Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
Dena sidhani kama kuna mapenzi hapo,,kwani b4 alimuacha kwa sababu gani?
:smile-big:hii smile ina ujumbe guess
wow:busu:busu
Dena sidhani kama kuna mapenzi hapo,,kwani b4 alimuacha kwa sababu gani?
:smile-big:hii smile ina ujumbe guess
wow:busu:busu
WL hakuna mapenzi ni wizi mtupu
Second chance zipo dear lakini kwa style hii nooooooooooooo
Inawezekana huyo mdada ndo alisababisha wakaachana,kweli mi nafikiri inategemea kilichowaachanisha ni nini?Wanaume hawa bwana kama wewe unamuona makombo hata huyo utakayekutana nae ni matapishi ya sehemu nyingine............Ausikilize moyo wake,aangalie hali kama anaweza kumudu familia na watoto wasio wake na zaidi autafute uso wa Mungu,si kila mtu maombi yake yanajibiwa in a sweet way,sometimes ndo kama hivyo,ulikuwa nae mkaachana,mkewe kafa mkakutana tena na bado mna mapenzi,maisha yanasonga.........mradi kuna heshima,uwajibikaji,uaminifu,na zaidi UPENDO,why not!!hii ishu ya matapishi wengi tunaokuwa nao wametapikwa sehemu,ni vile hatujui tu....LOL
Second chance zipo dear lakini kwa style hii nooooooooooooo
ewaa michelle, unajua wengine tunaishi kwenye utopia...
Inawezekana huyo mdada ndo alisababisha wakaachana,kweli mi nafikiri inategemea kilichowaachanisha ni nini?Wanaume hawa bwana kama wewe unamuona makombo hata huyo utakayekutana nae ni matapishi ya sehemu nyingine............Ausikilize moyo wake,aangalie hali kama anaweza kumudu familia na watoto wasio wake na zaidi autafute uso wa Mungu,si kila mtu maombi yake yanajibiwa in a sweet way,sometimes ndo kama hivyo,ulikuwa nae mkaachana,mkewe kafa mkakutana tena na bado mna mapenzi,maisha yanasonga.........mradi kuna heshima,uwajibikaji,uaminifu,na zaidi UPENDO,why not!!hii ishu ya matapishi wengi tunaokuwa nao wametapikwa sehemu,ni vile hatujui tu....LOL