Ina maana Caf hawajui logo ya Yanga au ni dharau?

Johnny Sack

JF-Expert Member
Jan 21, 2017
8,834
18,836
Ukicheki club nyingine kama Simba, Wydad, Mamelodi, Mazembe, Al Ahlyna nyinginez majina yao yameandikwa huku pembeni yake kuna logo isipokuwa Yanga na vitimu vingine vidogo

Najiuliza ni kuwa hawaifahamu logo ya Yanga au ni dharau?

Maana Yanga imecheza fainali ya Shirikisho na kuvaa medali iweje logo yao hawaifahamu?

Screenshot_20231220-121701.png


Screenshot_20231220-121726.png
 
Ukicheki club nyingine kama Simba, Wydad, Mamelodi, Mazembe, Al Ahlyna nyinginez majina yao yameandikwa huku pembeni yake kuna logo isipokuwa Yanga na vitimu vingine vidogo

Najiuliza ni kuwa hawaifahamu logo ya Yanga au ni dharau?

Maana Yanga imecheza fainali ya Shirikisho na kuvaa medali iweje logo yao hawaifahamu?

View attachment 2847975

View attachment 2847974
Hizi ndio athari za kukosa lishe bora tangu utotoni
 
Ukicheki club nyingine kama Simba, Wydad, Mamelodi, Mazembe, Al Ahlyna nyinginez majina yao yameandikwa huku pembeni yake kuna logo isipokuwa Yanga na vitimu vingine vidogo

Najiuliza ni kuwa hawaifahamu logo ya Yanga au ni dharau?

Maana Yanga imecheza fainali ya Shirikisho na kuvaa medali iweje logo yao hawaifahamu?

View attachment 2847975

View attachment 2847974
Umeamua kujiabisha. Ingia website ya CAF kama hawajaweka logo ya Yanga.
Angalia ukurasa wao CAF unaona hiyo nembo ta Yanga.
IMG_20231220_125007.jpg
 
Subiri mechi 6 zikamilike anae weza kucheka sasa hivi ni ni ASEC Memosas tu wengine ni Mungu saidia
Mimi nimesema tu.
Tunaongoza ligi kutoka CHINI hayo mengine ni yako.
Ila kingine ninachojua wenzetu simba wapo nafasi ya 2 katika kundi Lao.na kwenye ligi ana VIPORO VYA KUSHIBA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom