cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,683
- 137,423
Kabisaaaahyah naona kuna mdau analalamika kuwaona wale character watatu wa salon. Wale ilikuw lazima wawepo maana huu ni muendelezo
Kabisaaaahyah naona kuna mdau analalamika kuwaona wale character watatu wa salon. Wale ilikuw lazima wawepo maana huu ni muendelezo
Haipo
Lazima angepost yule baba RatiffaEbu kwanza tupe mrejesho, Ni kweli nyimbo ya mondi ipo kwenye iyo muvi?
Waambie hao. Wanajitoa ufahamuIcho kipande sijakisikia/sijakiona ila scene ya Davido akipaform ipo
Mkuu vyote vipo humo humo kwenye hiyo movie, basi itabidi niitafute haraka ili niiangalie, mfalme kabla hajafa lakini kuna msiba wake unaendelea aiseee 😂🤣🤣Mi sikuelewa yule mfalme alivyokufa huku msiba wake ukiendelea. Na watu wanaimba nyimbo za maombolezo.
Yaani siku ya msiba wake ndio akafa!!
Hii ni Bongo muvi.
Km kawaida Watanzania ktk ubora wetu wa umuch know!!km muv au kitab au nymbo au chchte hujaelewa jua haikutngnezwa kwa ajil ya kichwa chako,na pia ushaur mnaoutoa kw eddy murphy ambae kw bht mbya sana hawez kuuona bora mpelke bongo muv ili atleast warud enz zile za marehem kanumba.
Haha dj mack itabd ahusike kw kwel.Movie ni nzuri sana sema ndio hivo wataanza kuelewa dj mack akishaanza kuitafasiri
Hahaha, bifu la raya na Namari. Ile bonge ya animation aisee, Ila jina la mji SasaMwendeni mkapakue RAYA and the lost Dragon ipo vizuri ili kuwapotezeeni mawazo?
Umeongea points sana mkuu, mtu kama General Izzi kazingua sanaHii movie kiukweli wameshindwa kujua wanafanya nini!
1•waigizaji wamekuwa vituko kuliko ile coming2 america ya kwanza maana ilikuwa comedy si sana.
2•wale wazee wa saloon walibidi wafe maana hata baba yake eddy mfalme ile coming2america ya kwanza alikuwa mzee na aliwakuta wazee hao wamezeeka ina maana wale wazee mpaka yeye kazeeka bado wapi.movie imeshindwa
3•kumpata mtoto kirahisi kwa mama malaya si jambo la kitoto labda ulikuwa na mausiano naye mda wowote.
4•alafu kaonesha vituko ambavyo kama wakuu wa majeshi kuwa makomedy wakati ile ya kwanza kulikuwa na watu wasio kuwa na vituko.
Kaangukia pua hii movie inakosolewa sana
Ile Animation nimeikubali sana kama watu vile dah? Disney sahivi hataki masihara kabisaHahaha, bifu la raya na Namari. Ile bonge ya animation aisee, Ila jina la mji Sasa
😂 yule jamaa bangi tupu jinsi alivyokuwa anatembea mimi basi hoi, yani utadhani sio yule wa Bride na yale manyonya damuUmeongea points sana mkuu, mtu kama General Izzi kazingua sana
Unajua mliposema shemeji yetu yupo mule nikasema ni nani? Nikairudia tena kumbe ni bwana wa Vanessa bana, sema kala mshiko japo kacheza scene chache?Imejaa matusi mno...
Eti mtu anakimbizana na simba na anamzidi Simba
Eti General kaweka hereni
General anacheza kiduku
Eti mtu anasafisha pussy kwa ulimi ndani ya maji yenye mapovu kwa madakika