Danpol
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 5,682
- 8,809
Tecno phantom 8 ya mwaka 2018 inagonga 4k na 30fpsKwa hiyo nikirecord 4k 60fps ni sawa na mtu wa tecno akirecord 4k 6pfps?
Kwanza nimeenda mbali. Hakuna Simu ya Tecno inarecord 4k at 60fps.
Imagine katika simu zote za tecno zilizopo sokoni simu yenye OIS kwenye camera ipo moja tu.
NB. mwaka 2018
Wakati huo hao unao waabudu bado hawakua na uwezo huo