Hii kali: waislam wala kitimoto kuongeza CD4.

Status
Not open for further replies.

Mupirocin

JF-Expert Member
Jan 28, 2011
1,739
744
Nimepata habari mpya kutoka uswazi, waislamu sasa waamua kula kitimoto kimya kimya baada ya kuambiwa ukila hasa mafuta yake yanaongeza CD4 count hasa kwa walioathirika. Hii kali wanajamvi kunamtu anaifahamu hii? Nawasilisha.
 
Waislam kula au kutokula mbuzi wa katoliki inakuhusu nini?hembu jamani tuangalie mambo ya kuturudishia uhuru wetu na kupata maendeleo!
 
Nimepata habari mpya kutoka uswazi, waislamu sasa waamua kula kitimoto kimya kimya baada ya kuambiwa ukila hasa mafuta yake yanaongeza CD4 count hasa kwa walioathirika. Hii kali wanajamvi kunamtu anaifahamu hii? Nawasilisha.

No research,no right to speak!
 
Sioni cha ajabu hapo,
Kwani hakuna tofauti na wanaoenda kupiga KIKOMBE LOLIONDO!
hizo ndizo akili za kitanzania....
hakuna kutafiti.. just FUNUNU tu.. utekelezwaji unaanza!!
 
Thread zinazohusu Waislamu zishakuwa nyingi humu jukwaani kama zile za Loliondo.
Zinachosha bana!!
 
Nimepata habari mpya kutoka uswazi, waislamu sasa waamua kula kitimoto kimya kimya baada ya kuambiwa ukila hasa mafuta yake yanaongeza CD4 count hasa kwa walioathirika. Hii kali wanajamvi kunamtu anaifahamu hii? Nawasilisha.

Yaani wewe ndio unaamka kujua kwamba hawa jamaa wanakula huyu mfugo? mbona usishangae kipindi cha mfungo wao wa Ramadhani hiyo biashara inadoda mabuchani! Na pia sio lazima waongeze CD4 kupitia huyu mfugo Babu si yupo kule Loliondo sasa hivi hakuna haja ya kuongeza CD4 bali ni kwamba unapona kabisa hako kauogonjwa.
 
Nimepata habari mpya kutoka uswazi, waislamu sasa waamua kula kitimoto kimya kimya baada ya kuambiwa ukila hasa mafuta yake yanaongeza CD4 count hasa kwa walioathirika. Hii kali wanajamvi kunamtu anaifahamu hii? Nawasilisha.

Dr. G., kali zaidi ni wewe kuleta habari bila ya chanzo, na kali kweli kweli kuleta mambo ya kidini hapa alfajiri yote hii.
Dr. G., tetesi, udaku, dini, tiba, vyote hivi vina sehemu zao
Dr. G., nani kala nini, huyu kavaa kile inakuhusuje?
 
guys get serious usiseme kitu ambacho huna uhakika nacho, kwetu sisi ni kama laana kula huyo na ukisema waislam unatuhukumu wote. naomaba tuheshimiane kidini kaka
 
Nimepata habari mpya kutoka uswazi, waislamu sasa waamua kula kitimoto kimya kimya baada ya kuambiwa ukila hasa mafuta yake yanaongeza CD4 count hasa kwa walioathirika. Hii kali wanajamvi kunamtu anaifahamu hii? Nawasilisha.

bab huwezi kupata popularity kwa habari kama hizi chazo hakuna!! kama wangehitaji CD4 nyingi si wange burn tu! tehethete "joking"

next time njoo na mada mpya
 
Nimepata habari mpya kutoka uswazi, waislamu sasa waamua kula kitimoto kimya kimya baada ya kuambiwa ukila hasa mafuta yake yanaongeza CD4 count hasa kwa walioathirika. Hii kali wanajamvi kunamtu anaifahamu hii? Nawasilisha.

Si ulisema waliathirika? Walikwenda kinyume na maagizo hivyo kuendelea si ajabu.
 
Yaani wewe ndio unaamka kujua kwamba hawa jamaa wanakula huyu mfugo? mbona usishangae kipindi cha mfungo wao wa Ramadhani hiyo biashara inadoda mabuchani! Na pia sio lazima waongeze CD4 kupitia huyu mfugo Babu si yupo kule Loliondo sasa hivi hakuna haja ya kuongeza CD4 bali ni kwamba unapona kabisa hako kauogonjwa.

Ukimwi, Nguruwe na Nabii wa uongo nafikiri ni vitu ambavyo Muislamu anaepushwa navyo mradi akifuata maamrisho. Imani ya mtu ni hiyari yake na ndio maana wanaokwenda kutumia majini kwa Shehe Yahya wengi wao ni Wakristo.
 
ukimwi, nguruwe na nabii wa uongo nafikiri ni vitu ambavyo muislamu anaepushwa navyo mradi akifuata maamrisho. Imani ya mtu ni hiyari yake na ndio maana wanaokwenda kutumia majini kwa shehe yahya wengi wao ni wakristo.

>100% crap....
Umejuaje, au wewe ni secretary wa huyo shehe wenu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom