Hii imekaaje wanaume, mbona kama ni dhambi

martial jb

JF-Expert Member
Oct 21, 2021
864
1,456
Habari wakuu,
Hivi karibuni kumekuwa na story inayotrend sana kwenye mitandao ya kijamii kuhusiana na wanandoa wawili waliofanikiwa kufikisha miaka mitatu kwenye ndoa yao na kufanikiwa kupata mtoto mmoja, Achraf Hakimi(24) ambaye ni mchezaji wa kulipwa wa PSG na mkewe Kiba Habouk(34).

Sakata hili limekuwa maarufu baada ya mkewe na Achraf mwanamama Kiba Habouk kudai talaka mahakamani ikiwemo na mgawanyo wa mali zinazomilikiwa na familia yao hiyo.

Lakini katika hali ya kushangaza mahakama imegundua kuwa Achraf licha ya utajiri wake wote huo, hamiliki chochote kwani mali zake zote amemilikisha kwa mama yake SAIDA MOAH ikiwemo na mshahara wake anaoingiza kila wiki pale PSG, kwani unaingia kwa jina la mama yake.

Imeshangaza baada ya kugundulika Achraf hela ya matumizi yake binafsi anachkua kwa mama yake, na baada ya uchunguzi zaidi imegundulika pia mama yake ndiye mwenye majina ya magari yote ya kifahari ikiwemo na assets zote za jamaa mpaka vyombo vya ndani.

Hivyo basi, bibie Kiba Habouk amebaki hana la kufanya na kubaki kushangaa tu! Kwani mahakama imemaliza ushahidi huo.

Narudi kwenu wakuu, hii imekaaje mbona kama ni dhambi tukiangalia upande wa pili wa shilingi. Umeishi na mwenzio miaka mitatu analea mwanao, na pia kukusaidia kwenye masuala mbalimbali ya kimaisha, halafu mwisho wa siku asipate chochote mnapoachana.
Sasa muda huo si bora angekua anafanya shughuli zake zingine za kumwingizia kipato inawezekana angefika mbali, kuliko kutoka kwenye ndoa na kuanza moja.

Naomba ufafanuzi wakuu, sio kwa ubaya lakini ni kueleweshana tu jamani.
 
Shida sio kukaa na kulea watoto, shida ni kutaka 50%.
Alaf ameishi nae miaka 3, miaka 3 unaomba talaka? Mimi nkikuchangia harusi af mkatemana ndani ya miaka 3 nakudai mchango wangu.
In short huyu manz alitaka kutembelea nyota tu ya jamaa avute mpunga mwingi n.k
Na msela inaonekana alishashtuka kitambo sana akahamisha mali kwenda kwa bi mkubwa wake
 
Hapo angekua yupo wrong kama yeye mwenyewe mficha mali ndo angedai talaka, ila mwanamke ndo ameshindwa kuvumilia shida na raha walizoapa na ameenda mahakamani mwenyewe, sasa hapo utamuhukumuje mwanaume
Alaf pia tukirudi upande wa pili bi dada amedai talaka kutokana na mwanaume kuwa na kesi ya kubaka binti wa miaka 24, kumbuka hata yeye ana miaka 24, hapo uchunguzi ukifanyika utagundua kuna mchezo tu hapo katikati maana haiwezekani kua alibaka bali ni makubaliano tu
 
Habari wakuu,
Hivi karibuni kumekuwa na story inayotrend sana kwenye mitandao ya kijamii kuhusiana na wanandoa wawili waliofanikiwa kufikisha miaka mitatu kwenye ndoa yao na kufanikiwa kupata mtoto mmoja, Achraf Hakimi(24) ambaye ni mchezaji wa kulipwa wa PSG na mkewe Kiba Habouk(34).

Sakata hili limekuwa maarufu baada ya mkewe na Achraf mwanamama Kiba Habouk kudai talaka mahakamani ikiwemo na mgawanyo wa mali zinazomilikiwa na familia yao hiyo.

Lakini katika hali ya kushangaza mahakama imegundua kuwa Achraf licha ya utajiri wake wote huo, hamiliki chochote kwani mali zake zote amemilikisha kwa mama yake SAIDA MOAH ikiwemo na mshahara wake anaoingiza kila wiki pale PSG, kwani unaingia kwa jina la mama yake.

Imeshangaza baada ya kugundulika Achraf hela ya matumizi yake binafsi anachkua kwa mama yake, na baada ya uchunguzi zaidi imegundulika pia mama yake ndiye mwenye majina ya magari yote ya kifahari ikiwemo na assets zote za jamaa mpaka vyombo vya ndani.

Hivyo basi, bibie Kiba Habouk amebaki hana la kufanya na kubaki kushangaa tu! Kwani mahakama imemaliza ushahidi huo.

Narudi kwenu wakuu, hii imekaaje mbona kama ni dhambi tukiangalia upande wa pili wa shilingi. Umeishi na mwenzio miaka mitatu analea mwanao, na pia kukusaidia kwenye masuala mbalimbali ya kimaisha, halafu mwisho wa siku asipate chochote mnapoachana.
Sasa muda huo si bora angekua anafanya shughuli zake zingine za kumwingizia kipato inawezekana angefika mbali, kuliko kutoka kwenye ndoa na kuanza moja.

Naomba ufafanuzi wakuu, sio kwa ubaya lakini ni kueleweshana tu jamani.
Kwenye maswali ondoa alama za kuuliza.
 
Shida sio kukaa na kulea watoto, shida ni kutaka 50%.
Alaf ameishi nae miaka 3, miaka 3 unaomba talaka? Mimi nkikuchangia harusi af mkatemana ndani ya miaka 3 nakudai mchango wangu.
In short huyu manz alitaka kutembelea nyota tu ya jamaa avute mpunga mwingi n.k
Na msela inaonekana alishashtuka kitambo sana akahamisha mali kwenda kwa bi mkubwa wake
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Eti nakudai mchango wangu daah asee
 
Habari wakuu,
Hivi karibuni kumekuwa na story inayotrend sana kwenye mitandao ya kijamii kuhusiana na wanandoa wawili waliofanikiwa kufikisha miaka mitatu kwenye ndoa yao na kufanikiwa kupata mtoto mmoja, Achraf Hakimi(24) ambaye ni mchezaji wa kulipwa wa PSG na mkewe Kiba Habouk(34).

Sakata hili limekuwa maarufu baada ya mkewe na Achraf mwanamama Kiba Habouk kudai talaka mahakamani ikiwemo na mgawanyo wa mali zinazomilikiwa na familia yao hiyo.

Lakini katika hali ya kushangaza mahakama imegundua kuwa Achraf licha ya utajiri wake wote huo, hamiliki chochote kwani mali zake zote amemilikisha kwa mama yake SAIDA MOAH ikiwemo na mshahara wake anaoingiza kila wiki pale PSG, kwani unaingia kwa jina la mama yake.

Imeshangaza baada ya kugundulika Achraf hela ya matumizi yake binafsi anachkua kwa mama yake, na baada ya uchunguzi zaidi imegundulika pia mama yake ndiye mwenye majina ya magari yote ya kifahari ikiwemo na assets zote za jamaa mpaka vyombo vya ndani.

Hivyo basi, bibie Kiba Habouk amebaki hana la kufanya na kubaki kushangaa tu! Kwani mahakama imemaliza ushahidi huo.

Narudi kwenu wakuu, hii imekaaje mbona kama ni dhambi tukiangalia upande wa pili wa shilingi. Umeishi na mwenzio miaka mitatu analea mwanao, na pia kukusaidia kwenye masuala mbalimbali ya kimaisha, halafu mwisho wa siku asipate chochote mnapoachana.
Sasa muda huo si bora angekua anafanya shughuli zake zingine za kumwingizia kipato inawezekana angefika mbali, kuliko kutoka kwenye ndoa na kuanza moja.

Naomba ufafanuzi wakuu, sio kwa ubaya lakini ni kueleweshana tu jamani.
Jeuri mwenzie kusudi!! , Dada kama angejua ana jukumu la kulea asingeleta drama za talaka ili wagawane mali,
 
Habari wakuu,
Hivi karibuni kumekuwa na story inayotrend sana kwenye mitandao ya kijamii kuhusiana na wanandoa wawili waliofanikiwa kufikisha miaka mitatu kwenye ndoa yao na kufanikiwa kupata mtoto mmoja, Achraf Hakimi(24) ambaye ni mchezaji wa kulipwa wa PSG na mkewe Kiba Habouk(34).

Sakata hili limekuwa maarufu baada ya mkewe na Achraf mwanamama Kiba Habouk kudai talaka mahakamani ikiwemo na mgawanyo wa mali zinazomilikiwa na familia yao hiyo.

Lakini katika hali ya kushangaza mahakama imegundua kuwa Achraf licha ya utajiri wake wote huo, hamiliki chochote kwani mali zake zote amemilikisha kwa mama yake SAIDA MOAH ikiwemo na mshahara wake anaoingiza kila wiki pale PSG, kwani unaingia kwa jina la mama yake.

Imeshangaza baada ya kugundulika Achraf hela ya matumizi yake binafsi anachkua kwa mama yake, na baada ya uchunguzi zaidi imegundulika pia mama yake ndiye mwenye majina ya magari yote ya kifahari ikiwemo na assets zote za jamaa mpaka vyombo vya ndani.

Hivyo basi, bibie Kiba Habouk amebaki hana la kufanya na kubaki kushangaa tu! Kwani mahakama imemaliza ushahidi huo.

Narudi kwenu wakuu, hii imekaaje mbona kama ni dhambi tukiangalia upande wa pili wa shilingi. Umeishi na mwenzio miaka mitatu analea mwanao, na pia kukusaidia kwenye masuala mbalimbali ya kimaisha, halafu mwisho wa siku asipate chochote mnapoachana.
Sasa muda huo si bora angekua anafanya shughuli zake zingine za kumwingizia kipato inawezekana angefika mbali, kuliko kutoka kwenye ndoa na kuanza moja.

Naomba ufafanuzi wakuu, sio kwa ubaya lakini ni kueleweshana tu jamani.
Na mimi ntafanya ivo aseeee
 
Shida sio kukaa na kulea watoto, shida ni kutaka 50%.
Alaf ameishi nae miaka 3, miaka 3 unaomba talaka? Mimi nkikuchangia harusi af mkatemana ndani ya miaka 3 nakudai mchango wangu.
In short huyu manz alitaka kutembelea nyota tu ya jamaa avute mpunga mwingi n.k
Na msela inaonekana alishashtuka kitambo sana akahamisha mali kwenda kwa bi mkubwa wake
Itakua alishashtuka mapema akafanya alichokifanya alafu wakakaa kusubiria yajayo.
 
Mama Hakimi na mwanae wakilikwepa chumia Tumbo.
Hii iwekwe kwenye Syllabus.
FB_IMG_16782581823032686.jpg
 
Back
Top Bottom