Hii imekaaje kudharau watumiaji wa simu za Tecno na Itel ilihali wote mnakuwa na access ya vitu vinavyofanana

Mkuu jifunze kwa wazungu..
Wale jamaa awapendi vitu under quality
Simu tajwa hapo juu zina vingi vya kujifunza kutoka kwa Simu za mzungu..
Na kwa kuanzia tu hizo simu tajwa hazitumiki huko zinakotengezwa.

Just imagine mtu anapika vitumbua af yeye mwenyew hatak watoto wake wale ila anawauzia wengine..
Emancipate yourself from mentally slavery..
 
Natumia Infinix , nafanya graphics mwenyewe kila siku kwenye simu yangu (kwaajili ya biashara) hiyo canva , adobe etc zipo

Mna ujinga mwingi
mimi natumia infinix huu mwaka wa 6 ila huo ujinga aliosema hapo juu sijawahi kuuona
tatizo wanajikweza sana au wamekariri tu
 
Yaani kama hivi tu
IMG-20211023-WA0012.jpg
 
Ni sawa na masikini anayeshindia ugali na mbaazi chuku chuku halafu aseme yeye ni sawa tu na kina Azam maana wote wanashiba... amesahau kuwa yeye anashiba lakini anashambuliwa na utapiamlo

Hivi kweli;
Tecno
Itel
Infinix

Yaani ndo uje useme ni sawa na Samsung!

Aah hebu acha utani bwana. Hayo yataendelea kubaki ni makopo tu
 
Mvaa kiwinda kapata kaniki basi wote tunaonekana malofa sawa ndugu. Ila mawasiliano unayo pata wewe na sie tunayapata tena kwa wakati mmoja.
 
jamaa na iPhone zao wanaweka ile ringtone yao ya taifa kwa sauti kubwa ila ajulikane nae ni mdau wa Apple. Zamani nilijua hizo sim zina mlio wa aina moja tu.
 
kabisa
eti simu ya tecno mtu anasema ni uchafu
Mimi sijawahi tumia hizo takataka so called tecno.

Nmetumia Samsung, Iphone, Sony, LG, Huawei, Xiaomi, HTC na Blackberry.

Kuna mtu alikuwaga ananiuzia hizi simu. Ila akiwa na tecno alikuwa hanigusi hata kama ni tecno nzuri kiasi gani na inauzwa bei chee.

Huu uchafu wa tecno sijawahi kuuelewa kwa kweli.
 
mimi natumia infinix huu mwaka wa 6 ila huo ujinga aliosema hapo juu sijawahi kuuona
tatizo wanajikweza sana au wamekariri tu

blaza blaza,infinix 2016 ziliishakuwa popular kweli!!!au umeamua kutugonga na vitu vyenye ncha kali!!!!
 
1. Nina 4 ya 28.

2. Diploma ya Uhasibu ( Sikuwahi kufeli hata somo moja, nilimaliza na GPA 4.5)

3. Bachelor Degree in Logistic and Transport Management. ( Sikuwahi kufeli hata somo moja, nilimaliza na GPA 4.1)
4. Mtuache na 4 zetu.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
CBE au St........?
 
Back
Top Bottom