Nyaka-One
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 4,884
- 7,021
Je, kuna uwezekano first year mwenye status ya ".... wait for allocation process" ambaye hajabahatika kuwemo kwenye batch ya kwanza akakosa pia kwenye batch ya pili?Ukiona akaunt yako unalog in aibadiliki kukuletea kipengele Cha sipa na wewe ni mwaka wa kwanza wait for batch 2 tarehe 27 ya kwanza aikuwa bahati yako usife moyo

