Ujasiri Uliopitiliza na Uchapakazi wa Paul Makonda ndio Unaomfanya kukubalika na kila Rais anayeingia madarakani.

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Jul 28, 2022
15,356
9,788
Ndugu zangu Watanzania,

Paul Makonda ni aina ya mtu ambaye Rais yeyote yule anayeingia madarakani hawezi kumuepuka au kutotaka kufanya naye kazi,ni kiongozi ambaye ni ngumu kumuweka kando muda wote. Kwa kiongozi yeyote yule wa ngazi ya Urais ni lazima atatamani tu kuwa na Makonda karibu yake katika kufanya naye kazi.

Hii ni kwa kuwa Paul Christian Makonda ni kiongozi mchapa kazi sana,ni kiongozi mbunifu sana,ni kiongozi mwenye moyo wa kujituma,ni kiongozi mwenye maono na kiu ya maendeleo,ni kiongozi wa kisasa na anayekwenda na wakati,ni kiongozi mwenye roho ngumu na moyo wa chuma katika kuhakikisha kuwa anasimamia kile anachokiamini katika kuwaletea matokeo chanya wananchi.

Paul Makonda ni Mwamba anayekupatia matokeo ya aina yoyote ile unayoyataka wewe kwa wakati husika.,ni kiongozi ambaye ni mwepesi wa kubadilika,anaweza kuwa yeyote yule unayemtaka wewe na katika mazingira ya aina yoyote ile,ni kiongozi ambaye anafiti katika mazingira ya aina yoyote ile,ni kiongozi ambaye anaweza kubadilisha chochote na kwa wakati wowote na kukupatia matokeo unayoyataka wakati wowote ule unaoutaka mwenyewe.

Mwamba Makonda ni kiongozi jasiri anayecheza katika Dunia yake ya ujasiri,viatu vyake vya ujasiri huwezi ukamvalisha mwingine na vikamtosha na kumuenea vyema na kukupatia kile ambacho Mwamba angekupatia., Mwamba ni kiongozi mtiifu na mnyenyekevu sana katika ufanyaji kazi wake na kwa mamlaka ,ni kiongozi mwenye nyota kali sana na ushawishi wa aina yake kwa watu.unaweza ukaziba masikio lakini ukabaki unamtizama kwa picha.jiulize ni kwanini anakubalika kwa kila Rais anayeingia madarakani?

Jibu ni kuwa watu majasiri na wa kaliba ya Paul Makonda ni nadra sana kuwapata katika jamii iliyojaa watu waoga,wanafiki,wambeya,wazushi, wachawi,wachonganishi,wenye kutegemea uchawi na ushirikina katika kufanikiwa ,wenye roho za kwanini na walio tayari kutoa uhai wa mtu kwa ajili ya mali au madaraka.Paul Makonda anabaki kuwa Paul Makonda.hafanani na Hana wa kufanana naye hapa nchini wala wa kufananishwa naye hapa nchini.hana mbadala wake wala wa niaba yake.ni ngumu sana kumpata mtu mwenye kuweza kuvaa viatu vya kila aina na saizi yoyote na uhusika wa aina yoyote na akakubalika kwa namna kubwa anayokubalika huyu Mwamba.

Makonda ni hazina kwa Taifa letu,ni karata ya kipekee sana kwa nchi,chama na serikali yetu. Ni kama komandoo anayetegemewa katika jeshi kuongoza mapambano mahali penye ngome ngumu ya adui.ni kiongozi ambaye wewe mpe kazi na nyenzo halafu muachie akufanyie kazi.ni lazima utapenda Mwenyewe na kutabasamu tu.ndio maana kila anapopewa majukumu ya aina yoyote ile ndani ya chama na serikali huwa analeta matokeo chanya na makubwa.jiulize Mwamba ametokea wapi? Ni wapi amewahi kupwaya? Jibu ni kuwa siku zote amekuwa mshindi na kubakia kileleni.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Paul Makonda ni aina ya mtu ambaye Rais yeyote yule anayeingia madarakani hawezi kumuepuka au kutotaka kufanya naye kazi,ni kiongozi ambaye ni ngumu kumuweka kando muda wote. Kwa kiongozi yeyote yule wa ngazi ya Urais ni lazima atatamani tu kuwa na Makonda karibu yake katika kufanya naye kazi.

Hii ni kwa kuwa Paul Christian Makonda ni kiongozi mchapa kazi sana,ni kiongozi mbunifu sana,ni kiongozi mwenye moyo wa kujituma,ni kiongozi mwenye maono na kiu ya maendeleo,ni kiongozi wa kisasa na anayekwenda na wakati,ni kiongozi mwenye roho ngumu na moyo wa chuma katika kuhakikisha kuwa anasimamia kile anachokiamini katika kuwaletea matokeo chanya wananchi.

Paul Makonda ni Mwamba anayekupatia matokeo ya aina yoyote ile unayoyataka wewe kwa wakati husika.,ni kiongozi ambaye ni mwepesi wa kubadilika,anaweza kuwa yeyote yule unayemtaka wewe na katika mazingira ya aina yoyote ile,ni kiongozi ambaye anafiti katika mazingira ya aina yoyote ile,ni kiongozi ambaye anaweza kubadilisha chochote na kwa wakati wowote na kukupatia matokeo unayoyataka wakati wowote ule unaoutaka mwenyewe.

Mwamba Makonda ni kiongozi jasiri anayecheza katika Dunia yake ya ujasiri,viatu vyake vya ujasiri huwezi ukamvalisha mwingine na vikamtosha na kumuenea vyema na kukupatia kile ambacho Mwamba angekupatia., Mwamba ni kiongozi mtiifu na mnyenyekevu sana katika ufanyaji kazi wake na kwa mamlaka ,ni kiongozi mwenye nyota kali sana na ushawishi wa aina yake kwa watu.unaweza ukaziba masikio lakini ukabaki unamtizama kwa picha.jiulize ni kwanini anakubalika kwa kila Rais anayeingia madarakani?

Jibu ni kuwa watu majasiri na wa kaliba ya Paul Makonda ni nadra sana kuwapata katika jamii iliyojaa watu waoga,wanafiki,wambeya,wazushi, wachawi,wachonganishi,wenye kutegemea uchawi na ushirikina katika kufanikiwa ,wenye roho za kwanini na walio tayari kutoa uhai wa mtu kwa ajili ya mali au madaraka.Paul Makonda anabaki kuwa Paul Makonda.hafanani na Hana wa kufanana naye hapa nchini wala wa kufananishwa naye hapa nchini.hana mbadala wake wala wa niaba yake.ni ngumu sana kumpata mtu mwenye kuweza kuvaa viatu vya kila aina na saizi yoyote na uhusika wa aina yoyote na akakubalika kwa namna kubwa anayokubalika huyu Mwamba.

Makonda ni hazina kwa Taifa letu,ni karata ya kipekee sana kwa nchi,chama na serikali yetu. Ni kama komandoo anayetegemewa katika jeshi kuongoza mapambano mahali penye ngome ngumu ya adui.ni kiongozi ambaye wewe mpe kazi na nyenzo halafu muachie akufanyie kazi.ni lazima utapenda Mwenyewe na kutabasamu tu.ndio maana kila anapopewa majukumu ya aina yoyote ile ndani ya chama na serikali huwa analeta matokeo chanya na makubwa.jiulize Mwamba ametokea wapi? Ni wapi amewahi kupwaya? Jibu ni kuwa siku zote amekuwa mshindi na kubakia kileleni.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Mumeo huyo
 
Hebu fikiria kama ungekuwa unafuatilia maisha yako binafsi kama unavyomfuatilia Makonda Kwa maika mitano TU,ungekuwa mbali kiasi gani ?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Paul Makonda ni aina ya mtu ambaye Rais yeyote yule anayeingia madarakani hawezi kumuepuka au kutotaka kufanya naye kazi,ni kiongozi ambaye ni ngumu kumuweka kando muda wote. Kwa kiongozi yeyote yule wa ngazi ya Urais ni lazima atatamani tu kuwa na Makonda karibu yake katika kufanya naye kazi.

Hii ni kwa kuwa Paul Christian Makonda ni kiongozi mchapa kazi sana,ni kiongozi mbunifu sana,ni kiongozi mwenye moyo wa kujituma,ni kiongozi mwenye maono na kiu ya maendeleo,ni kiongozi wa kisasa na anayekwenda na wakati,ni kiongozi mwenye roho ngumu na moyo wa chuma katika kuhakikisha kuwa anasimamia kile anachokiamini katika kuwaletea matokeo chanya wananchi.

Paul Makonda ni Mwamba anayekupatia matokeo ya aina yoyote ile unayoyataka wewe kwa wakati husika.,ni kiongozi ambaye ni mwepesi wa kubadilika,anaweza kuwa yeyote yule unayemtaka wewe na katika mazingira ya aina yoyote ile,ni kiongozi ambaye anafiti katika mazingira ya aina yoyote ile,ni kiongozi ambaye anaweza kubadilisha chochote na kwa wakati wowote na kukupatia matokeo unayoyataka wakati wowote ule unaoutaka mwenyewe.

Mwamba Makonda ni kiongozi jasiri anayecheza katika Dunia yake ya ujasiri,viatu vyake vya ujasiri huwezi ukamvalisha mwingine na vikamtosha na kumuenea vyema na kukupatia kile ambacho Mwamba angekupatia., Mwamba ni kiongozi mtiifu na mnyenyekevu sana katika ufanyaji kazi wake na kwa mamlaka ,ni kiongozi mwenye nyota kali sana na ushawishi wa aina yake kwa watu.unaweza ukaziba masikio lakini ukabaki unamtizama kwa picha.jiulize ni kwanini anakubalika kwa kila Rais anayeingia madarakani?

Jibu ni kuwa watu majasiri na wa kaliba ya Paul Makonda ni nadra sana kuwapata katika jamii iliyojaa watu waoga,wanafiki,wambeya,wazushi, wachawi,wachonganishi,wenye kutegemea uchawi na ushirikina katika kufanikiwa ,wenye roho za kwanini na walio tayari kutoa uhai wa mtu kwa ajili ya mali au madaraka.Paul Makonda anabaki kuwa Paul Makonda.hafanani na Hana wa kufanana naye hapa nchini wala wa kufananishwa naye hapa nchini.hana mbadala wake wala wa niaba yake.ni ngumu sana kumpata mtu mwenye kuweza kuvaa viatu vya kila aina na saizi yoyote na uhusika wa aina yoyote na akakubalika kwa namna kubwa anayokubalika huyu Mwamba.

Makonda ni hazina kwa Taifa letu,ni karata ya kipekee sana kwa nchi,chama na serikali yetu. Ni kama komandoo anayetegemewa katika jeshi kuongoza mapambano mahali penye ngome ngumu ya adui.ni kiongozi ambaye wewe mpe kazi na nyenzo halafu muachie akufanyie kazi.ni lazima utapenda Mwenyewe na kutabasamu tu.ndio maana kila anapopewa majukumu ya aina yoyote ile ndani ya chama na serikali huwa analeta matokeo chanya na makubwa.jiulize Mwamba ametokea wapi? Ni wapi amewahi kupwaya? Jibu ni kuwa siku zote amekuwa mshindi na kubakia kileleni.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Lengo lilikuwa nzuri, lakini umepitiliza muno kusifia.
Anyway jamaa ni jasili sana aisehh..
 
Back
Top Bottom