Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,834
- 18,836
Ukicheki club nyingine kama Simba, Wydad, Mamelodi, Mazembe, Al Ahlyna nyinginez majina yao yameandikwa huku pembeni yake kuna logo isipokuwa Yanga na vitimu vingine vidogo
Najiuliza ni kuwa hawaifahamu logo ya Yanga au ni dharau?
Maana Yanga imecheza fainali ya Shirikisho na kuvaa medali iweje logo yao hawaifahamu?
Najiuliza ni kuwa hawaifahamu logo ya Yanga au ni dharau?
Maana Yanga imecheza fainali ya Shirikisho na kuvaa medali iweje logo yao hawaifahamu?