Matusi ya Nini, amezungumzia logo ya Simba kutumika hakina sehemu ametaja jina la mhusika.Wewe kenge tu hujui lolote,hao NBC ndio bango lao wanatangaza ligi yao,yanga wanahusika na nini??
Siyo matusi hujitambuiMatusi ya Nini, amezungumzia logo ya Simba kutumika hakina sehemu ametaja jina la mhusika.
Wewe mwenyewe kilaza kama hao unaowasema. Mara ngapi simba inaweka kwenye page zake za mitandao logo ya yanga na timu nyingine huku kuna wadhamini wa Simba?Simba Kuna vilaza hawawezi kung'amua, Kama mo anatumia kampuni yake kutengeneza khanga za Simba na kuuza huku Simba hawapati hata Senti tano wataweza kuhoji kuhusu logo yao kutumika kwenye mabango
Wewe ndio hujitambui, mtu kauliza swali unamwita kenge, inaonekana kabisa umekulia sehemu za hovyo.Siyo matusi hujitambui
Hivi unajua logo imesajiliwa, Kama hujui maana ya kusajili ndio ukilaza ulionaoWewe mwenyewe kilaza kama hao unaowasema. Mara ngapi simba inaweka kwenye page zake za mitandao logo ya yanga na timu nyingine huku kuna wadhamini wa Simba?
AahaaaaaaSimba Kuna vilaza hawawezi kung'amua, Kama mo anatumia kampuni yake kutengeneza khanga za Simba na kuuza huku Simba hawapati hata Senti tano wataweza kuhoji kuhusu logo yao kutumika kwenye mabango
.
Yao halimshibishi mtoto 'mchanga'!?..ushawahi sikia mifano hai na mfu!?Ng'ombe anatoa maziwa ya kuwanywesha watu wa kijiji kizima lakini husikii kelele yoyote kutoka kwa ng'ombe huyo lakini sasa kuku kataga yai ambalo halimshibishi hata mtoto mchanga mmoja hapo hapo kijijini kuku huyo atapiga kelele mpaka sayari ya Neptune watajua kuwa kuna kuku kataga yai wakati ng'ombe aliyetoa maziwa yupo zake kimya. Elewa neno ng'ombe, kuku, maziwa, yai
Kwahiyo 5G walicheza na timu gani?Hivi unajua logo imesajiliwa, Kama hujui maana ya kusajili ndio ukilaza ulionao
Alitaka wamuweke Mangungu,We ulitaka hapo kwenye logo ya simba waweke logo ya timu gani?
Wamuweke Mangungu au Mo,Sasa ulitaka tuwaweke mtibwa wakati mmekandwa nyinyi.