Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,126
- 4,169
Ni ndugu Simon Ngonyani. Aliwahi kufyeka mahindi ya wakulima mto Ruvu alipo kuwa Wami/ Ruvu water basin👇
Kweli?Hakuna sheria inayomzuia mtumishi wa umma kuwa kada, isipokuwa maaskari tu.
Ndio maana Nchi haiendelei na wizi unakithiri kwa sababu ya watu kuwekana na Uchama.Ni ndugu Simon Ngonyani. Aliwahi kufyeka mahindi ya wakulima mto Ruvu alipo kuwa Wami/ Ruvu water basinView attachment 2407599
na kuwa viongozi wa chama( ccm) ?Hakuna sheria inayomzuia mtumishi wa umma kuwa kada, isipokuwa maaskari tu.
VIONGOZI WOTE UNAOWAJUA WEWE KWA TAARIFA YAKO NI MAKADA KINDAKI NDAKI WASICHOFANYA NI KUVAA MASHATI NA MAGAUNI YA "KIJANI"Ni ndugu Simon Ngonyani. Aliwahi kufyeka mahindi ya wakulima mto Ruvu alipo kuwa Wami/ Ruvu water basinView attachment 2407599
Nani kakudanganya Watumishi wa Umma hasa Viongozi ni Makada ila wanajificha Kiroho wapo lumumba unamkumbuka Mzee Zelot Stephen baadae akawa Mwenyekiti wa CCM mkoaHakuna sheria inayomzuia mtumishi wa umma kuwa kada, isipokuwa maaskari tu.
Je kuna sheria inazuia hilo la kua kada, weka vifungu alivyovunjaNi ndugu Simon Ngonyani. Aliwahi kufyeka mahindi ya wakulima mto Ruvu alipo kuwa Wami/ Ruvu water basin👇View attachment 2407599
🤝🤝🤝🤝Hakuna sheria inayomzuia mtumishi wa umma kuwa kada, isipokuwa maaskari tu.
Hata hao askari wote/ wengi ni makada isipokuwa hawavai sare za ccm tu.Hakuna sheria inayomzuia mtumishi wa umma kuwa kada, isipokuwa maaskari tu.
Una hakika!!??Hakuna sheria inayomzuia mtumishi wa umma kuwa kada, isipokuwa maaskari tu.