababu ya kucheka na hii ngozi nyeusi iliyoshindikana!

Hii ngozi nyeusi bila kupata kiongozi mwenye haiba ya Paul Makonda hatuwezi kusonga kamwe!

Ili tusonge mbele tunahitaji kiongozi KATILI, MUUWAJI, ASIYECHEKA OVYO, ASIYEKUWA NA HURUMA NA MPENDA MAENDELEO.

MAKONDA ANAFAA KUWA RAIS WA NCHI!.
 

Attachments

  • VID-20231027-WA0000.mp4
    3.2 MB
Hii nchi Ina watu wa hovyo sana ,Watu wa aina hii ya mleta mada katika nchi za watu wanaopenda demokrasia inayolinda haki za binadamu,Tungeona sahivi yupo rumande.
yaani mtu unatoa hoja eti tuwe na kiongozi muuaji. Hiv unajua kichochezi mojawapo Cha maendeleo ni watu( labour), Hawa watu wakiuwawa maendeleo yepi tutapata.
Haki za binadamu inazaa,haki za mashoga,haki za mabasha,haki za wasagaji,haki za kutoa mimba,haki za kuvuta bangi,haki,haki,haki,ni upumbavu.
 
Ukihitaji salamu subiri kwanza nizeeke,tofauti na hapo utaula wa chuya!

"Watu wanaopaswa kufa kwenye hii nchi ni wengi kuliko walio hai"

Hii nchi ya Tanzania bila kuwa na kiongozi Katili,muonevu,mtoa amri za kutisha na asiye cheka cheka ovyo hatuwezi kusonga!.

Mfano mzuri ni Chuma Cha Pua JPM(RIP).

Hii nchi imejaa wapumbavu wa kutosha na bila kudili nao perpendicular kiukweli hatuwezi kutoboa,hizi kelele za wapinzani na wanaharakati kwamba tunahitaji demokrasia,ndiyo zinazotufanya hatusongi mbele!.

Bila kuwa na kiongozi katili, muonevu, asiye cheka ovyo hatuwezi katu kupiga hatua.

Rais Samia ni Rais ambaye hana hivyo vigezo na ndiyo maana nchi imemshinda, majitu yanapiga pesa kila uchwao, hakuna miradi inayokamilika na hatimaye tumerudi nyuma kimaendeleo, hii yote ni kwasababu ya kucheka na hii ngozi nyeusi iliyoshindikana!

Hii ngozi nyeusi bila kupata kiongozi mwenye haiba ya Paul Makonda hatuwezi kusonga kamwe!

Ili tusonge mbele tunahitaji kiongozi KATILI, MUUWAJI, ASIYECHEKA OVYO, ASIYEKUWA NA HURUMA NA MPENDA MAENDELEO.

MAKONDA ANAFAA KUWA RAIS WA NCHI!.
Hivi kweli unaitwa TUKANA UONE? Ugekuwa siyo TUKANA UONE ningekutukana 'pumbavu zako TUKANA UONE' ila naogopa.
 
Back
Top Bottom