Zekoddo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 1,831
- 4,498
Wakuu hapa Makambako Kuna mzani wa Magari makubwa, kwa kweli hii mezani imewekwa eneo la ovyo sana,, eneo ni finyu halina mzunguko mzuri wa magari,
Mabasi, magari madogo na Malory yanaishia kuviziana tu ili yapishane,, hii inaweza kupelekea ajali kabisa,,
Wahusika sijui(TANROAD) fanyeni iwezekanavyo kuweka vizuri ili eneo au kuondoa Mizani kabisa kwa eneo hili
Mzani wa Iringa(Tanangozi) uko vizuri sana,, eneo ni pana na panavutia ila hali ni tofauti sana kwa hapa Makambako.
Mabasi, magari madogo na Malory yanaishia kuviziana tu ili yapishane,, hii inaweza kupelekea ajali kabisa,,
Wahusika sijui(TANROAD) fanyeni iwezekanavyo kuweka vizuri ili eneo au kuondoa Mizani kabisa kwa eneo hili
Mzani wa Iringa(Tanangozi) uko vizuri sana,, eneo ni pana na panavutia ila hali ni tofauti sana kwa hapa Makambako.