Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,783
- 24,215
Habari za kikachero zinaeleza kuwa waarabu waliambiwa wawe makini na pacome mwenye bleach ila chajabu wakakutana na wachezaji wengi wenye bleach, Yao yao, Aziz ki, Diara na Guede aliyeweka ndevu bleach
Walishindwa kumkaba PACOME yupi, AZIZ akawapa haki yao, PACOME halisi akapiga chenga timu nzima.
Tumelipa tatu zao na kuwaongeza moja.Tumetuma ujumbe Afrika, na hii nd'o timu ya Kwanza Kwenda NUSU fainali baada wafuasi wa MFALME ZUMARADI kuishia robo na kujisifu kuona hayo ni mafaniko.
Tumesha fainali kwahiyo robo sio mafanikio. wahiyo hii ndio klabu bingwa ambayo wafuasi wa MFALME ZUMARADI walisema ni ngumu?
Mbona Asec na Yanga wanaeleza. Ni michuano mepesi mno kuliko kombe la Shirikisho.
Sasa sio nusu ni FAINALI KABISA.
Nb/Tunaenda kuongoza kundi halafu CAF tupeni my wetu Aisha KOMWE binti SIMBA.
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Walishindwa kumkaba PACOME yupi, AZIZ akawapa haki yao, PACOME halisi akapiga chenga timu nzima.
Tumelipa tatu zao na kuwaongeza moja.Tumetuma ujumbe Afrika, na hii nd'o timu ya Kwanza Kwenda NUSU fainali baada wafuasi wa MFALME ZUMARADI kuishia robo na kujisifu kuona hayo ni mafaniko.
Tumesha fainali kwahiyo robo sio mafanikio. wahiyo hii ndio klabu bingwa ambayo wafuasi wa MFALME ZUMARADI walisema ni ngumu?
Mbona Asec na Yanga wanaeleza. Ni michuano mepesi mno kuliko kombe la Shirikisho.
Sasa sio nusu ni FAINALI KABISA.
Nb/Tunaenda kuongoza kundi halafu CAF tupeni my wetu Aisha KOMWE binti SIMBA.
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app