watanzania wengi wapo brainwashed kutetea biashara ndio njia pekee ya kutoboa na mifano lazima iwe ile ya kina MO na Bakhresa,
Ni kweli biashara ndio sekta inayotajirisha zaidi lakini haimaanishi watu wenye ajira wana maisha mabaya.
kuna waajiriwa wengi wana maisha mazuri ya uhakika kuzidi wafanyabiashara kibao.
Unapoangalia wafanyabiashara wachache waliotoboa jua kuna wengi zaidi wanafunga biashara kila siku, wanazihudumia biashara badala ya biashara kuwahudumia, Wameshindwa kurejesha mikopo wanapoteza hadi nyumba za urithi, biashara iliyofanikiwa miaka 10 ghafla inapata upinzani mkali na kufilisika, n.k.
Hitimisho: HATA KAMA UMEAJIRIWA JITAHIDI UWE NA BIASHARA !😊 WAPO WANAOFANIKIWA !
Ni kweli biashara ndio sekta inayotajirisha zaidi lakini haimaanishi watu wenye ajira wana maisha mabaya.
kuna waajiriwa wengi wana maisha mazuri ya uhakika kuzidi wafanyabiashara kibao.
Unapoangalia wafanyabiashara wachache waliotoboa jua kuna wengi zaidi wanafunga biashara kila siku, wanazihudumia biashara badala ya biashara kuwahudumia, Wameshindwa kurejesha mikopo wanapoteza hadi nyumba za urithi, biashara iliyofanikiwa miaka 10 ghafla inapata upinzani mkali na kufilisika, n.k.
Hitimisho: HATA KAMA UMEAJIRIWA JITAHIDI UWE NA BIASHARA !😊 WAPO WANAOFANIKIWA !