donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,522
Kitu
Itakuepo mkuu, mi nimeishusha
Bonge la animation.Mwendeni mkapakue RAYA and the lost Dragon ipo vizuri ili kuwapotezeeni mawazo?
Mkuu kabla sijaishusha nipe kidogo ka hadithi inahusu nini hao majamaa
Sema alikiba hapendi kujionyesha tu,hata wimbo wake ule wa 'maki mugan' umepigwa kwny hio movie baada ya wimbo wa Davido ila mshkaji hakupenda kujitangaza tu.Hakuna sehemu nimeisikia....ingawa wanadai utakuwepo kwenye compilation album ya sound track. Sasa swali langu ni kwamba itakuwepo kwenye compilation album wakati kwenye movie husika haijasikika pahala...how this could be?
Sijasikia ngoja nisikilize kwa makini aisee...Sema alikiba hapendi kujionyesha tu,hata wimbo wake ule wa 'maki mugan' umepigwa kwny hio movie baada ya wimbo wa Davido ila mshkaji hakupenda kujitangaza tu.
Jamaa walitaka kwenda kuiba kwenye vault ya benki kuu yas Spain ambayo ndio vault lililoshindikna dunia nzima, wakamrecruit dogo mmoja injinia genius Al iyekataa ajira kwenye makampuni ya maanaMkuu kabla sijaishusha nipe kidogo ka hadithi inahusu nini hao majamaa
Huwezi kuacha kuilinganisha na ya kwanza maana huu ni muendelezo wa ile filamu ya kwanza. Sema naona jamaa wameamua kutembelea nyota tu ya ile part 1 ila cha maana walichofanya hakuna.Nimegundua watu wengi wanailinganisha na yakwanza ndio maana wanaiona mbaya, binafsi nimeiona ya kawaida tu
Achana na kile kichwa mkuu 🙌Story mbovu. Hizo mambo za story wangemuita hata James cameron awasaidie.
He didnt even participate, he just "appeared" 😁😁Hey he participated kwenye scene mbili.
Anaitwa Erick Mrosso, ni mchaga wa hapo Mamba Kotela.Rick Ross amenifurahisha Sana, yule jamaa kweli usikute Ni mnyakyusa, amefanania uafrika typical
Sisi sindio wenyewe sasa wabongo? Ulitaka hii kazi afanye nani? 😆😆😆Km kawaida Watanzania ktk ubora wetu wa umuch know!!km muv au kitab au nymbo au chchte hujaelewa jua haikutngnezwa kwa ajil ya kichwa chako,na pia ushaur mnaoutoa kw eddy murphy ambae kw bht mbya sana hawez kuuona bora mpelke bongo muv ili atleast warud enz zile za marehem kanumba.
Hahahah itakua kweli mkuuAnaitwa Erick Mrosso, ni mchaga wa hapo Mamba Kotela.
Mtu pekee ambae nimeona ame perform vizuri kwenye hii movie ni huyu binti wa kuitwa Kiki Layne alie act kama mtoto mkubwa wa Eddy Murphy. Huyu demu kwa sasa ndio habari ya mjini pale Hollywood hasa baada ya kukinukisha balaa kwenye ile movie ya The Old Guard akiwa na kaburu Charlize Theron. Nyota yake kwa sasa ni angavu sana kwakweli na ninamuona akifika mbali kama ataendelea hivi..Hahahah itakua kweli mkuu
Mkuu leta movie za hivi nyingi nyingi..