Hii Imekaaje Wapendwa

pole sana nakuombea,,pata muda wa kupumzika and keep smilling,,naona afro amekuja na sura ya machozi cjui kimemsibu nn?

sijamuona dear yupo chat room au wapi?? Nidokeze basi. Lakini saa hizi hajaamka bado navyomjua mie mpaka mida ya saa tisa tisa hivi ok let me know where she is
 
sijamuona dear yupo chat room au wapi?? Nidokeze basi. Lakini saa hizi hajaamka bado navyomjua mie mpaka mida ya saa tisa tisa hivi ok let me know where she is

sa flani nilimkuta kny kasred kakujadi wanawake,,cjui dem awe vp!kameshakuwa moved
 
Kumbe waliachana bila sababu! Mume bora/mke bora hutoka kwa Bwana. Huenda ndo iliandikwa hivyo kwamba lazima mwisho wa siku wataoana kwa vyovyote vile! Waoane tu!
 
sa flani nilimkuta kny kasred kakujadi wanawake,,cjui dem awe vp!kameshakuwa moved

Mie nilikwambia jana huyu mtoto kaharibikiwa sana hivi ulimuona kwenye wanaume kujichua alikuwa anaongea kama hajazaliwa na mwanamke duuu yale maneno mpaka nikaogopa. Mie nalala bwana dawa zanipa usingizi ile Mbaya si unajua tena natakiwa kurelax for long time dear???
 
Mie nilikwambia jana huyu mtoto kaharibikiwa sana hivi ulimuona kwenye wanaume kujichua alikuwa anaongea kama hajazaliwa na mwanamke duuu yale maneno mpaka nikaogopa. Mie nalala bwana dawa zanipa usingizi ile Mbaya si unajua tena natakiwa kurelax for long time dear???

dah!nilimuona na wenzie nikabaki nawatch movie,,lol!pumzika achana kwanza na jf,,bdae mpendwa
 
Nimepata transfer muhimbili kwa specialist wa moyo dear. Lakini mchana kutwa nilikuwa na drip ndo nimemaliza saa 9.30 usiku huu ndo maana ukaona kimya moyo umeleta mapya sijui ndo safari ya India au Mbinguni sielewi. Asante kwa kujali dear Kimey wala Teamo, wala Asprin wala TF wala AD hawana habari BE is taking care of me.
Jamani Jamani Jamani mbona hukunibeep mpendwa au number zote uliacha kwa B_E? Pole sana, Ngoja nipande mlimani nikakuombee!! utapona tu usijali ...tupo pamoja kwenye hili!! Get well soon Dia!
 
Jamani Jamani Jamani mbona hukunibeep mpendwa au number zote uliacha kwa B_E? Pole sana, Ngoja nipande mlimani nikakuombee!! utapona tu usijali ...tupo pamoja kwenye hili!! Get well soon Dia!


Thank you. Simu yako alibaki nayo B_E kama vipi nitwangie niko home nimelala tu hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom