donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,041
- 21,514
Mkuu, kwa wazee wa zamani, alikua anaweza kupredict kifo chake. Hujawahi sikia zile mzee anawaita wanae wote anawapa wosia na kuwaaambia kabisa kwamba kesho mi naondoka?Mi sikuelewa yule mfalme alivyokufa huku msiba wake ukiendelea. Na watu wanaimba nyimbo za maombolezo.
Yaani siku ya msiba wake ndio akafa!!
Hii ni Bongo muvi.