Nimepata habari mpya kutoka uswazi...
Nimepata habari mpya kutoka uswazi, waislamu sasa waamua kula kitimoto kimya kimya baada ya kuambiwa ukila hasa mafuta yake yanaongeza CD4 count hasa kwa walioathirika. Hii kali wanajamvi kunamtu anaifahamu hii? Nawasilisha.
No research,no right to speak!
Sioni cha ajabu hapo,
Kwani hakuna tofauti na wanaoenda kupiga KIKOMBE LOLIONDO!
hizo ndizo akili za kitanzania....
hakuna kutafiti.. just FUNUNU tu.. utekelezwaji unaanza!!
Nimepata habari mpya kutoka uswazi, waislamu sasa waamua kula kitimoto kimya kimya baada ya kuambiwa ukila hasa mafuta yake yanaongeza CD4 count hasa kwa walioathirika. Hii kali wanajamvi kunamtu anaifahamu hii? Nawasilisha.
Nimepata habari mpya kutoka uswazi, waislamu sasa waamua kula kitimoto kimya kimya baada ya kuambiwa ukila hasa mafuta yake yanaongeza CD4 count hasa kwa walioathirika. Hii kali wanajamvi kunamtu anaifahamu hii? Nawasilisha.
Nimepata habari mpya kutoka uswazi, waislamu sasa waamua kula kitimoto kimya kimya baada ya kuambiwa ukila hasa mafuta yake yanaongeza CD4 count hasa kwa walioathirika. Hii kali wanajamvi kunamtu anaifahamu hii? Nawasilisha.
hasa,zinaboa sana.umenena mkuu
Nimepata habari mpya kutoka uswazi, waislamu sasa waamua kula kitimoto kimya kimya baada ya kuambiwa ukila hasa mafuta yake yanaongeza CD4 count hasa kwa walioathirika. Hii kali wanajamvi kunamtu anaifahamu hii? Nawasilisha.
Thread zinazohusu Waislamu zishakuwa nyingi humu jukwaani kama zile za Loliondo.
Zinachosha bana!!
Yaani wewe ndio unaamka kujua kwamba hawa jamaa wanakula huyu mfugo? mbona usishangae kipindi cha mfungo wao wa Ramadhani hiyo biashara inadoda mabuchani! Na pia sio lazima waongeze CD4 kupitia huyu mfugo Babu si yupo kule Loliondo sasa hivi hakuna haja ya kuongeza CD4 bali ni kwamba unapona kabisa hako kauogonjwa.
ukimwi, nguruwe na nabii wa uongo nafikiri ni vitu ambavyo muislamu anaepushwa navyo mradi akifuata maamrisho. Imani ya mtu ni hiyari yake na ndio maana wanaokwenda kutumia majini kwa shehe yahya wengi wao ni wakristo.
Sioni cha ajabu hapo,
Kwani hakuna tofauti na wanaoenda kupiga KIKOMBE LOLIONDO!
hizo ndizo akili za kitanzania....
hakuna kutafiti.. just FUNUNU tu.. utekelezwaji unaanza!!